Jamani ndugu na maadui
Kipindi hiki cha masika mi nimejiajiri kufanya hii kazi.
Haihitaji mtaji
Hubughudhiwi na mgambo
TRA hawakusumbui kuhusu risiti
Kwa kweli inalipa unachaji kutokana na...
Mimi ni msomaji mzuri wa blog ya kaka yangu mjengwa , sasa leo wakati napita nikakutana na kichwa cha kuajabisha, hii imetokea mara nyingi kwa mjengwa kung'aka kuhusu mke wake, kwamba kuna watu...
"Mke wa mtu ni sumu, usijaribu chombeza...." hayo ni maneno ya wimbo fulani hivi wa bongo flavor kidogo jina la msanii aliyeimba limenitoka...
Aibu ya mwaka imemkuta huyo njemba pichani baada ya...
Mwili wa marehemu kanumba ukiwa katika kwa ajili ya kuagwa kwenye viwanja vya leoaders mapema leo, msanii huyo aliyefariki usiku wa kuamkia jumamosi amezikwa jioni ya leo katika makaburi ya...
Rais Jakaya Kikwete akisaini kitabu cha maombolezo ya aliyekuwa mwigizaji mahiri wa filamu nchini, marehemu Steven Kanumba nyumbani kwake Sinza Vatican, jijini Dar es Salaam. (Picha na Freddy Maro).
Watu ni wengi sana.....jua ni kali lakini hakuna anayelijali....
Jeneza la mpendwa wetu......
Waombolezaji wakizidi kusogea eneo la msiba.....
Sugu akitoa salaam
Umati wa watu...
Pichani:
Elizabeth Michael ‘Lulu' akiwa katika Mahakama ya Mwanzo Kinondoni (lol), Dar es Salaam mwaka jana alipokuwa akituhumiwa kumshambulia kwa matusi ya nguoni, mlalamikaji Kilakhaba...
bofya hapa kwa picha zaidi za kitalii kuhusu bara letu la AFRICA Africa | Facebook
The Sabi Sand Game Reserve is undoubtedly the most exclusive private game reserve in South Africa. The 65000...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.