Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

"Mara zote huwa nawaachia wachezaji wangu wamchague nahodha wao, sikupenda kilichofanyika msimu uliopita, msimu huu nitachagua nahodha mimi mwenyewe," kauli ya kocha wa Manchester City, Pep...
2 Reactions
4 Replies
684 Views
My Take Chadomo na Haters wa SSH watanuna 😁 😁 😁 SSH hamumuwezi kadiri mnavyoleta chuki,majungu na fitina ndio mnamsafishia nyota na kuing'arisha 🇹🇿🇹🇿🇹🇿...
5 Reactions
56 Replies
3K Views
Uongozi wa timu ya Tabora United umekanusha uvumi unaosambaa kwenye mitandao ya kijamii ukidai timu hiyo iko mbioni kupigwa mnada hali iliyozua taharuki kwa wadau wa soka wa Mkoa wa Tabora wakidai...
2 Reactions
5 Replies
549 Views
🚨Wachezaji ambao hawana timu: 🇲🇦 Hakim Ziyech 🇩🇰 Christian Eriksen 🇯🇵 Takehiro Tomiyasu 🇨🇲 Karl Toko Ekambi 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿Dele Alli Alex Oxlade-Chamberlain Patrick Bamford 🇫🇷 Wissam Ben Yedder 🇫🇷 Samuel...
2 Reactions
11 Replies
808 Views
Kwa muda mrefu, vilabu vya Simba na Yanga vimefungamana na Mo Foundation na GSM Foundation katika shughuli za kutoa misaada kwa jamii. Sina uhakika kama kuna mtu amekaa akawaza ni kwa nini hivi...
2 Reactions
1 Replies
248 Views
Mo Dewji amemrithisha kiti cha uenyekiti cha ukurugenzi Simba ndugu Cresencius Magori Magori Toka namfahamu ni mtu hana hekima ya uongozi Bali kukurupuka 1. Magori ndo alimlaumu goalkeeper...
3 Reactions
22 Replies
1K Views
Uongozi wa Simba umempa kocha mechi 1 ya angalizo ambayo ametakiwa kushinda ili kuendelea kubaki klabuni hapo. Endapo Simba itafanya hivyo, basi zigo la lawama atakuwa akisukumiwa Fadlu kipindi...
1 Reactions
8 Replies
744 Views
Controversial statements from French journalist Pierre Menes. "My 11-year-old son stopped playing football after just three training sessions because all his teammates were of North African and...
2 Reactions
19 Replies
979 Views
Muongo mmoja uliopita mwanaume mmoja aliamka asubuhi, ili kuhudhuria mazoezi ya klabu baada ya kukamilisha safari muhimu katika maisha yake, kutoka nchini Brazil hadi nchini Urusi. Isivyo bahati...
4 Reactions
5 Replies
757 Views
Huyu saadun anakimbia kama vile mtu asiye na akili, hana akili ya mpira kabisa, sijui ni nani alimsajili Azam, hafai hafai kabisa.
1 Reactions
12 Replies
848 Views
Kocha Morocco binafsi nakukubali sana, mimi ni katika wale wachache walioamini utaipeleka timu Morocco na nikaposti uzi humu Jf, nimeona wachezaji wanakuelewa sana, tatizo lako kubwa kocha la...
0 Reactions
3 Replies
430 Views
Bus la wachezaji wa Dodoma Jiji FC limepata ajali likiwa njiani kutoka Mkoani Lindi kuelekea Jijini Dodoma, ajali imetokea katika eneo la kati ya Nangurukuru na Somanga wakati linatokea Ruangwa...
5 Reactions
32 Replies
2K Views
Kocha badala aelewe goli alilopata limetokana na foul ya Mchongo so awahimize wachezaji na awaite awakumbushe makosa wanayofanya au afanye Substitution ya Ateba na Mpanzu maana second half walikua...
12 Reactions
28 Replies
2K Views
  • Closed
Sasa anaweza kwenda huko huko Yanga SC alikokuwa akilipwa kwa Kuisaliti Simba SC kwa Kutoa kila aina ya Siri tuumie.
4 Reactions
39 Replies
2K Views
Maajabu yametoka huko Madrid baada ya Madrid kupewa ushindi wa penati.
1 Reactions
55 Replies
3K Views
Dereva ndiye mtu wa kwanza kufahamu kama gari imefeli breki, mtu wa pili ni kondakta na watatu ni abiria ambao mara nyingi ndio wanakuwa wahanga wa gari kufeli breki. Baada ya dereva (Fadlu)...
8 Reactions
26 Replies
2K Views
Yanga wana siku ya mwananchi tarehe 12, halafu baada ya siku 3 tu wanaikabili Simba kwenye ngao ya hisani. Je wameona mechi hiyo kwao ni mteremko? Je code zote za Simba bado wanazo ndio hawana...
3 Reactions
11 Replies
1K Views
Yani Mimi siyo mashabiki WA hizi timu mbili ila naziombea zote zishinde. Ndo hap leo nachanganyikiwa. Naipenda Arsenal kwa sababu ya da Nifah. Arsenal ikifanyaga vizuri anafurahi na wote humu...
7 Reactions
22 Replies
2K Views
SI mnajua kuwa yeye ndiye bosi wa vikundi vyote vya wanaosakata gozi Afrika? Ametumia kofia yake hiyo kumhujumu bosi wa nyika ili asitumie uwanja wa maangamizi wa lupaso. Kafanya hivi kwa kisasi...
2 Reactions
22 Replies
1K Views
Pamoja na kuwa mtu hazuiliwi kuongea chochote kuna watu washaanza mdomo et tanzania itafuzu kumbe la dunia kwa kushika nafasi ya pili. Ukweli nikwamba timu itakayoongoza kila kundi ndiyo...
0 Reactions
6 Replies
663 Views
Back
Top Bottom