Jinsi ya kumtambua mtu anaye kudanganya kwa kumuangalia machoni

caidah

Senior Member
Aug 17, 2017
110
153
Visual Accessing Cues. Ni njia inayotumika kutambua na kuonesha ni upande gani wa ubongo mtu anautumika wakati anafikiri kabla ya kuongea, watu wa inteligensia wamekuwa wakitumia njia hii kufanya upelelezi na kutambua kama mtu anasema ukweli au anadanganya sasa leo ntawavujishia hizi siri za usalama twende sawa

Zipo njia tofauti za utambuzi accessing cues kwamfano- eye movement,tempo,voice tone, body posture,genisture na breathing pattern

Leo tutajukita kwenye eye movement

Ukimuliza mtu swali angalia kwa makini upande anao uangalia na ujaribu kuinganisha na picha nilizoambatanishha (hizi ni kwa right handed person )
tuanze na moja baada ya nyingne

01. visual constructed image; hii ni kama ukimwambia mtu a imagine kitu fulani macho yake anakuwa anaangalia juu kushoto ( up to the left) wakati anatengeneza hio picha kichwani kwake
mfano ;mulize mtu ajaribu kufikiria kuku mwenye miguu minne atakuwaje alaf we angalia macho yake yataangalia upande gani

02. Visual remembed image; hii inatokea mtu akiwa anakumbukia kitu fulani kwa kutengeneza picha yake kichwani macho yake yataenda juu kulia
mfano mulize mtu ulikula nini jana usiku

03. Auditory constructed hii inatokea mtu akiwa anatengeneza sauti kichwani macho yake yataenda kushoto mfano ukimwambia mtu aongee kama nyerere

04. Auditory remembered; hii ni kama mtu anakumbukia sauti fulani macho yake yataenda kulia wakati anavuta kumbukumbu

05. Feeling kama akiwa ana recall harufu ,ladha au feeling flani macho yake yataenda chini kushoto mfano ukimuliza mtu akwambie ladha ya chakula alichokula

06. Auditory internal hii mara nyingi mtu akiwa anaongea mwenywe macho yanaangalia chini kulia

Tuje kwenye kumtambua mtu kama anasema uongo au ukweli kwa njia ya kumtazama machoni

Kiujumla ukimuliza mtu swali kama anasema ukweli macho yake yataangalia sana upande wa kulia (as you face him/her) akiwa anakumbuka kilichotokea kwa kuangalia sana upande wa kushoto itamaanisha anachokwambia ni constructed (cha kutengeneza ) au kwa maana nyingine uongo (a lie)

Kumbuka njia hii sio mara zote itakupa asilimia 100 ya kutambua ukweli wa mtu ni moja tuu kati ya njia nyingi za lAccessing Cues ambazo hutumika

Reference kitabu cha frog into princes pamoja na kitabu cha mind reader cha lior suchard

-qzvsbk.jpg
o3dp7t.jpg
 
Visual Accessing Cues. Ni njia inayotumika kutambua na kuonesha ni upande gani wa ubongo mtu anautumika wakati anafikiri kabla ya kuongea, watu wa inteligensia wamekuwa wakitumia njia hii kufanya upelelezi na kutambua kama mtu anasema ukweli au anadanganya sasa leo ntawavujishia hizi siri za usalama twende sawa

Zipo njia tofauti za utambuzi accessing cues kwamfano- eye movement,tempo,voice tone, body posture,genisture na breathing pattern

Leo tutajukita kwenye eye movement

Ukimuliza mtu swali angalia kwa makini upande anao uangalia na ujaribu kuinganisha na picha nilizoambatanishha (hizi ni kwa right handed person )
tuanze na moja baada ya nyingne

01. visual constructed image; hii ni kama ukimwambia mtu a imagine kitu fulani macho yake anakuwa anaangalia juu kushoto ( up to the left) wakati anatengeneza hio picha kichwani kwake
mfano ;mulize mtu ajaribu kufikiria kuku mwenye miguu minne atakuwaje alaf we angalia macho yake yataangalia upande gani

02. Visual remembed image; hii inatokea mtu akiwa anakumbukia kitu fulani kwa kutengeneza picha yake kichwani macho yake yataenda juu kulia
mfano mulize mtu ulikula nini jana usiku

03. Auditory constructed hii inatokea mtu akiwa anatengeneza sauti kichwani macho yake yataenda kushoto mfano ukimwambia mtu aongee kama nyerere

04. Auditory remembered; hii ni kama mtu anakumbukia sauti fulani macho yake yataenda kulia wakati anavuta kumbukumbu

05. Feeling kama akiwa ana recall harufu ,ladha au feeling flani macho yake yataenda chini kushoto mfano ukimuliza mtu akwambie ladha ya chakula alichokula

06. Auditory internal hii mara nyingi mtu akiwa anaongea mwenywe macho yanaangalia chini kulia

Tuje kwenye kumtambua mtu kama anasema uongo au ukweli kwa njia ya kumtazama machoni

Kiujumla ukimuliza mtu swali kama anasema ukweli macho yake yataangalia sana upande wa kulia (as you face him/her) akiwa anakumbuka kilichotokea kwa kuangalia sana upande wa kushoto itamaanisha anachokwambia ni constructed (cha kutengeneza ) au kwa maana nyingine uongo (a lie)

Kumbuka njia hii sio mara zote itakupa asilimia 100 ya kutambua ukweli wa mtu ni moja tuu kati ya njia nyingi za lAccessing Cues ambazo hutumika

Reference kitabu cha frog into princes pamoja na kitabu cha mind reader cha lior suchard

View attachment 2649009View attachment 2649010
Mwongo kama BT utaweza kumtambua kwa njia hiyo kweli?

