Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni

On JF:

Eti wakuu. Ebu mnieleweshe kidogo kuhusu hili. Mfano : Mtu anapotaka kujenga nyumba, lazima kuna kuwa na ramani ya nyumba aliyo iona mahali labda akavutiwa nayo na yeye akaenda kujenga ki...
11 Reactions
233 Replies
8K Views
Habari za kuona siku hii Tena mpya, niwasalimu kwa pendo la dhati kabisa. Nini hasa HATIMA ya Kila kitu Ukiwa hapa ulimwenguni,ukianza kupata majawabu ya haya Maswali yako utaanza kufunguka...
4 Reactions
3 Replies
550 Views
Niliandika mwanzoni mwa mwaka huu kusema "Changamoto za kijamii kwenye jamii yetu zinahitaji wanamageuzi kuliko mageuzi yenyewe", ambapo nilitafakari nanyi pamoja na mambo mengine, mchango wa...
2 Reactions
3 Replies
413 Views
Nikusalimu ndugu yangu Katika utu na uzima wetu, "hakuna mfano nyuma ya mfano nyuma ya mfano Kuna Imani" --------- Nimekuja kugundua jambo moja kubwa tu ambalo kama kundi kubwa tukilielewa basi...
13 Reactions
33 Replies
2K Views
Ndugu zangu wana JF Leo nimeamua kuanza kutoa masomo ya mythology. Iwe kweli au siyo kweli lakini tupate kutambua namna wengine wanavyo iendesha dunia hii. Leo nitaongelea malaika mtoa roho...
7 Reactions
61 Replies
10K Views
MAMBO YA KUFIKRIKA YALIYOPO DUNIANI NI YAPI? Kuna mambo mengi sana ya kufikirika yameundwa na kupewa uhai ambayo yanaleta ugomvi mwingi kwa watu hapa duniani. Katika masomo yangu haya...
9 Reactions
23 Replies
1K Views
Kwanza kabisa nawasalimia. Leo napenda kuongelea makundi haya mawili duniani. Dini na Sayansi. Kumekuwa na mjadala mkubwa mno duniani kuhusu haya makundi. Kwanza kabisa kabla ya kuendelea...
3 Reactions
138 Replies
11K Views
Nawasalimia wote JF. Nimeamua kuandika jumbe mbalimbali kwa lengo la kufundisha na kuwafumbua macho waliotayari. Leo hii nitaongelea suala la huyu anayeitwa shetani. Imetokea kuogopwa sana na...
20 Reactions
62 Replies
8K Views
I appreciate all of you reading this. Katika karne hii ya maendeleo ya kisayansi na kiteknolojia, wazo la kuwa jamii yenye uwezo wa kusafiri angani limekuwa suala lenye umuhimu mkubwa. Licha ya...
2 Reactions
2 Replies
814 Views
Jina la Rothschild linahusishwa na utajiri mkubwa kwa zaidi ya miaka 200, Familia ya Rothschild ndiyo familia yenye nguvu zaidi na yenye utajiri mkubwa kabisa, Inasemekana utajiri wao unathamani...
15 Reactions
148 Replies
31K Views
KUNDALINI "Ni Mfumo wa Mazoezi ya Asili na ya kiroho, mazoezi haya hujumuika kama njia ya kuongeza nishati iitwayo KUNDALINI Wakati wa kufanya mazoezi haya unahitajika kufuata Mlolongo mkali...
3 Reactions
9 Replies
2K Views
Wadau wa fikra, Nafahamu kuwa muongozo wa Jukwaa hili unatutaka tuweke serious reports & discussions on Corruption, Politics na etc kwa ajili ya mijadala yakinifu. Tofauti na Jukwaa la Dini...
27 Reactions
173 Replies
31K Views
Ningependa kujua, je, inawezekana kuwa Rais wa nchi wakati wewe si Raia wa nchi hiyo? Pia ningependa kufahamu, Mungu ni wa dini gani? Je, ni Muislamu au Mkristo? Kwa nini Masheikh na Wachungaji...
8 Reactions
235 Replies
5K Views
Habari za wakati huu wataalam.. Hii ndiyo hesabu kamili ya jina la "JESUS" na jawabu lake ambalo huwa '666' katika numerology. Kumbuka 666 ina idadi au thamani ya namba 9 ambapo 6+6+6 = 18...
11 Reactions
174 Replies
6K Views
Ni uongo gani uliwahi kufanikiwa kukamata akili yako au maisha yako kwa muda mrefu. Mimi binafsi 1. Shule Nilienda kutafuta majibu ya maswali amabayo sikuwa nayo. Kumbe kusoma koote kule ilikuwa...
14 Reactions
90 Replies
8K Views
Kwa watu wengi maingiliano ya kwanza wanayoanza kutambua ni kurudia nambari kama 111 au kuona 11:11 kwenye saa kila mara. ⠀ ⠀ Tukio lingine la kawaida ni kuhisi hisia sawa na dejavu wakati...
9 Reactions
53 Replies
9K Views
Maisha ni hatua iliyojaa Mafumbo Mazito na yenye ukweli wa kuweza Kuaminiwa Badae. Yapo Makanisa Mengi ila Kanisa Katoliki duh huwezi Ukalikimbia popote,Utajishebedua tu kumbe wew ni Mkatoliki...
1 Reactions
22 Replies
6K Views
The Imafidons are a Nigerian family of 7 living in England. Their father is Chris Imafidon and their mother is Ann Imafidon. Both parents are from Edo state who emigrated to England more than 30...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Waafrika wa leo wamekuwa dhaifu kiasi cha kushukuru na kuthamini viumbe wa mawinguni, ambao hawajawahi hata kuwaona, bali wamesikia tu kupitia watu wengine. Wengi wa watu hao ni wakoloni, wazungu...
1 Reactions
2 Replies
496 Views
Kulingana na evolution inasemekana kulikuwepo na jamii(species) zaidi ya tisa za binadamu ambapo kufikia miaka elfu arobaini iliyopita nane zilitoweka kwa sababu mbalimbali na hatimaye ikabaki...
3 Reactions
13 Replies
852 Views
Back
Top Bottom