Tumsaidie coach wa Yanga kupata first 11 yake

Tumsaidie coach wa Yanga kupata first 11 yake

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
16,748
Reaction score
39,304
Coach Romain Folz ameshindwa kupata first 11 yake nadhani kichwa kinamuuma na anakosa usingizi
Kwa utaalam wangu kwakuwa Nina foundation course ya coaching nitamsaidia

Goal keeper
1 Diara

Mabeki
Bacca
Assink
Tshabalala
Mwenda

Hapa nampumzisha
Dickson Job- Ana fatigue anaonekana wazi kama mwili inagoma, inafaa kumpa dakika chache ikiwa mwanzo wa msimu

Mwamyeto - ni beki mzuri anapiga pasi za kuvunja line mbili na ana offer kikubwa kwenye kushambuliwa, tatizo amepoteza confidence

Kibwana- Ni mzuri kwenye kujilinda ila kupanda sio mzuri kama Mwenda, nitampa dakika chache zikipatikana

Boka, ana fitness lakini anapoteza mipira sana

VIUNGO WAKABAJI
Andambwile-
Abuya

Andambwile- sio mzuri anachelewa ku link mipira na Viungo wa mbele lakini na Bora kuliko Control

Hapa namwacha
Conte- hana fitness kabisa, apige gym awe fit hawezi kuhimilinkucheza hata dakika 45

Sure boy- age go atulie asubiri mapinduzi cu

VIUNGO WASHAMBULIAJI

Max Nzegeli
Pacome
Doumbia

Hapa nitawaacha bench
Kouma- huyu namwona kama tapeli tu ni Mchezaji wa kawaida mno, ni slow mno kama konokono, sio mbunifu wa kucheza na washambuaji

Mudathiri - ni mchezaji mzuri ila kwasasa tukubali ana fatigue mno na hawezi kuhimilinkucheza hata dakika 60

Chikola- ni mzuri nadhani ana pressure ya kucheza timu kubwa nitampa dakika chache au nitamtumia kama nitaamua kupanua uwanja na kucheza pembeni

Farid Musa - ni mchezaji mno, coach ampe nafasi amewazidi mbali akina Kouma

Nkane - huyu amegoma kukua, dirisha dogo napeleka Namungo Kwa mkopo

WASHAMBULIAJI
PRINCE DUBE
Dube sio goal getter mzuri sana ila anafanya mikimbio mingi na kuwachosha au kuwazubaisha mabeki, hivo kutoa Kwa play makers wengine kufunga hata asipofunga yeye

NITAWAACHA BENCH
Andy Boyeli - huyu ni tapeli hamna mchezaji, anatembea kama Chiba, hana fitness Kabisa, huyu hata bench haki

Selestin ECUA- ni mchezaji mzuri mno akitulia tatizo anapenda kucheza na jukwaa, akiwa serious atakuwa hata MVP
Nitampa nafasi ikiwa mpinzani amebana au kubaki basi

Mzize - ana majeraha na fatigue hivo nitampa dakika chache tu

Edmund John- huyu bwana mdogo ana kipaji kikubwa mno atakuja kuuzwa 10 billion, nitampa dakika kadhaa ili kukua na kupata uzoefu
 
Timu ilikuwa ipo stable unabadilisha kocha,sasa ndio hivyo apewe mda ila kiukweli timu inashinda, still bado haichezi vizuri kabisa,japo ina resources nyingi za kutosha.
 
Coach Romain Folz ameshindwa kupata first 11 yake nadhani kichwa kinamuuma na anakosa usingizi
Kwa utaalam wangu kwakuwa Nina foundation course ya coaching nitamsaidia

Goal keeper
1 Diara

Mabeki
Bacca
Assink
Tshabalala
Mwenda

Hapa nampumzisha
Dickson Job- Ana fatigue anaonekana wazi kama mwili inagoma, inafaa kumpa dakika chache ikiwa mwanzo wa msimu

Mwamyeto - ni beki mzuri anapiga pasi za kuvunja line mbili na ana offer kikubwa kwenye kushambuliwa, tatizo amepoteza confidence

Kibwana- Ni mzuri kwenye kujilinda ila kupanda sio mzuri kama Mwenda, nitampa dakika chache zikipatikana

Boka, ana fitness lakini anapoteza mipira sana

VIUNGO WAKABAJI
Andambwile-
Abuya

Andambwile- sio mzuri anachelewa ku link mipira na Viungo wa mbele lakini na Bora kuliko Control

