na wananchi tunatabasamu kwa uchunguNimeitafsiri kama huyo aliyemkanyaga mwenzie ni "serikali iliyopo madarakani" na huyo aliyekanyagwa ni "wananchi"
asante kwa kuipenda.nmeipenda hii.
asante kwa kuipenda japo hayupo ambaye ungemchagua.Khaaa,Hapo hayupo, may b angekuwa mwanajeshi mpiga mizinga. But nimeipenda hiyo....!
umeonaeee,halafu wote wanaonekana ni watundu balaa.Mipacha hiyo midogo.
sijui Bujibuji,zaman tulikua tunaweka pozi la dole gumba ila madogo wa siku hizi mapozi yao hayatabirikiHivi refa ndio amepiga hii picha?
kilolambwani usinitie uchungu maana maana mwananchi nimekandamizwa kichwan hadi napumua kwa shida.Nimeitafsiri kama huyo aliyemkanyaga mwenzie ni "serikali iliyopo madarakani" na huyo aliyekanyagwa ni "wananchi"
na wananchi tunatabasamu kwa uchungu
Ningependa wote wawe wanangu maana hakuna dalili ya chuki baina yao!! Wako powa!!