Ujuzi wa kutawala, muda(time) ndio kitu chenye thamani kuliko vitu vyote ulimwenguni

mtarimbo

JF-Expert Member
Jul 12, 2015
1,529
3,919
Wakuu kwanza heri ya mwaka2022,nimekua nikifuatilia elimu mbalimbali kuhusiana mda ,kiukweli mda ndio kila kitu kwenye maisha ya kila kiumbe ,ila kama huna ujuzi wa kuutawala mda ,wewe si lolote,utaishia kufeli kila siku,ni hivi fikiria kama ungekua unajua mda wako wa kufa,au mda ambao mvua hazitanyesha au zitanyesha kwa wingi ,au mda ambao watu watahitaji kitu flani yaani kiufupi kujua future ya mda wako.nafikiri ukiwa na huu ujuzi utafanikiwa sana.

Sasa tuje kwenye mada je ni nani awezaye kutawala mda? Kimaandiko matakatifu hujulikana kama uzima wa milele, ukiangalia uwezo huu Mungu aliwapa kwa mda tuu baadhi ya mitume ,kama Yusuph,Danieli,Samweli,Eliya,Elisha na wengine wengi.ukiwa na uwezo huu utafahamu nyakati mbalimbali zijazo,na uwezo wa kurudisha muda nyuma mfano kufufua mtu aliyekufa,kujua nini hasa sahihi,kufanya kwa wakati,mda,na saa sahihi,yaani unaweza kurudisha hata miaka yako nyuma,kufufua mambo yaliyokufa mfano uwezo wa kuzaa kwa matasa,hata kikongwe anaweza kushika mimba,ni uwezo wa ajabu sana.

jibu ni kwamba tangu kuumbwa kwa ulimwengu hakuna kiumbe kilichoweza au kupewa uwezo wa kutawala mda zaidi ya Mungu pekee,even Bwana Yesu au nabii Isa bin Mariam alipoulizwa ni lini mwisho wa dunia alijibu mwenye kujua mda ni Mungu pekee,fikiria Yesu kicheo ni wa pili kutoka Mungu ila hakupewa uwezo wa kutawala mda ila alipewa kutawala kwa sehemu chini ya uangalizi mkubwa wa Roho wa Mungu,hivyo ,hakuna awezaye kutawala mda,sasa IPI njia ya kutawala muda?

Mungu alisema mkiniamini na kunitii mtafanikiwa mashambani,makazini yaani kila kina ya dunia utafanikiwa,kumbuka hakuna mafanikiyo bila muda kutawaliwa,hivyo ukitaka kutawala muda mche Mungu.pia alisema mkiniamini mtapata uzima wa mililele,maana yake tutakua kama Yesu tutaweza kutawala mda chini ya uangalizi wa Roho wa Mungu,maanake hatutatawala mda kwa mapenzi yetu Bali kwa mapenzi ya huyo Roho wa Mungu ,hivyo wengi wanaomcha Mungu wengi hawatambui uwezo walionao,ndio maana Mungu akanena watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.Tambua huwezi kamwe kutawala mda pasipo huyo Roho.
 
mkuu hueleweki, kama yesu hakuweza kutawala muda unadhani wewe utaweza? mitume na mabii walikua wakimcha mungu na kumtii zaidi yetu why hawakufanikiwa kutawala muda
Ni maarifa tuu mkuu kama una lolote tunapeana ujuzi maadam tunapumua
 
Muda pia ni kujua wewe ni nani na umekuja fanya nini duniani. Waweza jua muda usijue umefata nini.
 
Wakuu kwanza heri ya mwaka2022,nimekua nikifuatilia elimu mbalimbali kuhusiana mda ,kiukweli mda ndio kila kitu kwenye maisha ya kila kiumbe ,ila kama huna ujuzi wa kuutawala mda ,wewe si lolote,utaishia kufeli kila siku,ni hivi fikiria kama ungekua unajua mda wako wa kufa,au mda ambao mvua hazitanyesha au zitanyesha kwa wingi ,au mda ambao watu watahitaji kitu flani yaani kiufupi kujua future ya mda wako.nafikiri ukiwa na huu ujuzi utafanikiwa sana.

Sasa tuje kwenye mada je ni nani awezaye kutawala mda? Kimaandiko matakatifu hujulikana kama uzima wa milele, ukiangalia uwezo huu Mungu aliwapa kwa mda tuu baadhi ya mitume ,kama Yusuph,Danieli,Samweli,Eliya,Elisha na wengine wengi.ukiwa na uwezo huu utafahamu nyakati mbalimbali zijazo,na uwezo wa kurudisha muda nyuma mfano kufufua mtu aliyekufa,kujua nini hasa sahihi,kufanya kwa wakati,mda,na saa sahihi,yaani unaweza kurudisha hata miaka yako nyuma,kufufua mambo yaliyokufa mfano uwezo wa kuzaa kwa matasa,hata kikongwe anaweza kushika mimba,ni uwezo wa ajabu sana.

jibu ni kwamba tangu kuumbwa kwa ulimwengu hakuna kiumbe kilichoweza au kupewa uwezo wa kutawala mda zaidi ya Mungu pekee,even Bwana Yesu au nabii Isa bin Mariam alipoulizwa ni lini mwisho wa dunia alijibu mwenye kujua mda ni Mungu pekee,fikiria Yesu kicheo ni wa pili kutoka Mungu ila hakupewa uwezo wa kutawala mda ila alipewa kutawala kwa sehemu chini ya uangalizi mkubwa wa Roho wa Mungu,hivyo ,hakuna awezaye kutawala mda,sasa IPI njia ya kutawala muda?

Mungu alisema mkiniamini na kunitii mtafanikiwa mashambani,makazini yaani kila kina ya dunia utafanikiwa,kumbuka hakuna mafanikiyo bila muda kutawaliwa,hivyo ukitaka kutawala muda mche Mungu.pia alisema mkiniamini mtapata uzima wa mililele,maana yake tutakua kama Yesu tutaweza kutawala mda chini ya uangalizi wa Roho wa Mungu,maanake hatutatawala mda kwa mapenzi yetu Bali kwa mapenzi ya huyo Roho wa Mungu ,hivyo wengi wanaomcha Mungu wengi hawatambui uwezo walionao,ndio maana Mungu akanena watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.Tambua huwezi kamwe kutawala mda pasipo huyo Roho.
Ndiyo.

Wakati ni 'konjugali' ya 'Mungu-Mwenyezi' na Uzima wa Milele ni 'Roho iliyo ni Mungu'. Mungu ni Kweli iliyo Moja -- Yote na Kila kitu. Mungu ni kilichomo kote, mote na katika kila kitu... Pia, kiasilishi cha matukio yote, vitendo vyote na basi nyakati zote...

Ili kuweza kumaizi fumbo la Mungu tunahitaji kuwa na uwezo wa kufikiri zaidi ya kawaida... Tunahitaji kufikiri kwa 'akili', 'damu' na 'pumzi'...

'Mungu' ni akili yote, uzima wote basi Mungu ni sawa na kusema 'kitabu kinachoishi'...

Ukija kumaizi hivi basi haitakuwa mbali na kujua 'kuna maandishi ya kudumu' kuna 'maandishi ya kuweza kubadilika' kwa minajili jitihada za 'moja kwa moja' ama 'isivyo moja kwa moja'... Wakati ni 'si kitu cha kudumu'... Wakati ni sura ya nje ya ukweli wa jambo/mambo ulio ni matokeo ya dhamira na mwongozo wa kiumbe chenye kuamua hatma yake, katika ulimwengu kinakodumu 'kuishi' -- kupititia muktadha wa matendo yake na jitihada...

Ulimwengu wa Akili na Uzima, matukio yote ni matokeo ya kuchagua na kujichagulia. Kuna ya kujulikana bayana na yasiyojulikana bayana yanayokadirisha hatma zetu kama viumbe katika wakati...

Wakati | matukio | machaguo ya kitaasisi | na jamii | ni vitu vinavyofungamana...

