Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
Habari za jioni wakubwa zangu? Mimi nimiongoni mwa watu wanao amini kwamba dunia haikutokea yenyewe" Nina kataa. .Isipo kuwa Nina amini Kuna Kiumbe/viumbe/mungu/miungu wenye hakili kuliko sisi...
24 Reactions
77 Replies
3K Views
Habari wana JF. Leo nimeona nikusogezee huu uzi utakusaidia kwa namna moja ama nyingine. Watu wengi hivi leo wamekuwa wakidharaulika sana, kuumizwa sana, wengine kupotezwa kabisa kwenye gemu...
36 Reactions
34 Replies
3K Views
Chagua tarehe yako ya kuzaliwa kutoka 1 hadi 31 Nambari ambayo ni ya kwanza katika tarehe yako ya kuzaliwa inaashiria msingi, msingi wa kiakili wa utu na inaweza kutuambia kuhusu kile mtu hutoka...
3 Reactions
11 Replies
12K Views
ELIMU YA UUAMBAJI BINADAMU BILA KUJAMIIANA (CLONING) Mchakato wa uumbaji wa binadamu bila kujaamiana (Cloning) ulianza mwaka 1938 na wanajeshi wa Nazi chini ya kamanda Hitler. Ian Wilmut muasisi...
8 Reactions
37 Replies
3K Views
Nimeona kushea na watu hii story ni jambo la muhimu. Kama wewe ni muumini wa dini yoyote tafadhali usisome hapa acha, usije ukabadili fikra za misimamo yako na utafunguka macho kisha utaanza...
24 Reactions
114 Replies
18K Views
Siku moja Nyani waliposikia kwamba mtu aliyekuwa akiwafukuza kwenye shamba la mahindi amefariki, walisherehekea kwa furaha kubwa na Shangwe wakijipongeza na kuamini hakuna tena atakae weza...
3 Reactions
3 Replies
599 Views
1.Nataka Nisaidiwe Kuamsha/Kuzindua Kundalini Gharama Shilingi NGAPI? 🗣️JIBU;- Kuamsha Kundalini Hakuna Atakae kusaidia Si mchawi wala mganga Wala mtabiri Wa Nyota, Hakuna Dawa wala Pete ya kuvaa...
15 Reactions
28 Replies
4K Views
Eti wakuu. Ebu mnieleweshe kidogo kuhusu hili. Mfano : Mtu anapotaka kujenga nyumba, lazima kuna kuwa na ramani ya nyumba aliyo iona mahali labda akavutiwa nayo na yeye akaenda kujenga ki...
11 Reactions
233 Replies
7K Views
Habari za kuona siku hii Tena mpya, niwasalimu kwa pendo la dhati kabisa. Nini hasa HATIMA ya Kila kitu Ukiwa hapa ulimwenguni,ukianza kupata majawabu ya haya Maswali yako utaanza kufunguka...
4 Reactions
3 Replies
510 Views
Niliandika mwanzoni mwa mwaka huu kusema "Changamoto za kijamii kwenye jamii yetu zinahitaji wanamageuzi kuliko mageuzi yenyewe", ambapo nilitafakari nanyi pamoja na mambo mengine, mchango wa...
2 Reactions
3 Replies
371 Views
Nikusalimu ndugu yangu Katika utu na uzima wetu, "hakuna mfano nyuma ya mfano nyuma ya mfano Kuna Imani" --------- Nimekuja kugundua jambo moja kubwa tu ambalo kama kundi kubwa tukilielewa basi...
13 Reactions
33 Replies
2K Views
Ndugu zangu wana JF Leo nimeamua kuanza kutoa masomo ya mythology. Iwe kweli au siyo kweli lakini tupate kutambua namna wengine wanavyo iendesha dunia hii. Leo nitaongelea malaika mtoa roho...
7 Reactions
61 Replies
10K Views
Sasa, unaweza kupata nakala za Kitabu changu cha "NYUMA YA ULIMWENGU WA SIRI NA UJASUSI". kitabu kina kurasa 442 na ndani yake kuna makala 17. Bei ya kitabu hiki ni Tsh 50,000/- Pia waweza kupata...
79 Reactions
1K Replies
362K Views
MAMBO YA KUFIKRIKA YALIYOPO DUNIANI NI YAPI? Kuna mambo mengi sana ya kufikirika yameundwa na kupewa uhai ambayo yanaleta ugomvi mwingi kwa watu hapa duniani. Katika masomo yangu haya...
9 Reactions
23 Replies
1K Views
Kwanza kabisa nawasalimia. Leo napenda kuongelea makundi haya mawili duniani. Dini na Sayansi. Kumekuwa na mjadala mkubwa mno duniani kuhusu haya makundi. Kwanza kabisa kabla ya kuendelea...
3 Reactions
138 Replies
10K Views
Nawasalimia wote JF. Nimeamua kuandika jumbe mbalimbali kwa lengo la kufundisha na kuwafumbua macho waliotayari. Leo hii nitaongelea suala la huyu anayeitwa shetani. Imetokea kuogopwa sana na...
20 Reactions
62 Replies
8K Views
I appreciate all of you reading this. Katika karne hii ya maendeleo ya kisayansi na kiteknolojia, wazo la kuwa jamii yenye uwezo wa kusafiri angani limekuwa suala lenye umuhimu mkubwa. Licha ya...
2 Reactions
2 Replies
773 Views
Jina la Rothschild linahusishwa na utajiri mkubwa kwa zaidi ya miaka 200, Familia ya Rothschild ndiyo familia yenye nguvu zaidi na yenye utajiri mkubwa kabisa, Inasemekana utajiri wao unathamani...
15 Reactions
148 Replies
31K Views
KUNDALINI "Ni Mfumo wa Mazoezi ya Asili na ya kiroho, mazoezi haya hujumuika kama njia ya kuongeza nishati iitwayo KUNDALINI Wakati wa kufanya mazoezi haya unahitajika kufuata Mlolongo mkali...
3 Reactions
9 Replies
2K Views
Wadau wa fikra, Nafahamu kuwa muongozo wa Jukwaa hili unatutaka tuweke serious reports & discussions on Corruption, Politics na etc kwa ajili ya mijadala yakinifu. Tofauti na Jukwaa la Dini...
27 Reactions
173 Replies
31K Views
Back
Top Bottom