Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Habari zenyu bhana najua hazina majotooo ! Kiukweli vijana wanapambana though kuna makosa mengi especially kwenye eneo la striking mostly huwa hamna utulivu mzuri wa kujenga mashambulizi pia...
0 Reactions
2 Replies
393 Views
Hongereni wachezaji, bechi la ufundi na uongozi kiujumla kwa kazi nzuri ya mliifanya hadi kufika hapa! Si kazi rahisi ni kujitoa kwa wachezaji na kujipathamani wao na kujiuza katika soka zaidi...
1 Reactions
9 Replies
868 Views
Hivi huko Dar es salaam wanaume wameisha au nini? Yaani kwenye harusi ya mwanaume mwenzio anaoa jitu linabubujikwa machozi kama Mwashamba Hichi kilio kinatupa mashaka Ni maumivu kuwa Ali Kamwe...
15 Reactions
81 Replies
4K Views
Timu za Simba SC, Al Ahly, Esperance, Mamelodi Sundowns na RS Berkane hazitaanzia hatua za awali kwenye michuano ya CAF Champions League msimu wa 2025/26. Timu hizo pia zitapokea kiasi cha pesa...
25 Reactions
58 Replies
4K Views
Uhamisho wa mshambuliaji Armando Broja kwenda Burnley unamaanisha kuwa klabu ya Chelsea imefanya mauzo zaidi ya Pauni milioni 250 kwa wachezaji kutoka akademi yao ndani ya miaka mitatu pekee...
0 Reactions
1 Replies
389 Views
I will be short that's the breaking news, kibu mkandaji Katemwa na simba, Reasons : nidhamu pia kukataa kuja chan taifa stars pia. over
7 Reactions
24 Replies
2K Views
Majira ya Saa Saba mchana wa leo, itafanyika droo ya ligi ya mabingwa Afrika pamoja na Kombe la Shirikisho Afrika kwa msimu wa 2025/2026 kwa hatua ya awali. Droo hiyo itafanyika nchini Tanzania...
6 Reactions
64 Replies
6K Views
Bodi ya Nidhamu ya CAF imefungulia mashitaka Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kwa kuvunja masharti ya Usalama na Ulinzi kama yalivyoainishwa katika Kanuni za Nidhamu za CAF, Ibara ya 82...
0 Reactions
52 Replies
4K Views
1. Sio mchezaji mahiri kama tunavyoaminishwa 2. Yuko slow kama Jean Charles Ahoua 3. Hana maajabu yoyote uwanjani 4. Hana uwezo Kama Rally Bwalya ambaye style yake na Meama zinafanana 5...
4 Reactions
54 Replies
4K Views
Kuelekea Msimu wa 2025/26 utabiri wangu unaweza kuwa hivi List yangu… 1. Man U 2. Liverpool 3. Man City Itakayoshuka daraja Arsenal Listi yangu ya Bongo 1. Simba 2. Yanga 3. Azam FC...
0 Reactions
9 Replies
697 Views
Wakati wazazi wao wakiwa ni maarufu kwa makubwa waliyoyafanya kwenye mchezo wa soka, wao wameshindwa kufikia angalau nusu ya mafanikio ya kile ambacho baba zao walikifanya walipokuwa wakicheza...
0 Reactions
0 Replies
434 Views
Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limetoa muongozo kwa mashabiki kufanya maombi ili kuruhusiwa kuingia uwanjani na mabango na bendera. Maombi yanatakiwa kutumwa CAF kupitia barua pepe: 📧...
0 Reactions
14 Replies
939 Views
Na hata Timu yao ya Uganda Cranes ilipoweka Kambi yake si mbali na Kwangu na isitoshe Rafiki yake mkubwa wanayecheza nae Vipers FC Hillary Mukindane ni Mwanangu na alishanikutanisha nae miezi...
2 Reactions
1 Replies
2K Views
The draw will commence with the TotalEnergies CAF Confederation Cup Group Stage Draw at 15h00 East African Time (EAT), followed by the TotalEnergies CAF Champions League Draw at 16h00 EAT. Live...
22 Reactions
416 Replies
43K Views
Msimu wa 2025/26 unaelekea kuanza, nyota wa soka la Bongo Clatous Chotta Chama na Jonas Mkude waliokuwa Yanga kwa sasa wapo huru, mastaa hao waliowahi kuwa panga pangua kwenye kikosi cha Simba...
1 Reactions
1 Replies
729 Views
Wakuu Kuna suala limeniuma sana Mimi kama mdau na mchambuzi pia shabiki wa Simba Wenzetu wapo avic Town wanapigwa mazoezi heavyweight mbaya mbovu .,....lakini sisi wazee wa kina mutale wanacheza...
6 Reactions
33 Replies
2K Views
Unamkumbuka yule Winga msumbufu wa timu ya Taifa ya ivorycoast anayechezea Brighton, akasumbua sana watu kwenye Afcon 2023. Basi leo kazaliwa upya Uganda kwa jina la Alain Okello... Huyu dogo...
3 Reactions
7 Replies
602 Views
Nikiangalia bila jicho la ushabiki hizi ni jezi uchwara. Mbali na kuwa na muonekano wa batiki lakini wachezaji wanakuwa wanakabwa shingo.
7 Reactions
19 Replies
1K Views
Mafanikio = Serious Commitment ✅ Kujituma kwa moyo ✅ Njaa na kiu + hasira ✅
1 Reactions
11 Replies
933 Views
Back
Top Bottom