Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 734
Dogo mchangamfu sana just like my Boy....
Last edited by a moderator:
Watoto wa walalahoi waokota mipira siku hiyo walitoswa walichukuliwa watoto wa vigogo tu hata hao unao waona ni wa vigogo hata wale walio kuwa wanaokota mipira ni wa vigogo tu.
Watoto wa walalahoi waokota mipira siku hiyo walitoswa walichukuliwa watoto wa vigogo tu hata hao unao waona ni wa vigogo hata wale walio kuwa wanaokota mipira ni wa vigogo tu.
Ha ha haaa Bongo Ufisadi kila Sehemu, Maskini watoto wa Walalahoi ambao mara Nyingi Mvua ni yao Jua ni lao walitoswa siku hiyo!
Bongo bana kila kitu Michongo tu
Ha ha haaa Bongo Ufisadi kila Sehemu, Maskini watoto wa Walalahoi ambao mara Nyingi Mvua ni yao Jua ni lao walitoswa siku hiyo!
Bongo bana kila kitu Michongo tu
Hey!! Where's the boy?? I don't see anything people!!:A S-eek:
Dar mkuu nilitamani kulia yaani wale watoto wa siku zote tumezoea kuwaona siku ile walipigwa chini lakini ndo hao hao huwa wanawakiwa na jua vile vile ndo hao hao huwa wananyeshewa na mvua wamekuja mastar wanawatosa na kupachika watoto wa vigogo lol.