Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
Shimo la mvuto liko katikati ya bahari kilomita 1,200 kusini-magharibi mwa Kanyakumari (a.k.a. Cape Comorin), ncha ya kusini kabisa ya bara Hindi karibu na Sri Lanka. Bahari ya Hindi Geoid Low...
11 Reactions
24 Replies
3K Views
Kabla ya Iran kurusha missiles kwenda Israel waandishi walimuuliza Biden kama anategemea Iran kuishambulia Israel. Biden alichojibu ni "very soon". Na kabla ya kutoa kauli hii wizara ya ulinzi...
15 Reactions
62 Replies
5K Views
Kwema wanajamvi jukwaa la wenye kuumiza vichwa? Basi powa twende sasa, Huko Paiba Brazil kuna Mwamba au Jiwe kubwa lenye 250 feet in Length, Hilo limwamba ligumu lina michoro ya kushangaza sana...
13 Reactions
135 Replies
6K Views
Niwasalimu ndugu zangu! Tuendelee kuishi maana tupo kwa muda na sababu,vyote vitaisha. Dunia na ulimwengu ni vitu viwili tofauti Dunia ni mifumo ya wanadamu na ulimwengu ni UKAMILIFU wa maarifa...
9 Reactions
94 Replies
4K Views
Mimi naamini zaidi utakavyo mjua Mungu ndio zaidi utakavyo ujua ukweli na kuwa huru zaidi. Lakini tulichofanya nikujua dini zaidi ya Mungu. Kwa kuwa mashirika haya ya dini yanataka uzame ndani...
11 Reactions
43 Replies
3K Views
Habari wana ndugu mnaendeleaje na vyuma kukaza Moja kwa kwa moja kwenye pointi leo naomba tukumbashane kidogo mtu aliwahi kuvuma sana hapa duniani Enzi za miaka ya 1970 - 2003 miaka hiyo...
56 Reactions
211 Replies
49K Views
Freemasons ni kikundi cha siri kinacho ratibu na kuongoza kila kitu katika hii dunia. Kikundi hicho cha siri huratibu mambo yake kwa kushirikiana na baadhi ya wawakilishi wake wachache katika kila...
12 Reactions
63 Replies
9K Views
Kuna sababu nyingi za kiuchumi,Kiintelijensia, Conspiracy, Kisiasa, Kidini hata kihistoria kwa nini US ni Taifa kubwa na hana mpinzani Duniani. Kuuzwa kwa ALASKA March 30, 1867 ninatafsiri kuwa...
43 Reactions
96 Replies
28K Views
Mungu aliumba vitu vinavyoonekana na visivyoonekana. Na kwa Bahati nzuri akaweka kizuizi kwa kupitia uwezo wake wa kiungu hili tusiweze kushuhudia viumbe hivyo ambavyo havionekani kwa macho yetu...
41 Reactions
1K Replies
301K Views
Wana theolojia, na wengine wote, karibuni kwenye MADA,
6 Reactions
111 Replies
6K Views
🌳TUMESHINDWA KUUMILIKI ULIMWENGU WETU KWA KUUTAMANI ULIMWENGU WA HADITHI.🌳 Ulimwengu wa kweli umetengenezwa katika hadithi isiyo furahisha sana, unaonekana ni ulimwengu ulio jaa mateso ya kila...
9 Reactions
9 Replies
1K Views
Asilimia kubwa watu wakianguka chooni hufariki dunia au kupooza mwili. Kuna uhusiano gani kati ya kifo na chooni?
3 Reactions
583 Replies
145K Views
Uchawi si jambo geni madamu upo afrika uhitaji mtu akuelezee maana yake ni nini hasa, bali wahitaji kujua nauepuka vipi au ntautambuaje kama huu ndiyo uchawi wenyewe. Jibu lipo hapa leo ntataja...
13 Reactions
14 Replies
36K Views
Kama kawaida, mtoto akipata nafasi ya kwenda kucheza Kwa jirani anaitumia vizuri.. Ok Moja Kwa Moja kwenye mada, Kwanini binadamu si binadamu Bali ni mnyama aliyezunguka porini Kwa miaka 150k...
2 Reactions
7 Replies
719 Views
“You can’t make a wise man a sláve, you can’t make a waŕrior a sláve. When you and I came here, or rather when we were brought here, we were brought here from a society that was highly civilized...
5 Reactions
6 Replies
751 Views
Mwanamke (yule Babeli) wa Ufunuo 17 anaelezwa kuwa “alikuwa amevikwa nguo ya rangi ya zambarau, na nyekundu, amepambwa kwa dhahabu, na kito cha thamani, na lulu, naye alikuwa na kikombe cha...
19 Reactions
687 Replies
127K Views
JINSI MAKOMANDO WA ISRAEL WALIVYOWAOKOA MATEKA 102 WALIOFICHWA UGANDA KWA DAKIKA 58 Serikali ya Israel imeapa kulipa kisasi kwa shambulio la kushtukiza la kundi la wanamgambo wa Hamas ambalo ni...
4 Reactions
4 Replies
2K Views
Bill Gates was invited by a high school to give a lecture. He arrived by helicopter, took the paper from the pocket where he had written eleven items. He read everything in less than 5 minutes...
5 Reactions
6 Replies
1K Views
Kwa kifupi tuanze kujadili dhana ya kifo ninayoiamini "Kifo ni kuondoka taratibu kutoka Sasa Hadi zamani. Yani kutoka kuto kuwepo na kuwepo(kuzaliwa) kutoka kuwepo na kutokuwepo Tena(kufa)...
8 Reactions
94 Replies
8K Views
Back
Top Bottom