Utulivu ni muhimu kwenye nafsi zenu wote.
Husika na kichwa cha habari hapo juu. Wajuzi wa mambo wanasema ukweli unashangaza sana kuliko uhalisia wa mambo. Asilimia 100% ya vitu vinavyo tuzunguka...
Je, Unataka Kupima Nguvu Zako Za Ziada? Mind power? Fanya hivi:
Mahitaji:
1: Sauti Iliosawia Ya Kwako
2: Taa au Mshumaa
Fuata Yafuatayo Utaweza Kuwasha Na Kuzima Mshumaa Kwa Nguvu Ya Fikra...
Mungu wa biblia,
Imeandikwa katika biblia kuwa Mungu ndie alieliteua taifa la Israel kuwa taifa lake,ambalo kupitia taifa hilo neno lake lingesambazwa dunia nzima!
Katika kitabu hicho kimenadi...
Inawezekana katika kupita pita kwako kwenye mitandao umekuta jini huyu kazungumziwa sana lakini si kwa uwazi zaidi ya kuwa ana hakikisha ushindi kwako katika michezo ya kamari,
Hapa nitakujuza...
Habari wanaJF,
Katika Mwanzo 2:7, Adamu 1 aliumbwa kwa udongo na mavumbi, katika warumi 8:23 kitabu kinasema kuwa sisi sote tulikuwa malimbuko ya Roho na Nafsi ambayo inaugua na ina mwili (yaani...
Salute
Siku moja nilikua naangalia TV chanel moja ya watoto inaitwa Da Vinci Learning ya wayoto nikaona kipindi kimoja kinaitwa Thomas Edison Laboratory:Father of invetion asee nilighafirika sana...
Baada ya mamilioni miaka kadhaa ya vita ya nuclear ambayo ilihusisha Allies tofautitofauti( vita hiyo ndiyo iliua wanyama wakubwa kama dinosaurs etc) achana na habari za kuanguka kwa kimondo kama...
Jina huathiri muktadha, asili, chanzo na uhalisia wa kitu..... Kitabu cha MWANZO katika Biblia takatifu ndicho kitabu msingi kinachosomwa zaidi duniani... Tena na imani na dini zote...
Nukuu na...
Kuna vijana wengi wanataka kuwa ‘masiya wa kisiasa’ wa Tanzania. Yaani wanataka kuikwamua Tanzania kutoka kwenye matatizo yake ya muda mrefu.
Ili vijana hawa wasifanye makosa, ni vizuri wakajua...
Majo yote tunayoyaona hapa duniani yana umri mrefu sana kuliko hata mifumo mengine ya nyota kama ulivyo mfumo wetu wa Jua hapa na maana kwamba hata mfumo wetu wa Jua unaumri mdogo kuliko maji haya...
Katika makala hii nitazungumzia nguvu nyingine ya muujiza moja kati ya nguvu za miujiza walizonazo watu wengi ambayo ni Clairvoyance;
Hii ni moja kati ya nguvu za miujiza ambayo wenye nayo...
HYPNOSIS
Katika makala hii nitakueleza kwa uchache kuhusu Hypnosis nikiwa na maana kupangua na kuhama kutoka sehemu moja ya fikra kwenda nyingine.
Kwa Kuanza;
Hypnosis ni rejea Inayohusu au...
Jinsi Ya Kujitibu Maumivu Popote Mwilini: Kwa nguvu Ya Fikra... Ikiwa Ni Maumivu Kawaida Au Ya Kichawi..
Jambo! Ni Rakims Tena Na Power Of Subconscious Mind..
Nguvu Ya Ubongo Wako Sehemu Ya Siri...
Habari,
Kwa Wale Wanaofahamu Kuhusu Mada Zangu Basi Hii Ni Random Inayoendelea Na Chakras
"Maajabu Ya Koo La Chakula Au Kidaka Tonge"
"Hapo Mwanzo Kulikuwako Neno, Nae Neno Alikuwa Kwa Mungu...
Habari wanabodi,
ifuatayo ni mada mahususi kwa wale wanaosumbuliwa kwa kuondokewa na watu mfano mzazi,ndugu au rafiki
Nimeamua kuelezea trick hii kidogo ili iwe mfano kwa wengine watakao hitaji...
Aportation:
(kuhamisha maada (kitu) na kuidhihirisha upande mwingine)
Apportation:
ni moja kati ya aina ya nguvu za miujiza ambayo hii humuwezesha mtu kutoa kitu kutoka upande mmoja kwenda...
KUANDIKA KWA KUONGOZWA NA ROHO:
Kuandika:
ni pale mtu anaposhika kalamu na chochote chenye kuwezekana kuandikwa na kuandika chochote anachojiskia
Kuandika kwa kuongozwa na roho:
ni paleambapo...
Je, hivi unadhani kwamba tupo peke yetu katika ulimwengu mzima? HAPANA
Kuna bilioni mia ya nyota zilizopo angani ambazo nazo karibu zote huwa kama zimezunguka Sayari moja ambapo nyota hizo...
Yakuti ya njano (Yellow Saphire)
Yakuti ya njano ni moja kati ya mawe yanayo thaminishwa sana katika ulimwengu wa kiroho kwa faida nyingi za kimwili na kiroho, hasa katika maisha ya kila siku ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.