Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
Kuna vyanzo vingi vinavyo elezea kuwepo kwa freemasonry Kabla ya 1717, vyanzo hivyo ni vingi, vinahitaji muda na uyakinifu ilikuweza kutofautisha baina ya almasi na vipande vya vioo. Kuna vilivyo...
10 Reactions
21 Replies
10K Views
Tunaingia kwenye ulimwengu wa akili bandia (AI)kwa kasi mno isiyozuilika.. Kila kitu kinabadilika hakuna kinachoachwa nyuma, ni mabadiliko ya pamoja Zile sinema za Matrix zilizodhaniwa ni za...
28 Reactions
72 Replies
6K Views
Kitabu bora cha UJASUSI na USALAMA kiitwacho "IJUE HISTORIA" chenye kurasa 470 kinachoongelea historia za UJASUSI, UPELELEZI, SIRI ZA DUNIA, UGAIDI na UHALIFU kimeshatoka na kinapatikana kwa sh...
37 Reactions
143 Replies
55K Views
Je ulishawahi kuwaza kuwa labda jamii ya watu ambayo ilikuwa na watu maarufu duniani kama Yesu, mfalme Daudi na mfalme Sulemani walikuwa na ngozi nyeusi? nakuletea taarifa kuwa jamii ya Wayahudi...
4 Reactions
43 Replies
8K Views
Vifo tata! Kuna watu walikufa vifo visivyo vya kawaida, vifo vya lazima, vifo vya kuuliwa, kuna mbinu kama forensic investigation ziliweza kung'amua kilichojiri kabla ya kifo. Kuna technology ya...
2 Reactions
28 Replies
2K Views
Tume kuwa tukidanganywa sana, Mara ooh kuna waganga wanatibu Uchawi, Mara ooh kuna Mganga ana uwezo wa kukuonyesha Mbaya wako kupitia maji au kioo, Mara ooh kuna Mganga ana kupa dawa ya Kumfanya...
7 Reactions
48 Replies
9K Views
Kama ulidhani Baridi kali inatumika kuhifadhi Bidhaa pekee ili zikae muda mrefu bila kuharibika, fikiria upya. Teknolojia mpya iitwayo 'Cryonics' imeanza kujipatia umaarufu kwa kutunza Miili ya...
3 Reactions
41 Replies
5K Views
Habari wana jukwaa. Ni matumaini yangu mu wazima wa afya. Leo ningependa tuangazie hatma ya kijana wa Kitanzania. Nikiwa nimekaa zangu nimetulia nikiwaza ni namna gani naweza kuleta mchango...
7 Reactions
9 Replies
2K Views
Hello JF, Katika uumbaji wa vitu vyote vinavyoonekana Kuna hatua za uumbaji na majira ambayo hayo yote yalitokea. Ufahamu wa aliyeumba yaani Mungu Baba ambaye uhalisia wake ni CHANZO HALISI...
6 Reactions
62 Replies
6K Views
wanaoaminika kuwazidi binadamu akili ,marekani baada ya kushindwa kuunda kombola la hypasonic wanahaha kuwapata Hawa viumbe VITABU vitakatifu vimeandika kuwa Mwenyezi Mungu aliumba vitu...
7 Reactions
71 Replies
9K Views
Amani ya Bwana na iwe nanyi nyote, Wakuu moja kwa moja kwenye mada nina maswali yangu yenye aa,ba na che, ambayo nitayawasilisha kwenye huu Uzi na kama una uelewa nayo ni vyema ukayajibu. 1:MUNGU...
9 Reactions
103 Replies
8K Views
Thread hii nimeandaa mahususi kwa ajili ya kujibu na kutoa maelekezo vile nilivyo jaaliwa kuhusu maisha upande wa pili yaani ulimwengu wa kijini kichawi na kimiujiza, ikiwa una swali lolote kuhusu...
11 Reactions
325 Replies
56K Views
Wakati waumini wote wa dini ya kikristo duniani wakiwa wanaazimisha sikukuu ya kufufuka Kwa bwana yesu kristo, ningependa tuiangazie tekinolojia ya ufufuko na namna ambavyo wanadamu wanajaribu...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Ukisoma Luka 3:1 inatambulisha kuwa katika mwaka wa 15 wa Roman Emperor Tiberius Caesar (Kaisari Tiberius). Halafu ukienda chini kwenye hiyo Sura ya 3 unakuta masimulizi ya Yesu Kubatizwa katika...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Heri ya Mwaka Mpya Great Thinkers, Leo nimeamua kuja na huu uzi mahususi kwasababu ni mwisho wa mwaka na wengi wetu tunapenda kurudi makwetu. Wapare na Wachaga wataenda kwao Kilimanjaro, Wameru...
12 Reactions
139 Replies
47K Views
RICHARD SORGE Jasusi huyu anahesabika kama jasusi mwerevu kuliko wote katika karne ya 20. Jasusi huyo Mrusi na mwalimu wa hujuma alifanya kazi dunia nzima kabla na wakati wa Vita Kuu ya Pili ya...
12 Reactions
36 Replies
10K Views
Anaitwa Victor Glover ndiye atakuwa kiongozi wa chombo Orion space craft katika safari nzima ya kuelekea mwezini ambayo Itafanyika Mwezi novemba mwaka 2024 Rubani huyu wa chombo amezaliwa...
13 Reactions
31 Replies
3K Views
Hi socrates, Wengi wetu tumekuwa tukijua kwamba dollar ya marekani ndio fedha yenye thamani zaidi duniani lakini kuna pesa zingine ambazo zina thamani kuzidi ata hiyo dollar ya marekani Na hii...
11 Reactions
22 Replies
36K Views
Siku moja, Mungu alinyang'anya kila mtu mali yake. Watu wote waliachwa bila chakula na walikuwa na njaa siku nzima. Siku ya pili yake jioni, Mungu alimpa kila mtu kuku. Kundi la kwanza lilifurahi...
4 Reactions
1 Replies
618 Views
Many religions teach life after death: after our life in the world, we have another life in heaven. This is a doctrine common to most religions in the world. I find it hard to understand how we...
1 Reactions
4 Replies
540 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…