mweee kweli kazi ipo..yaaani rais kavumilia weeee mpaka kaamua kutafuta kakinyago ili mradi apeane mkono na kaka!!!! haya na huyu Ridhwan kafuata nini sasa hapa?mhh kazi ipo kwa kweli
Oyaa swali la kizushi hivi ni tatizo la vifaaa au maujuzi mbona mishemishe za mapaparazi wetu ndani ya uwanja zilikuwa tofauti
PAPARAZI WAO.....
PAPARAZI WETU
Glori Samuel akimbeba mwanaye, Grace Kelvin (5), aliyedaiwa kutekwa nyumbani kwao Hedaru na watu wasiojulikana na baadae kukutwa eneo la Pasua Moshi alikokuwa amehifdhiwa na wasamaria wema...
Ikiwa katika maandalizi ya mwisho ya kurekodiwa movie inayokwenda kwa jina la MY DREAMS, Mastar kibao walioshiriki katika movie hiyo wamejikuta wakitambiana kila mmoja akisema atamfunika mwenzake...
Nameipenda hii, kwani mmmh haikuwa mchezo siku hio mana kwa wale wenzungu na mimi wanaweza kuhonga gari na nyumba, was very fine...... bongo kama ulaya tu bwana kwa walionazo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.