Droo ya hatua za awali ya michuano ya Klabu Bingwa Afrika klabu ya Simba Tanzania imepangwa kucheza na Gaborone United ya Botswana.
Mechi ya kwanza Simba itaanzia ugenini.
Mbona tuliambiwa...
Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limepiga marufuku uuzaji wa tiketi kwa mechi ijayo ya CHAN 2024 kati ya Kenya na Zambia kwenye Uwanja wa Kasarani kufuatia machafuko na madai ya utapeli...
Habari..
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza jamaa ni bonge la mshambuliaji ana speed,nguvu na akili kubwa sana anapokua ndani ya boksi jamaa ni hatari.
Yanga itakapokutana na hii timu huyu...
Moja ya jambo ambalo wengi hamjashtuka lililofanywa na Simba kuanzia mwishoni mwa msimu uliopita waliposaini mkataba na JayRutty hadi usajili wa sasa wa wachezaji wa Mamelodi, ni kuipa pressure ya...
Ubaya Ubwela!!!
Leo wazee wenzangu naamini mnakumbuka kikosi hiki kilichocheza fainali ya CAF mwaka 1993. Kwa faida ya vijana wa kileo na mashabiki kindakindaki wa Simba Sports Club watambue hiki...
Yanga wameendelea kudhaminiwa na sport pesa kwa miaka mitatu kwa bilion 21
==============
Klabu ya Yanga Sc leo Jumatatu 11/08/2025 imeingia mkataba wa miaka mitatu (3) na Kampuni ya kubashiri...
Taifa Stars kuivaa Madagascar leo katika Uwanja wa Benjamin Mkapa
Timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, inatarajiwa kushuka dimbani leo jioni kukabiliana na timu ya taifa ya Madagascar kwenye...
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Prof. Paramagamba Mwaluko Kabudi amelazimika kuingilia kati sakata la uchaguzi mkuu wa TFF baada ya Naibu Waziri wake Hamis Mwinjuma "MwanaFA"...
Kenya hawana timu nzuri lkn naangalia hapa washabiki wao mwanzo mwisho wanashangilia, watanzania tusipochukua tahadhari afcon tunaweza kupoteza.
Tulipe kodi kwa maendeleo ya nchi yetu
Kura yako unaipleka taifa gani kwenye michuani ya CHAN mdau wa JF?
Soma pia: Bado siku chache mno CHAN kuanza lakini Tanzania imepoa, hakuna promo yakutosha, mji haujapendeza kuvutia wageni
Uchawi wa mpira now days upo kwenye nguvu ya viungo katikati ya uwanja.
Zamani uchawi wa mpira ulikuwa unaamuliwa na kasi ya mawinga ndio maana mawinga kama akina Ribbery, Arjen Robben, Wright...
Nimeona mjadala watu wakilalamika kuhusiana na yusuph kagoma kwamba kiungo chake ni outdated na kwamba anacheza kizamani tuangalie kwanza aina za DM halafu tuwekane sawa
Defensive...
Liverpool imeshindwa kufuruka mbele ya Crystal Palace katika mchezo wa fainali ya Community Shield uliopigwa leo Wembley, baada ya sare ya 2–2 ndani ya dakika 90 na kupoteza kwa mikwaju ya penati...
Baada ya droo ya caf ccl nimeona niwaonye yanga wawe makini na wachukue tahadhali zote dhidi ya timu hii ya Wiliete club de benguela ya Angola kwani sio timu kibonde ni timu iliyosukwa vizuri na...
Kuna haka katabia kalianza kunikera katika vilabu vya Simba na Yanga ka viongozi wa siasa kuingia katika vyumba vya kubadilishia nguo vya wachezaji baada ya mechi na wakati mwingine kabla ya mechi...
Kenya chini ya Ben Macchath,naiona ikizidi kuwa much strong beyond,je wakulungwa mnaionaje au mnaushauri gani?
Inajivuta kwa nguvu kubwa kutoka shimoni!,we have to pull up our socks!
Huyu golikipa wa Simba Hussein Abel ni kipa mzuri. Anadaka kama nyani.
Ila nimegundua mawazo yake yanakuwaga mbaaali sana au ni swaga zake tu.
Huu ni uzi wa kusherehesha Jumapili yenu tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.