CAF Yataka Maombi Kabla ya Kuingia Uwanjani na Mabango au Bendera

CAF Yataka Maombi Kabla ya Kuingia Uwanjani na Mabango au Bendera

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,143
Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limetoa muongozo kwa mashabiki kufanya maombi ili kuruhusiwa kuingia uwanjani na mabango na bendera.

Maombi yanatakiwa kutumwa CAF kupitia barua pepe:
📧 security@cafonline.com
siku moja kabla ya mechi.

Muombaji anatakiwa kuambatanisha picha ya rangi ya bango analotaka kuingia nalo.

Maombi ya bango na bendera kila moja yatumwe tofauti.

Kutafanyika ukaguzi wakati wa kuingia kwa wale ambao maombi yao yamepitishwa ili kutambua kama bango linakidhi vigezo vya usalama wa moto.



Cliford Mario Ndimbo
Ofisa Habari na Mawasiliano, TFF
🗓️ Agosti 8, 2025
1754657789419.png


1754658812434.png


 
Hata hayo maombi hayana umuhimu wowote ule. Kulazimishana kuangalia picha ya mtu mmoja tu muda wote huku ukiwa huna time naye, inakera sana.
 
Nimeona hamasa za ushangiliaji wa Kenya na Uganda ni tofauti kabisa na sisi tunapeleka Makada wa vyama kushangilia Mpira,Hongera sana Mashabiki wa Kenya na Uganda nyie ni mfano wa kuigwa
 
Back
Top Bottom