Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
Asilimia kubwa ya jamii ya mwanadamu inaamini kuna maisha baada ya kufa na kuna sehemu inaitwa mbinguni ambapo watu wataishi tena baada ya maisha yao kufikia mwisho hapa duniani.Hii ndio hufanya...
15 Reactions
404 Replies
40K Views
Lazima kuwe na sababu kwa kipi kinapelekea kwenda huko na kina manufaa gani. Zipo sayari nyingi na zipo zina fanana na dunia kabisa ila kuzifikia ni kuboresha anga ya usafiri kufika kwa wakati...
9 Reactions
63 Replies
8K Views
Hello 👋👋, habari za mida. Leo nataka niwafahamishe kitu ambacho wengi hawakujui juu ya uumbaji. Bila shaka wengi wetu tunaelewa kuwa Binadamuu wa kwanza katika uumbaji wa mwenyezi MUNGU alikua ni...
7 Reactions
98 Replies
16K Views
Habari wana Jf poleni na Majukumu ya kazi, Naomba niende Moja kwa Moja No 1 point. Hapo kabla Babu zetu walikua na namna wanavyoomba na kiimani Yao walikua wanafanikiwa ambavyo inajulikana kama...
5 Reactions
73 Replies
3K Views
Wana Jamii naombeni msahada mtaalamu wa kuvunja mizimu na madhabahu za Koo za Kichaga. Mm ni mwanaume wa miaka 33, Mchaga wa Kilema, Mlo, Lakini chagamoto kuu ni kushikiliwa na Madhababu ya...
5 Reactions
36 Replies
6K Views
Peace be upon you Let's go straight into the topic. Did non-human animals have Souls? Yes, they have it. We can try to analyze it through two definitions of the word "Soul". 1. Soul - is the...
1 Reactions
7 Replies
649 Views
Habari za muda mrefu, wakuu. Majukumu ya hapa na pale yameniweka mbali sana na humu. Nimekuwa mtu wa kuingia kusoma nyuzi na maoni ya watu bila kushiriki. Ila leo nina maswali mawili tunaweza...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadau nawasalimu Je Umewahi Kujiuliza kwanini MUNGU aliamua MTU AKIFA azikwe na asichukue kitu chochote alichokuwa nacho Duniani? Je Angeruhusu unadhani ingekuwaje? Je Unadhani Binadamu...
0 Reactions
4 Replies
393 Views
Naomba majibu kulingana na ufahamu wako wa kumjua Mungu, wale walio kufa ikifika Muda wa hukumu judge atatoa hukumu ya Moto wa Jehanamu kwa watu wenye sifa zipi na Watakao ona pepo au watakao...
3 Reactions
53 Replies
3K Views
Nanukuu kutoka kitabu cha KUMBKUMBU LA TORATI FUNGU LA 28: 1 Itakuwa utakaposikia sauti ya Bwana, Mungu wako, kwa bidii, kutunza kuyafanya maagizo yake yote nikuagizayo leo, ndipo Bwana, Mungu...
9 Reactions
12 Replies
5K Views
Why did he needs anything to create anything if he created the World out of nothing? Why?
13 Reactions
148 Replies
8K Views
Pengine wengine wanaweza kujiuliza nini maana ya Pentateuch. Pentateuch au "Πεντάτευχος" limetokana na lugha ya kiyunani yaani kigiriki linalomaanisha "penta" (πεντά au πεντά) yaani tano na...
3 Reactions
7 Replies
1K Views
Kwa nini? Kwa mtazamo wa kwanza, inaonekana kama nambari ya kawaida. Lakini hadithi nyingi na imani zinahusishwa nayo. Mtu anaamini kabisa kuwa 13 ni nambari isiyo na bahati. Kwa nini? Hii...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Bonjour wana JF, Sijui kuna mtu ameshawahi kua na swali kama langu ila akakosa majibu ya kitaalamu. Kila nikiangalia ziara za Rais JPM huwa naona walinzi mwenye sare tofauti tofauti nikapata...
19 Reactions
252 Replies
50K Views
Sasa ni hakika na wazi kuwa binadamu ataishi kwenye sayari tisa kabla ya kuonana na Mungu Inasemekana Adam aliishi miaka 900 ambapo kila baada ya miaka 100 alikuwa akiishi kila sayari na Dunia...
32 Reactions
119 Replies
13K Views
Inaandikwa kwamba, basi Bwana Mungu akasema. NA TUUMBE MTU kwa mfano wetu. Hapa Bwana Mungu hakuwa pekeyake... Kulikuwa na mamlaka kamili ya kiroho juu mbinguni yaliyokuwa yanaongozwa na Mungu...
11 Reactions
143 Replies
18K Views
Habari za jioni wajuzi !. Nianze kwa kusema inawezekana kuna wakati tunasoma vitu sawa lakini katika uelewa tofauti. Huu uzi haupo kwenye masuala ya kidini na nisingependa tuingie huko tubaki...
18 Reactions
361 Replies
13K Views
Kama tukilitazama hili kwa jicho la kiimani tutasema shetani anaupiga mwingi na ametafuta plan B baada ile ya pale Eden kuingia dosari na watu kuanza kuugua, kuzeeka na kufa.. Kama kuna kitu...
29 Reactions
141 Replies
14K Views
"The problem with Africa is those with power have no idea, and those with idea have no power" By proffesor lumumba Recent Nilikua nasoma kitabu kimoja kimaitwa THE LOOTING MACHINE OF AFRICA...
3 Reactions
18 Replies
1K Views
Wanaanza kwa kukujaza upepo mpaka unajiona umenona, wewe ndio wewe, Mfalme. Wanakulainisha na kukulegeza mpaka miguu inakosa nguvu, huwezi kusimama. Wakianza kuingiza huna cha kuzuia, umekwisha...
3 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom