Hapana mkuu, hilo ni fundisho kwetu sote tulee watoto wetu katika maadili mema. Hata Kanumba alikuwa na makosa makubwa sana, kwanini alikuwa anambaka mtoto huyu? It is obvious he was outing with her. God forbid.:doh:Mtoto amevaa nguo zinamusha mpaka analia.
Acha upumbavu wewe! nini cha kufurahia hapo?
Mimi neno langu kwa siku ya leo ni 1 tu......mtoto huwa habebi type za kina Captaiin hata siku 1,Lulu ni more than mtu mzima wa kawaida regardless of her age...over!Ni dhahiri kwamba Kanumba alikuwa na makosa kwa kumbaka mtoto mdogo kama huyu. cha ajabu wengi hawalioni hilo wanamlilia tu kanumba kwa vile wanapenda muvi zake. mie nawaambia hii kesi itakuja kuleta kizaazaa
Namuonea huruma sana kwa jinsi anavyoteseka!
1.Every action there is equal and opposite reaction
2.Pay the cost to be The Boss