Hapa namwacha
Conte- hana fitness kabisa, apige gym awe fit hawezi kuhimilinkucheza hata dakika 45

Sure boy- age go atulie asubiri mapinduzi cu

VIUNGO WASHAMBULIAJI

Max Nzegeli
Pacome
Doumbia

Hapa nitawaacha bench
Kouma- huyu namwona kama tapeli tu ni Mchezaji wa kawaida mno, ni slow mno kama konokono, sio mbunifu wa kucheza na washambuaji

Mudathiri - ni mchezaji mzuri ila kwasasa tukubali ana fatigue mno na hawezi kuhimilinkucheza hata dakika 60

Chikola- ni mzuri nadhani ana pressure ya kucheza timu kubwa nitampa dakika chache au nitamtumia kama nitaamua kupanua uwanja na kucheza pembeni

Farid Musa - ni mchezaji mno, coach ampe nafasi amewazidi mbali akina Kouma

Nkane - huyu amegoma kukua, dirisha dogo napeleka Namungo Kwa mkopo

WASHAMBULIAJI
PRINCE DUBE
Dube sio goal getter mzuri sana ila anafanya mikimbio mingi na kuwachosha au kuwazubaisha mabeki, hivo kutoa Kwa play makers wengine kufunga hata asipofunga yeye

NITAWAACHA BENCH
Andy Boyeli - huyu ni tapeli hamna mchezaji, anatembea kama Chiba, hana fitness Kabisa, huyu hata bench haki

Selestin ECUA- ni mchezaji mzuri mno akitulia tatizo anapenda kucheza na jukwaa, akiwa serious atakuwa hata MVP
Nitampa nafasi ikiwa mpinzani amebana au kubaki basi

Mzize - ana majeraha na fatigue hivo nitampa dakika chache tu

Edmund John- huyu bwana mdogo ana kipaji kikubwa mno atakuja kuuzwa 10 billion, nitampa dakika kadhaa ili kukua na kupata uzoefu
Umejitahid kuwachambua ila Mie nnaona kuna marekebisho kidogo, EdmunJohn ni Mchezaji mwenye akili sana ila ana tatizo pia la kutokuwa na kasi. Hujamuelezea Ecoua ambaye ni mzuri sana, kasi kubwa ila pasi zake nyingi hazifiki na pia anapoteza mipira kama Boka

Andambwile, Farid Musa na Nkane ni Wachezaji wazawa watakaofika mbali sana kisoka wallah...wanajituma sana

Kibwana Shomari anajua kukaba sana ila kwenye kupanda anahitaji msaidizi na pia nae sijui umri ushaenda maana daah
 
Umejitahid kuwachambua ila Mie nnaona kuna marekebisho kidogo, EdmunJohn ni Mchezaji mwenye akili sana ila ana tatizo pia la kutokuwa na kasi. Hujamuelezea Ecoua ambaye ni mzuri sana, kasi kubwa ila pasi zake nyingi hazifiki na pia anapoteza mipira kama Boka

Andambile, Farid Musa na Nkane ni Wachezaji wazawa watakaofika mbali sana kisoka wallah...wanajituma sana

Kibwana Shomari anajua kukaba sana ila kwenye kupanda anahitaji msaidizi na pia nae sijui umri ushaenda maana daah
Umenena vyema mkuu
 
Ukimsaidia Kocha na Kocha akachukua haya mapendekezo yako na baadaye ikaja kuonekana mapendekezo yako yameleta impact kwenye timu

Maana yake mshahara anaochukua Yanga ni soft robbery hana tofauti na Andy Boyel, Kouma uliowaita matapeli.
 
Ukimsaidia Kocha na Kocha akachukua haya mapendekezo yako na baadaye ikaja kuonekana mapendekezo yako yameleta impact kwenye timu

Maana yake mshahara anaochukua Yanga ni soft robbery hana tofauti na Andy Boyel, Kouma uliowaita matapeli.
Ushauri muhimu
Hata Rais Samia anashauriwa
 
Wauza jezi wamepeleka kesi mahakamani.umewauzia jezi alafu unawabadilishia🤣🤣🤣
 
Foundation coarse ya nyoko...

Ila nimependa ulivyomuelezea Kouma na Boyeli...
 
Kumekucha kumekuchaaa. Kwani mfumo si umetiki au ni mtiki umefumo?
 
