Hapo kabla NGUVU KUU iliyokuwa mahali pamoja ilipata kugawanyika katika sehemu kuu tatu.
Japo chanzo cha kugawanyika kwa nguvu hizo hakijawahi kuwa bayana. Nazo nguvu hizo ni nguvu ya UHAI, KIFO...
Tangu nakua mpaka leo nimezeeka, nimekuwa nikisikia watu wakisema kuwa "malaika mtoa roho anaitwa Israili".
Sina hakika kama huyo Israili jina lake linatokana na jina Israel au lah.
Kwa watu...
Natumai humu nyote ni wazima wa afya njema kabisa ,pole kwa yote lakini leo napenda kutoa mchango wangu kidogo kulingana na nilichopata kukiona au kujidhihilisha juu ya swali gumu ambalo limekosa...
Iwapo ufahamu wako ndiyo kitu pekee kinacho-exists basi tambua ya kuwa wewe ni kila kitu na kila mtu. Katika nyakati fulani za wakati usiosemekana ulikuwa kila kitu unachokitambua. Ulikuwa jua...
Habari wakuu,
Hili swali mpaka leo sijajibiwa mpaka nimewauliza baadhi ya viongozi wa dini,naishiwa kuambiwa ninakufulu. Lets say God anajua kila kitu past, present and future inamaanisha God...
[emoji2788]Katika utangulizi wa somo letu hili tulijaribu kuwekana sawa kidogo kuhusu Mambo haya ambayo tunawafundisha.
katika masomo yetu Wala hayaangalii wewe Ni Dini gani kwa sababu masuala ya...
Twime TUBITE
"Hakuna mfano nyuma ya mfano,nyuma ya mfano Kuna Imani"
MAPACHA 3 wa Siri wanavyoifanya Dunia watakavyo, MAPACHA wenyewe kwa nje wanaonekana kama maadui na jamii kubwa inaelewa...
Moja kati ya kesi kubwa za kihistoria nchini Tanzania ni ile kesi ya UJASUSI (ESPIONAGE) iliyomhusu Bw. JUMA THOMAS ZANGIRA ambayo ilirindima nchini mwaka 1977. Hii ilikuwa ni kesi ya aina yake...
Kuna hawa watu ambao wanatoa tabiri mbalimbali juu ya mambo mengi ya mbele, muda mwingine huwa wanapatia kabisa japo huwa kuna malalamiko kuwa muda mwingine huwa ni uwongo. Sasa nataka kujua hawa...
Hawa waRoma ni watu wenye akili sana, imagine walianzisha kanisa la Roman Catholic, kanisa lenye waumini wengi duniani tena wenye misimamo mikali.
WaRoma wamejaribu kufika kila kona ya dunia...
Hua najiuliza Sana, na hii nimejiuliza zaidi baada ya kujua asilimia kubwa ya wananchi nchini Netherlands hawana DINI na Hawaamini katika uwepo Mungu
Baada ya kuona Shomvi Haji Manara akiranda...
Kama inavyojulikana ibilisi alikuws ni jini miongoni mwa kundi la malaika,na kwa kuwa majini yanasifa ya kuzaliana basi bila shaka ibilisi na yeye alikuwa na wazazi na ndugu pia, na kama...
Jerusalemu Katika Siku za Mwisho
“Zekaria 12:2 Angalia, mimi nitafanya Yerusalemu kuwa kikombe cha kuyumba-yumba kwa watu wa kabila zote, wazungukao pande zote; tena kitakuwa juu ya Yuda pia...
Habari wakuu,
Ningependa kuelimishwa haya machache kuhusiana na hii imani/dini ya Rastafarian (nikipata kujuzwa na ya ziada ntashukuru sana).
1. Naskia rastafarian hawanywi pombe hivi Ni kweli...
Twime tubite!!
Dunia yetu imejaa taarifa ambazo siyo sahihi japo ni za kweli, kwa kuwa siyo za kweli basi zimewekwa kwenye mifumo ya Elimu na Media Ili lengo lao Liwe timilifu.
Binafsi nikiwa...
👉HUKUZALIWA 👉KUJA
👉KUOKOLEWA 👉NA MTU
Hakuna mtu yeyote anaye zaliwa(ku-exsist on this Earth) hapa Duniani ili aje kuokolewa ama kusaidiwa na mtu yeyote, Upo hapa Duniani ama tuite upo Katika huu...
Twime tubite
Nafahamu Yale niliyochagua kuyafahamu kwa kiwango Cha ufahamu wangu, Ili hayo hayo yawe mwanga kwa wengine, hasa Katika dhana ya udadisi wa mambo.
Hakuna MTU ambaye hajawahi kusema...
NGUVU ZA ULIMWENGU.
Nguvu za full moon.
Full moon ya mwezi June itakuwa kuanzia tar 22 Hadi 24 .
Mambo ya kufanya .
👉Kuachilia.
Kuachilia ni sehemu ya kujiponya mwenyewe na kutua mizigo na...
THE REAL EYE REALIZE
(Jicho la kweli hutambua)
👉"Eye is the window to the soul"
👉"The light of the body is the Eye."
"Eye is the window to the soul" kwa tafsiri ya kiswahili ni...
Twime tubite 'Hakuna mfano nyuma mfano ,nyuma ya mfano Kuna Imani.
--------
Historia inaenda kujirudia Tena, wachache watakaosalia ni wale ambao hawajali sana watu wanawaonaje au wanawachukuliaje...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.