Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Mama Esther najua ulishamsamehe show me the way ndio maana anapiga goli za hatari,anapeperusha vema bendera ya taifa,anawainua watanzania na kuwapa furaha,viva Tz,viva taifa stars,viva mama Samia...
0 Reactions
6 Replies
573 Views
MUUE CHELSEA KWA GOLI 5-0 WEKA LAKI LALA
12 Reactions
138 Replies
7K Views
Ligi kuu nchini Tanzania inatarajiwa kutimua vumbi mwezi september ambapo atakuwa anatafutwa bingwa mpya ya NBC premire league kabla ya ligi kuanza nimeona isiwe na shaka nije na moja ya top four...
2 Reactions
7 Replies
490 Views
Simba Sports Club, moja ya vilabu vikubwa na vyenye historia ndefu katika soka la Tanzania, inaonekana kupoteza makali yake dhidi ya watani wao wa jadi, Yanga SC. Kwa misimu kadhaa sasa, Simba...
0 Reactions
18 Replies
999 Views
Hii fursa mimi naitumia wananiletea tu hela. By Ponjoro wa Kinondoni Sasa Kizimkazi.
3 Reactions
14 Replies
508 Views
Je M-beti na Simba walitudanganya? Inakuwaje Simba wakubali pesa ndogo (bilioni 20) wakati mkataba ulioisha ulikuwa bilioni 26? Je club hiyo inaporomoka thamani? Kwanini wasingekomaa wapate...
3 Reactions
31 Replies
2K Views
Baadhi ya Mashabiki wa Simba SC wamechukizwa na post hii ya kumpongeza Mohamed Dewji kutajwa kuwa ndie Tajiri namba Moja Tanzania. Je Kuna shida yoyote kumpost Mohamed Dewji na kumpongeza kwa...
2 Reactions
40 Replies
1K Views
Timu 30 kutoka mataifa kama Marekani, Brazil, Ujerumani na Ureno zinajiandaa kwa mashindano ya kwanza ya dunia ya roboti, ambapo roboti hao wenye akili bandia (AI) watashiriki kwenye mechi za soka...
1 Reactions
7 Replies
614 Views
Yaani hii timu inatia jezi Kali ila wanaharibu kukaweka kandege peke yake yaani inakua ya kawaida sana Sasa najiuliza wanaugomvi na full nembo kwenye jezi au maana naona designer wao anafeli hapo
3 Reactions
21 Replies
2K Views
🚨🔴⚪Shabiki wa Arsenal aitwaye "Marg" (au kwa jina jingine "Man"), ambaye aliapa mwaka wa 2015 kwamba hatanyoa ndevu zake hadi Arsenal itakaposhinda UEFA Champions League. Hadi kufikia August 05...
0 Reactions
9 Replies
952 Views
Uzuri wetu wengine Wachezaji wako ni Marafiki zetu na hawatufichi jambo. Boss hapendi vitu vizuri vizuri vimpitie mbali.
2 Reactions
12 Replies
2K Views
"Taarifa za Kuaminika Kutoka Kambi ya Simba sports Ismailia Misri ni Kwamba Elie Mpanzu KIBISAWALA bado hajafika na hapokei simu za Viongozi.. Kundi la Pili Wachezaji ambao hawapo Kwenye Michuano...
5 Reactions
83 Replies
4K Views
Na je waliocheza leo wa nje wako wangapi!?? Msaada wadau kuna kitu nataka hitimisha.. maana TZ nafikiri akili zetu nyeusi sanaa... Mods please!
2 Reactions
28 Replies
4K Views
Unaambiwa baada tu ya mechi kuisha, Wachezaji wamekula mgao wa milioni 21 kabla hata jasho halijakauka.. Na akaahidi mzigo mwingine kama huo endapo watashinda kila mchezo ulio mbele yao. Ni...
1 Reactions
2 Replies
533 Views
Ni hilo tu Tanzania ndio tuliikomboa Uganda kutoka kwa Nduli Idd Amin
0 Reactions
5 Replies
470 Views
Kwanza kabla ya yote namshukuru Mungu Huwa nikileta mada hapa jamii sports, kwa mara ya kwanza watu Huwa wanaichukulia tofauti ila baada ya mda ukweli unadhibitika!!. fuatilia mada zangu za humu...
3 Reactions
30 Replies
2K Views
Hili nawahakikishia mtabaki kuwa mikia tu piga ua galagaza. Kombe mtakalo chukua labda liwe na Uji. Kikwete anaipenda sana Yanga yeye na kundi lake kubwa nyuma yake. Na Samia naye automatically...
7 Reactions
22 Replies
1K Views
Wengine tukisema elimu yetu ina changamoto kubwa katika kuzalisha raia wenye uwezo wa kufikiri, kung'amua mambo na hatimaye kuwa wabunifu huwa hamtuelewi. Elimu yetu imezalisha watu wa kukariri...
7 Reactions
15 Replies
770 Views
Baada ya timu ya Taifa ya kenya kuwafunga goli moja DRC ,Rais Ruto ametoa kwa kila mchezaji zaidi ya milioni ishirini Kila mchezaji na benchi la ufundi ataondoka na hela ya kenya KSH milioni moja...
3 Reactions
7 Replies
653 Views
Nimekua nikitamani sana kuona wachezaji wenye asiri ya kiarabu katika nchi yetu bila mafanikio sijui kuna tatizo gani, kuna wakati simba walijaribu kidogo kwa golikipa ayoub na sijaona muendelezo...
1 Reactions
21 Replies
1K Views
Back
Top Bottom