Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

MAPUNGUFU KWENYE JEZI YA SIMBA [emoji3578]Na docky,,,,,, mtafiti,,,,,,, 1. Nembo (logo) haijashonwa, imebandikwa kwa gundi. 2. Mzamini wa bega pia umebandikwa kwa gundi. 3. Wadhamini ni wengi...
5 Reactions
34 Replies
2K Views
1.Yanga ilipigania uhuru wa nchi ....hivyo Yanga ni mali ya watanzania, Mimi binafsi nimefurahishwa na hili Ukichunguza asilia ya @yangasc Utasikia haya kua Yanga ndo wapigania uhuru.. 2. Karume...
4 Reactions
40 Replies
2K Views
Simba Bingwa wa CAF Confedaration 2025, namba za kinajimu zinamfavour simba kuliko Berkane mbaya zaidi wanacheza ardhi ambayo ina historia kubwa ya vita za gizani katika nchi hii. Wachambuzi...
6 Reactions
24 Replies
1K Views
Habari wakuu kuna Shabiki wa mpira wa timu ya WANITESA UNITED hata salamu hapokei haoneshi ushirikiano kazini kwani kunanini kinaendelea huko MNIJUZE
4 Reactions
6 Replies
556 Views
Habari za wakati huu mashabiki na wapenzi wa soka, Leo tumshauri ndugu yetu ambaye ni msemaji wa wananchi kwa sasa yaani DAR ES SALAM YOUNG AFRICAN. Msemaji wa YANGA kwa siku za hivi karibuni...
4 Reactions
54 Replies
4K Views
THANK YOU AZIZ KI
13 Reactions
60 Replies
5K Views
FT: Simba SC 1-1 RS Berkane (Agg: 1-3) | Ni kufa au kupona. Ni fainali ya mkondo wa pili katika kombe la shirikisho barani Afrika. Simba SC Vs RS Berkane, mchezo wa kwanza Simba alifungwa 2-0...
32 Reactions
2K Replies
82K Views
Jana mnamo saa Nane Usiku niliota ndoto ya Matokeo ya fainali kombe la shirikisho Afrika mkondo wa pili kati ya SIMBA SC ya TANZANIA dhidi ya RS BERKANE kutoka Morocco. Mechi ilianza Kwa Kasi...
19 Reactions
67 Replies
5K Views
Pamoja na mauzauza yooote yaliyotokea katika fainali hii ya CAFCC, kuna jambo moja ambalo kidogo limenifurahisha. Kitendo cha Joshua Mutale kushinda tuzo ya mchezaji bora wa fainali ni mwisho...
13 Reactions
44 Replies
3K Views
Bodi ya Simba yasema walioenda Ikulu kutatua mgogoro wa derby sio viongozi wa Simba Kuna mgogoro mkubwa ndani ya management ya Simba, wengi wamekasirishwa na uwakilishi wa Hasan Dalali na Hasan...
6 Reactions
11 Replies
1K Views
Kiukweli viongozi wa Simba wanatuona mashabiki wao ni wajinga na hawatujali kabisa. Achana na matukio ya kutupiga viingilio takribani mechi tatu. Ila hili la mechi ya dabi ndio limedhihirisha...
8 Reactions
30 Replies
2K Views
Tanzania hujinasibu kama taifa linalohusudu zaidi mpira na la viwango vya juu vya mpira Africa Mashariki, ajabu ni kwamba mahudhurio katika viwanjani katika CHAN ni haba sana na tunazidiwa hadi...
3 Reactions
53 Replies
2K Views
Bw Magori, nakupongeza mnoo kuwa mwenyekiti wa bodi ndani ya klabu yetu, Aidha kuondolewa kwa Try Again kumenifurahisha mnoo, kurudishwa kwa Barbra na Swedi Nkwabi nimefurahi pia. Ombi Nakuomba...
2 Reactions
6 Replies
715 Views
Mm kila cku asbh lazima nile karanga mbichi na tena nimehamasika mno baada ya semaji la Yanga kutaka kichwa, nakula karanga mbichi atar kWa ajili ya kusafisha kichwa, tena Magori ndio mwenyekiti...
0 Reactions
2 Replies
446 Views
🏟️ Aston Villa 🇨🇮 Evann Guessand 🏟️ Bournemouth 🇲🇦 Amine Adli 🇬🇭 Antoine Semenyo 🏟️ Brentford 🇳🇬 Frank Onyeka 🇧🇫 Dango Ouattara 🏟️ Brighton and Hove Albion 🇬🇲 Yankuba Minteh 🇨🇲 Carlos Baleba...
9 Reactions
10 Replies
1K Views
That is it. I'm writing this because Today The true footballer has added another trophy on his cupboard. That man who is currently playing Al Nassr, He's not deserving to be true GOAT. The guy...
2 Reactions
38 Replies
3K Views
Kikosi hiki cha zamani cha Simba SC kimeacha kumbukumbu kubwa kwa mashabiki wa soka nchini. Wengi walitoa burudani uwanjani na kutengeneza historia ya klabu. Unamkumbuka mchezaji gani hapa kwenye...
4 Reactions
16 Replies
1K Views
Rais na Mwekezaji wa Simba SC ametangaza mabadiliko makubwa ya kiuongozi ndani ya klabu hiyo, akibaki na nafasi yake ya Rais lakini akikabidhi Uenyekiti wa Bodi kwa kiongozi mpya kutokana na...
8 Reactions
35 Replies
3K Views
Back
Top Bottom