Binafsi enzi zangu nilikuwa mshambuliaji hatari sana. Napenda kukuhakikishia Andy Boyelli ni mshambuliaji mzuri kuliko hata Prince Dube.
Akipewa muda wa kutosha, utakubaliana na mimi. Dube ni mshambuliaji mzuri. Ila ana tatizo kubwa kwenye maamuzi ya haraka, na pia kwenye kutumia nafasi chache anazopata.

Nakubaliana na wewe Mudathir, na Job na Max wana fatique. Na Mwamnyeto ni beki mzuri. Shida yake kubwa hana kasi. Yaani akipitwa tu na mshambuliaji mwenye mbio, kwisha habari.

Kwa hiyo ni vizuri pia kocha akatengeneza mapema kikosi chake cha kwanza. Rotation inatakiwa siku za baadaye huko wakati ligi imechanganya na mechi za mashindano ni nyingi!
 
Binafsi enzi zangu nilikuwa mshambuliaji hatari sana. Napenda kukuhakikishia Andy Boyelli ni mshambuliaji mzuri kuliko hata Prince Dube.
Akipewa muda wa kutosha, utakubaliana na mimi. Dube ni mshambuliaji mzuri. Ila ana tatizo kubwa kwenye maamuzi ya haraka, na pia kwenye kutumia nafasi chache anazopata.

Nakubaliana na wewe Mudathir, na Job na Max wana fatique. Na Mwamnyeto ni beki mzuri. Shida yake kubwa hana kasi. Yaani akipitwa tu na mshambuliaji mwenye mbio, kwisha habari.

Kwa hiyo ni vizuri pia kocha akatengeneza mapema kikosi chake cha kwanza. Rotation inatakiwa siku za baadaye huko wakati ligi imechanganya na mechi za mashindano ni nyingi!
Nakubaliana na wewe mkuu
 
Binafsi enzi zangu nilikuwa mshambuliaji hatari sana. Napenda kukuhakikishia Andy Boyelli ni mshambuliaji mzuri kuliko hata Prince Dube.
Akipewa muda wa kutosha, utakubaliana na mimi. Dube ni mshambuliaji mzuri. Ila ana tatizo kubwa kwenye maamuzi ya haraka, na pia kwenye kutumia nafasi chache anazopata.

Nakubaliana na wewe Mudathir, na Job na Max wana fatique. Na Mwamnyeto ni beki mzuri. Shida yake kubwa hana kasi. Yaani akipitwa tu na mshambuliaji mwenye mbio, kwisha habari.

Kwa hiyo ni vizuri pia kocha akatengeneza mapema kikosi chake cha kwanza. Rotation inatakiwa siku za baadaye huko wakati ligi imechanganya na mechi za mashindano ni nyingi!
Kwenye kazi yeyote ile uzoefu muhimu sana, huyu kocha hata haelewi vitu gani vya msingi vya kufanya wakati wa sasa. Yaani yeye kujaribu jaribu tu wachezaji kila mechi. Mpaka sasa ana Andambwile, Mwamnyeto, Diara, Boka, na Pacome ndio wachezaji wake panga pangua. Kocha kapewa rasilimali za kutosha sana huyu ila ndio hivyo tena
 
Ila sie Watanzania Mungu anatuona haki ya nani, Kocha akiwa na first 11 tunasema kocha anakariri wachezaje kama ilivyokuwa akisemwa Fadlu na akitaka kila mtu acheze tunasema kashindwa kupata kikosi cha kwanza!!

Mie siyo mwalimu lakini anachofanya kwa sasa naona yuko sahihi huwezi subiri ufike Makundi CUF ndo uanze kujaribu jaribu wachezaji na mifumo kama inafanya kazi, hatua hizi za chini ambazo bado zina timu dhaifu ndo mda wa kumjaribu kila mchezaji na kujaribu mbinu tofauti tofauti kuona ipi itakutoa.
 
Ila sie Watanzania Mungu anatuona haki ya nani, Kocha akiwa na first 11 tunasema kocha anakariri wachezaje kama ilivyokuwa akisemwa Fadlu na akitaka kila mtu acheze tunasema kashindwa kupata kikosi cha kwanza!!

Mie siyo mwalimu lakini anachofanya kwa sasa naona yuko sahihi huwezi subiri ufike Makundi CUF ndo uanze kujaribu jaribu wachezaji na mifumo kama inafanya kazi, hatua hizi za chini ambazo bado zina timu dhaifu ndo mda wa kumjaribu kila mchezaji na kujaribu mbinu tofauti tofauti kuona ipi itakutoa.
Sio kweli
 
Back
Top Bottom