Gwalugano Mwakalobo:Kongole kwako

Gwalugano Mwakalobo:Kongole kwako

fimboyaukwaju

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2020
Posts
6,615
Reaction score
9,144
Huyu ni mtangazaji wa mpira wa miguu kutoka Azam TV.Ana staili yake tofauti anapotangaza mpira wa miguu kwa wanawake.Hakika huwa anaburudisha sana maana humtaka kila mchezaji kwa majina yake matatu.Leo saa 2 usiku atatangaza pambano baina ya banyana banyana na Twiga Stars ya Tanzania.Mwenye nafasi leo aangalie hiyo mechi mtakubaliana nami
 
Back
Top Bottom