nyumbamungu
JF-Expert Member
- Mar 3, 2017
- 997
- 827
Ninaomba msaada kueleweshwa katika kutaja jina la Suleiman Mungiya Mzee, ambaye kwasasa ndio Kamishna Jenerali wa Magereza, aliyeapishwa na Mh Rais Dr John. P. Magufuli. Kabla ya kiapo alikuwa ni Brigedia Jenerali wa Jeshi la Wananchi Tanzania. Nitakuwa nimefanya kosa kuita Kamishna Jenerali wa Magereza, Brigedia Jenerali Suleiman Mzee?
Kabla ya kuapishwa kuna itifaki ilifanyika ambayo (kwangu ndio mara ya kwanza kuiona) Brigedia Jenerali Suleiman M. Mzee alibadilisha sare ya JWTZ na kuvaa sare ya JMT, swali langu ni Je! (siombei itokee.. ila kila nafsi itaonja mauti) ikitokea umauti ukamkuta akiwa bado ni Kamishna Jenerali wa Magereza, cheo cha Brigedia Jenerali ndio kitakuwa kimekoma?
Kabla ya kuapishwa kuna itifaki ilifanyika ambayo (kwangu ndio mara ya kwanza kuiona) Brigedia Jenerali Suleiman M. Mzee alibadilisha sare ya JWTZ na kuvaa sare ya JMT, swali langu ni Je! (siombei itokee.. ila kila nafsi itaonja mauti) ikitokea umauti ukamkuta akiwa bado ni Kamishna Jenerali wa Magereza, cheo cha Brigedia Jenerali ndio kitakuwa kimekoma?