DHAMBI YA ASILI NI NINI?
1) ... Ni kujamiiana labda?
lakini mbona tumeambiwa tuzaane tuijaze dunia? ... sasa tunazaanaje bila ngono?
.
.
.
NATAFUTA BADO!
...lakini Katika kufikiria kidogo ninaona...
Nimefikiria sana mateso wanayopata wafiwa pindi wapenzi wao wanapofariki, hubaki na majonzi kwa muda mrefu wakikumbuka enzi za uhai wake, kuna baadhi kutokana na ukaribu waliokuwa na marehemu nao...
Bongo Hapo Zamani:
Siku Museveni Aliponusurika Kutekwa Nairobi..
Ndugu zangu,
Kuna matukio makubwa yalitokea sambamba na Vita Vya Kagera vilivyokuwa vikiendelea mwaka 1978.
Kwenye kitabu chake...
Niende kwenye hoja.
Historian ya Vatican inafahamika wajuzi wanajua yakiyomo lkn ama wanajua au hawajui kwamba Vatican iliviondoa vitabu 14 kwenye biblia maafuru "the hidden books".
Ingawa Bible...
NIMEFANYA uamuzi wa kuandika makala hii baada ya hivi karibuni kuwa na mada juu ya Mfalme wa Misri ya kale (Pharaoh), aliyefahamika kwa jina la Ramesses II. Katika mada hiyo iliyojipambanua katika...
Je, unajua hadithi iliyo nyuma ya picha hii ya kitambo?
Mnamo Mei 16, 2021, utawala wa Israel ulishambulia kwa bomu nyumba ya Yahya Sinwar iliyoko Khan Yunis, kwa nia ya kumuua. Vyombo vya habari...
Kumekuwa na haja na kiu kubwa ya baadhi ya watu humu kutaka kuifahamu MOSSAD na kazi zake. Kwa msukumo wa hilo, nimeona si mbaya tukajuzana angalau machache juu ya hawa watu na baadhi ya mifano...
MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU:
Salaam wakuu wangu!
It's been long time since i posted a thread herein lakini haina mbaya kiviile manake makamanda mnawakilisha kama ilivyo ada!
STRAIGHT TO THE...
Habari za mchana wakuu kama kawaida huwa nakuja na mada za kuchokoza fikra zetu hasa kwenye mambo ya kiimani hivyo mada hizi sio za kukosoa dini fulani au vitabu vya imani ila ni kuhoji tu ili...
Si lengo wala dhamira yangu kupinga wala kupindisha Imani ya mtu yeyote, bali ni wajibu wangu kama binadamu mwenye akili na upeo wa kudadisi, kuchanganua na kuyaelewa mambo mbalimbali katika namna...
Kitabu.Mossad
Mwandishi.Michael Bar Zohar & Nissim Mishal
Mchambuzi.Nanyaro EJ
Dibaji.
mwandishi anasema kuwa hiki kitabu ni mchanganyiko wa kazi za kutukuka zilizofanywa na Mossad,nafanikio na...
Hii ni nukuu maarufu inayohusishwa na Albert Einstein, ikimaanisha kwamba elimu ya kweli siyo tu kukariri au kujifunza mambo kihafidhina, bali ni uwezo wa kutumia maarifa, mantiki, na uelewa ambao...
Mwanafunzi wa neuroendocrinologist aitwaye Robert Sapolsky, profesa katika Chuo Kikuu cha Stanford, ni mtu anayeeleza kuwa hakuna Mungu.
Wakati wa kupokea tuzo mwaka 2002 kutoka Uhuru wa Kutoka...
Ukweli ni kwamba tokea mwaka 2023 shilingi ya tanzania imeporomoka kutoka 2330 mpaka 2730 kwa dola moja ya marekani ukilinganisha na shilingi ya majirani zetu KENYA ambao shilingi yao inazidi...
Ndugu zangu wanajamvi.
Nimekuwa katika utafiti wa mali kale na mambo ya asili kwa muda mrefu.
Katika utafiti wangu nimekuja kugundua wajerumani wameficha mali nyingi sana kawenye ardhi ya...
Sasa, unaweza kupata nakala za Kitabu changu cha "NYUMA YA ULIMWENGU WA SIRI NA UJASUSI".
kitabu kina kurasa 442 na ndani yake kuna makala 17.
Bei ya kitabu hiki ni Tsh 50,000/-
Pia waweza kupata...
Ninaomba msaada kueleweshwa katika kutaja jina la Suleiman Mungiya Mzee, ambaye kwasasa ndio Kamishna Jenerali wa Magereza, aliyeapishwa na Mh Rais Dr John. P. Magufuli. Kabla ya kiapo alikuwa ni...
Kila siku hapa duniani kuna habari mbaya za kuteseka kwa binadamu fulani kwa magonjwa, vita, njaa, dhuluma, umaskini n.k kwa viwango tofauti, kuanzia viwango vidogo hadi vikubwa kabisa vya kutisha...
Dunia ya sasa inaendeshwa kupitia kanuni za sayansi na teknolojia ambazo zilivumbuliwa na wanasayansi katika karne zilizopita. Kanuni hizi siamini kuwa zinazima ndoto ya uvumbuzi wa kanuni mpya...
Kuna maada mbalimbali zimeanzishwa humu kuhusu Ushaidi wa uwepo wa Mungu, Mimi leo natoa ushahidi wangu wa uwepo wa Mungu kwa kujenga hoja kutokana na Tofauti ya dini.
Swali la Musingi ni ‘kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.