Ujuzi wa kusoma 'mambo ya nyakati' huboreka na kukomaa tunapoonza kujifunza 'lugha za malaika'... Hii ndiyo huleta wepesi kubaini ni namna gani 'yale yasiyokuwa na mwanzo wala mwisho' yanaoana na 'yale yenye mwanzo na mwisho'.

Tutaanza kuelekezana haya yanawezekana vipi...

Katika haya jua kwamba, utahitaji muktadha mpya wa vizio vya ufikirifu -- ufikirifu mifumo... Huu ndiyo mwanzo kuchakata habari kwa 'wima' na 'ulali'... Kufikiri kwa kutanisha 'mambo ya mbingu' na 'mambo ya nchi'...

Huu ni mwanzo wa maarifa, elimu na ilimu ya metafizikia...
 
Wakuu kwanza heri ya mwaka2022,nimekua nikifuatilia elimu mbalimbali kuhusiana mda ,kiukweli mda ndio kila kitu kwenye maisha ya kila kiumbe ,ila kama huna ujuzi wa kuutawala mda ,wewe si lolote,utaishia kufeli kila siku,ni hivi fikiria kama ungekua unajua mda wako wa kufa,au mda ambao mvua hazitanyesha au zitanyesha kwa wingi ,au mda ambao watu watahitaji kitu flani yaani kiufupi kujua future ya mda wako.nafikiri ukiwa na huu ujuzi utafanikiwa sana.

Sasa tuje kwenye mada je ni nani awezaye kutawala mda? Kimaandiko matakatifu hujulikana kama uzima wa milele, ukiangalia uwezo huu Mungu aliwapa kwa mda tuu baadhi ya mitume ,kama Yusuph,Danieli,Samweli,Eliya,Elisha na wengine wengi.ukiwa na uwezo huu utafahamu nyakati mbalimbali zijazo,na uwezo wa kurudisha muda nyuma mfano kufufua mtu aliyekufa,kujua nini hasa sahihi,kufanya kwa wakati,mda,na saa sahihi,yaani unaweza kurudisha hata miaka yako nyuma,kufufua mambo yaliyokufa mfano uwezo wa kuzaa kwa matasa,hata kikongwe anaweza kushika mimba,ni uwezo wa ajabu sana.

jibu ni kwamba tangu kuumbwa kwa ulimwengu hakuna kiumbe kilichoweza au kupewa uwezo wa kutawala mda zaidi ya Mungu pekee,even Bwana Yesu au nabii Isa bin Mariam alipoulizwa ni lini mwisho wa dunia alijibu mwenye kujua mda ni Mungu pekee,fikiria Yesu kicheo ni wa pili kutoka Mungu ila hakupewa uwezo wa kutawala mda ila alipewa kutawala kwa sehemu chini ya uangalizi mkubwa wa Roho wa Mungu,hivyo ,hakuna awezaye kutawala mda,sasa IPI njia ya kutawala muda?

Mungu alisema mkiniamini na kunitii mtafanikiwa mashambani,makazini yaani kila kina ya dunia utafanikiwa,kumbuka hakuna mafanikiyo bila muda kutawaliwa,hivyo ukitaka kutawala muda mche Mungu.pia alisema mkiniamini mtapata uzima wa mililele,maana yake tutakua kama Yesu tutaweza kutawala mda chini ya uangalizi wa Roho wa Mungu,maanake hatutatawala mda kwa mapenzi yetu Bali kwa mapenzi ya huyo Roho wa Mungu ,hivyo wengi wanaomcha Mungu wengi hawatambui uwezo walionao,ndio maana Mungu akanena watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.Tambua huwezi kamwe kutawala mda pasipo huyo Roho.

umechukua umewekaaa p'waa Mkuu hujaeleweka nn maana ya uzi wako anyway huenda sijapatwa roho wa bwana
 
Yohana 9:4
Imetupasa kuzifanya kazi zake yeye aliyenipeleka maadamu ni mchana, usiku waja asipoweza mtu kufanya kazi.

Yesu aliongelea Kila kitu.
Hapa Alikuwa anakimnizana na Muda
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom