Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
Hapo kabla NGUVU KUU iliyokuwa mahali pamoja ilipata kugawanyika katika sehemu kuu tatu. Japo chanzo cha kugawanyika kwa nguvu hizo hakijawahi kuwa bayana. Nazo nguvu hizo ni nguvu ya UHAI, KIFO...
0 Reactions
0 Replies
628 Views
Tangu nakua mpaka leo nimezeeka, nimekuwa nikisikia watu wakisema kuwa "malaika mtoa roho anaitwa Israili". Sina hakika kama huyo Israili jina lake linatokana na jina Israel au lah. Kwa watu...
2 Reactions
26 Replies
3K Views
Natumai humu nyote ni wazima wa afya njema kabisa ,pole kwa yote lakini leo napenda kutoa mchango wangu kidogo kulingana na nilichopata kukiona au kujidhihilisha juu ya swali gumu ambalo limekosa...
55 Reactions
1K Replies
141K Views
Iwapo ufahamu wako ndiyo kitu pekee kinacho-exists basi tambua ya kuwa wewe ni kila kitu na kila mtu. Katika nyakati fulani za wakati usiosemekana ulikuwa kila kitu unachokitambua. Ulikuwa jua...
13 Reactions
22 Replies
2K Views
Habari wakuu, Hili swali mpaka leo sijajibiwa mpaka nimewauliza baadhi ya viongozi wa dini,naishiwa kuambiwa ninakufulu. Lets say God anajua kila kitu past, present and future inamaanisha God...
7 Reactions
12 Replies
745 Views
[emoji2788]Katika utangulizi wa somo letu hili tulijaribu kuwekana sawa kidogo kuhusu Mambo haya ambayo tunawafundisha. katika masomo yetu Wala hayaangalii wewe Ni Dini gani kwa sababu masuala ya...
13 Reactions
66 Replies
5K Views
Twime TUBITE "Hakuna mfano nyuma ya mfano,nyuma ya mfano Kuna Imani" MAPACHA 3 wa Siri wanavyoifanya Dunia watakavyo, MAPACHA wenyewe kwa nje wanaonekana kama maadui na jamii kubwa inaelewa...
26 Reactions
44 Replies
3K Views
Moja kati ya kesi kubwa za kihistoria nchini Tanzania ni ile kesi ya UJASUSI (ESPIONAGE) iliyomhusu Bw. JUMA THOMAS ZANGIRA ambayo ilirindima nchini mwaka 1977. Hii ilikuwa ni kesi ya aina yake...
33 Reactions
32 Replies
11K Views
Kuna hawa watu ambao wanatoa tabiri mbalimbali juu ya mambo mengi ya mbele, muda mwingine huwa wanapatia kabisa japo huwa kuna malalamiko kuwa muda mwingine huwa ni uwongo. Sasa nataka kujua hawa...
3 Reactions
34 Replies
9K Views
Hawa waRoma ni watu wenye akili sana, imagine walianzisha kanisa la Roman Catholic, kanisa lenye waumini wengi duniani tena wenye misimamo mikali. WaRoma wamejaribu kufika kila kona ya dunia...
6 Reactions
14 Replies
1K Views
Hua najiuliza Sana, na hii nimejiuliza zaidi baada ya kujua asilimia kubwa ya wananchi nchini Netherlands hawana DINI na Hawaamini katika uwepo Mungu Baada ya kuona Shomvi Haji Manara akiranda...
1 Reactions
11 Replies
797 Views
Kama inavyojulikana ibilisi alikuws ni jini miongoni mwa kundi la malaika,na kwa kuwa majini yanasifa ya kuzaliana basi bila shaka ibilisi na yeye alikuwa na wazazi na ndugu pia, na kama...
11 Reactions
216 Replies
39K Views
Jerusalemu Katika Siku za Mwisho “Zekaria 12:2 Angalia, mimi nitafanya Yerusalemu kuwa kikombe cha kuyumba-yumba kwa watu wa kabila zote, wazungukao pande zote; tena kitakuwa juu ya Yuda pia...
26 Reactions
71 Replies
12K Views
Habari wakuu, Ningependa kuelimishwa haya machache kuhusiana na hii imani/dini ya Rastafarian (nikipata kujuzwa na ya ziada ntashukuru sana). 1. Naskia rastafarian hawanywi pombe hivi Ni kweli...
8 Reactions
43 Replies
6K Views
Twime tubite!! Dunia yetu imejaa taarifa ambazo siyo sahihi japo ni za kweli, kwa kuwa siyo za kweli basi zimewekwa kwenye mifumo ya Elimu na Media Ili lengo lao Liwe timilifu. Binafsi nikiwa...
8 Reactions
14 Replies
926 Views
👉HUKUZALIWA 👉KUJA 👉KUOKOLEWA 👉NA MTU Hakuna mtu yeyote anaye zaliwa(ku-exsist on this Earth) hapa Duniani ili aje kuokolewa ama kusaidiwa na mtu yeyote, Upo hapa Duniani ama tuite upo Katika huu...
11 Reactions
13 Replies
1K Views
Twime tubite Nafahamu Yale niliyochagua kuyafahamu kwa kiwango Cha ufahamu wangu, Ili hayo hayo yawe mwanga kwa wengine, hasa Katika dhana ya udadisi wa mambo. Hakuna MTU ambaye hajawahi kusema...
2 Reactions
10 Replies
810 Views
NGUVU ZA ULIMWENGU. Nguvu za full moon. Full moon ya mwezi June itakuwa kuanzia tar 22 Hadi 24 . Mambo ya kufanya . 👉Kuachilia. Kuachilia ni sehemu ya kujiponya mwenyewe na kutua mizigo na...
4 Reactions
6 Replies
2K Views
THE REAL EYE REALIZE (Jicho la kweli hutambua) 👉"Eye is the window to the soul" 👉"The light of the body is the Eye." "Eye is the window to the soul" kwa tafsiri ya kiswahili ni...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Twime tubite 'Hakuna mfano nyuma mfano ,nyuma ya mfano Kuna Imani. -------- Historia inaenda kujirudia Tena, wachache watakaosalia ni wale ambao hawajali sana watu wanawaonaje au wanawachukuliaje...
9 Reactions
57 Replies
2K Views
Back
Top Bottom