kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 5,377
- 10,121
Ni hoja inayojitokeza miongoni mwa Wadau.!
Hasa kipindi hiki ambapo Simba Sports Club imeingia mkataba mwingine mnono na Betway wenye thamani ya Bilioni 20.
Wadau wa wasoka Wamekuwa Wakijiuliza hivi Yanga Afrika mbona kuna Ukimya kwenye eneo la Mikataba ?
Ule mkataba wa bilioni 4 kwa mwaka wa Sportpesa Utaendelea?
Ikumbukwe Yanga walisaini mkataba na Sportpesa mwaka 2022 wa miaka mitatu huku Bwana Tarimba akiwa mmoja wa kati ya Watendaji wakuu wa Sportpesa.
Wengine wanahoji mikataba mingine mfano ule wa jezi. Yanga ndio ya kupata kati ya 1,000 - 1,300 kwa kila mauzo ya jezi moja?
' Ni Mtori sawa tumeukubali, je chini kuna nyama? Iwapo Sportpesa itaendelea , basi wajitafakari
Hasa kipindi hiki ambapo Simba Sports Club imeingia mkataba mwingine mnono na Betway wenye thamani ya Bilioni 20.
Wadau wa wasoka Wamekuwa Wakijiuliza hivi Yanga Afrika mbona kuna Ukimya kwenye eneo la Mikataba ?
Ule mkataba wa bilioni 4 kwa mwaka wa Sportpesa Utaendelea?
Ikumbukwe Yanga walisaini mkataba na Sportpesa mwaka 2022 wa miaka mitatu huku Bwana Tarimba akiwa mmoja wa kati ya Watendaji wakuu wa Sportpesa.
Wengine wanahoji mikataba mingine mfano ule wa jezi. Yanga ndio ya kupata kati ya 1,000 - 1,300 kwa kila mauzo ya jezi moja?
' Ni Mtori sawa tumeukubali, je chini kuna nyama? Iwapo Sportpesa itaendelea , basi wajitafakari