Labda watoto wa chekechea.
 
Kutambua ikiwa mtu anadanganya kwa kumtazama usoni ni kazi ngumu, kwani hakuna ishara ya mwili au tabia moja tu inayoweza kufichua uongo. Walakini, kuna baadhi ya ishara za mwili ambazo zinaweza kusaidia katika kutambua dalili za uongo. Hapa kuna baadhi ya mambo ya kuzingatia:

1. Jicho na macho: Wakati mwingine, watu wanaweza kuepuka kuangalia moja kwa moja au kuangalia mbali wanapodanganya. Pia, macho yanaweza kuonyesha ishara za wasiwasi, kama vile kuwabana au kutetemeka.

2. Mabadiliko katika uso: Watu wengine wanaweza kuonyesha mabadiliko kidogo katika tabasamu au kuelekeza uso wao kwa njia isiyoeleweka wanapodanganya. Hii inaweza kuwa dalili ya kuwa na wasiwasi au kujaribu kuficha ukweli.

3. Mikono na mwili: Watu wengine wanaweza kuonyesha dalili za wasiwasi au msongo wa mawazo kwa kuhamahama mikono yao au kutumia ishara za mikono kwa njia isiyo ya kawaida. Pia, mwili unaweza kuwa na msimamo usio thabiti au kutetemeka kidogo.

4. Kupindisha ukweli: Ikiwa mtu anajaribu kuficha ukweli au kudanganya, wanaweza kuonyesha ishara za kutafakari kwa muda mrefu kabla ya kujibu maswali au kubadili hadithi zao mara kwa mara.

Ni muhimu kutambua kuwa ishara hizi za mwili peke yake hazihakikishi kwamba mtu anadanganya. Zinaweza kuwa dalili za wasiwasi, ujazito, au hali nyingine. Kwa hiyo, ni vizuri kuchukua mazingira yote na ishara nyingine za mawasiliano kwa ujumla kabla ya kufanya hitimisho lolote.

Ni muhimu pia kutambua kwamba watu wengine ni wabunifu sana katika kuficha dalili za uongo, na inaweza kuwa vigumu kwa mtaalamu yeyote kutambua uongo kwa usahihi kwa kutazama tu. Ili kupata ufahamu sahihi zaidi, ni bora kuwa na mazungumzo ya kina na kuangalia ishara nyingine za mawasiliano na kujifunza kuhusu hali zinazozunguka ili kupata picha kamili.
 
Kutambua ikiwa mtu anadanganya kwa kumtazama usoni ni kazi ngumu, kwani hakuna ishara ya mwili au tabia moja tu inayoweza kufichua uongo. Walakini, kuna baadhi ya ishara za mwili ambazo zinaweza kusaidia katika kutambua dalili za uongo. Hapa kuna baadhi ya mambo ya kuzingatia:

1. Jicho na macho: Wakati mwingine, watu wanaweza kuepuka kuangalia moja kwa moja au kuangalia mbali wanapodanganya. Pia, macho yanaweza kuonyesha ishara za wasiwasi, kama vile kuwabana au kutetemeka.

2. Mabadiliko katika uso: Watu wengine wanaweza kuonyesha mabadiliko kidogo katika tabasamu au kuelekeza uso wao kwa njia isiyoeleweka wanapodanganya. Hii inaweza kuwa dalili ya kuwa na wasiwasi au kujaribu kuficha ukweli.

3. Mikono na mwili: Watu wengine wanaweza kuonyesha dalili za wasiwasi au msongo wa mawazo kwa kuhamahama mikono yao au kutumia ishara za mikono kwa njia isiyo ya kawaida. Pia, mwili unaweza kuwa na msimamo usio thabiti au kutetemeka kidogo.

4. Kupindisha ukweli: Ikiwa mtu anajaribu kuficha ukweli au kudanganya, wanaweza kuonyesha ishara za kutafakari kwa muda mrefu kabla ya kujibu maswali au kubadili hadithi zao mara kwa mara.

Ni muhimu kutambua kuwa ishara hizi za mwili peke yake hazihakikishi kwamba mtu anadanganya. Zinaweza kuwa dalili za wasiwasi, ujazito, au hali nyingine. Kwa hiyo, ni vizuri kuchukua mazingira yote na ishara nyingine za mawasiliano kwa ujumla kabla ya kufanya hitimisho lolote.

Ni muhimu pia kutambua kwamba watu wengine ni wabunifu sana katika kuficha dalili za uongo, na inaweza kuwa vigumu kwa mtaalamu yeyote kutambua uongo kwa usahihi kwa kutazama tu. Ili kupata ufahamu sahihi zaidi, ni bora kuwa na mazungumzo ya kina na kuangalia ishara nyingine za mawasiliano na kujifunza kuhusu hali zinazozunguka ili kupata picha kamili.
true story
 
Mkuu uko sawa sana..na ili uwe accurate kwenye kujua whether unadanganywa or not ni lazima u combine izo zote ulizotaja juu
 
Kati ya mwili, roho na ubongo kipi kinaProgram mwenzake??
Ubongo,halafu unasend message kwa viungo na viungo vinareact.Halafu kumbuka Ubongo pia na nerves za kuuprogaram.Kama moyo unavyosukuma damu kupeleka kwingine,pia huo moyo unamwagiliwa damu na mishipa iliyopo kwenye moyo.
 
Back
Top Bottom