Hali ya usalama si nzuri Arusha

BLUE BALAA

JF-Expert Member
Nov 30, 2010
1,222
764
Hali ya usalama wa Arusha inatisha sana sasa hivi, ujambazi, utapeli na uwizi vimerudi upya. Kuna kila style ya uwizi na kusikitisha ukienda polisi msaada si mkubwa kihivyo.

1. Kuna vijana Arusha wamekuja na style ya utapeli wa dawa za kupreserve mazao na case kama hizo pale central police ni nyingi sana

2. Uwizi wa kuvunja nyumba umerudi, mimi naishi moshono na nina several places ambazo zimevunjwa ka kuibiwa katika siku mbili hizi

3. Ujambazi pia umerudi, siku ya alhamisi Moshono Super marketi illingiliwa na majambazi around saa mbili na kuwa harrass wateja na kuiba pesa zote huku wakimpiga muuzaji (lady) na kitako cha bunduki. Na pia walivamia maduka maeneo ya kwa Ibrahim mapembe

4. Pia jana kuna bureau imevamiwa asubuhi na kuuwawa mlinzi

5. Risasi zinalia kila siku kuanzia saa 2 utadhani tuko Afghanistan.

Where are we heading??? Naambiwa kuna majambazi wengi sana wameachiwa toka gerezani ila sina data za kutosha.
 
Hali ya usalama wa Arusha inatisha sana sasa hivi, ujambazi, utapeli na uwizi vimerudi upya. Kuna kila style ya uwizi na kusikitisha ukienda polisi msaada si mkubwa kihivyo.

1. Kuna vijana Arusha wamekuja na style ya utapeli wa dawa za kupreserve mazao na case kama hizo pale central police ni nyingi sana

2. Uwizi wa kuvunja nyumba umerudi, mimi naishi moshono na nina several places ambazo zimevunjwa ka kuibiwa katika siku mbili hizi

3. Ujambazi pia umerudi, siku ya alhamisi Moshono Super marketi illingiliwa na majambazi around saa mbili na kuwa harrass wateja na kuiba pesa zote huku wakimpiga muuzaji (lady) na kitako cha bunduki. Na pia walivamia maduka maeneo ya kwa Ibrahim mapembe

4. Pia jana kuna bureau imevamiwa asubuhi na kuuwawa mlinzi

5. Risasi zinalia kila siku kuanzia saa 2 utadhani tuko Afghanistan.

Where are we heading??? Naambiwa kuna majambazi wengi sana wameachiwa toka gerezani ila sina data za kutosha.
Aseee...!!

Sasa si uhamie tu chato huku!! unasubiri nini huko sasa?

huku chato haturuhusu hata vijana wanne kutembea pamoja...kwa sababu hizo ni dalili za maandamano.

Ukivaa t-shirt yoyote yenye rangi nyeupe na nyekundu... tayari tunakuweka hatiani kwa kosa la uchochezi.

Sasa wewe unafikiri kwa utaratibu huu kuna jambazi yoyote au kibaka ataweka makazi huku!?

Ebu njoo bhana...chato is a safest place!!
 
X
Hali ya usalama wa Arusha inatisha sana sasa hivi, ujambazi, utapeli na uwizi vimerudi upya. Kuna kila style ya uwizi na kusikitisha ukienda polisi msaada si mkubwa kihivyo.

1. Kuna vijana Arusha wamekuja na style ya utapeli wa dawa za kupreserve mazao na case kama hizo pale central police ni nyingi sana

2. Uwizi wa kuvunja nyumba umerudi, mimi naishi moshono na nina several places ambazo zimevunjwa ka kuibiwa katika siku mbili hizi

3. Ujambazi pia umerudi, siku ya alhamisi Moshono Super marketi illingiliwa na majambazi around saa mbili na kuwa harrass wateja na kuiba pesa zote huku wakimpiga muuzaji (lady) na kitako cha bunduki. Na pia walivamia maduka maeneo ya kwa Ibrahim mapembe

4. Pia jana kuna bureau imevamiwa asubuhi na kuuwawa mlinzi

5. Risasi zinalia kila siku kuanzia saa 2 utadhani tuko Afghanistan.

Where are we heading??? Naambiwa kuna majambazi wengi sana wameachiwa toka gerezani ila sina data za kutosha.

Subiri SFU watakuja kuweka mambo sawa maana hao ni wataalamu wa kupambana na uhalifu na wahalifu
 
hiyo Ilikuwa 2011
Kwa 2011 siwezi kushangaa,nimeisoma post na kuidhihaki baada ya kujua ni ya humo mwaka,ila kwa kipindi cha 2014 hadi sasa Polisi Arusha wanafanya kazi inayoonekana sana yamebakia matukio madogo sana ambayo sio tishio kama awali
 
Kwa 2011 siwezi kushangaa,nimeisoma post na kuidhihaki baada ya kujua ni ya humo mwaka,ila kwa kipindi cha 2014 hadi sasa Polisi Arusha wanafanya kazi inayoonekana sana yamebakia matukio madogo sana ambayo sio tishio kama awali
Hata mimi mkuu.
Mwaka 2010-2011 nilikuwa arusha na karibu kila siku unasikia risasi zikilia.
Hata mimi nilikoswakoswa kwenye hoteli waliyomuua kijana mmoja hapo
 
Hali ya usalama wa Arusha inatisha sana sasa hivi, ujambazi, utapeli na uwizi vimerudi upya. Kuna kila style ya uwizi na kusikitisha ukienda polisi msaada si mkubwa kihivyo.

Yaani toka CHADEMA washike Arusha ujambazi na wizi umeongezeka mno
 
Hali ya usalama wa Arusha inatisha sana sasa hivi, ujambazi, utapeli na uwizi vimerudi upya. Kuna kila style ya uwizi na kusikitisha ukienda polisi msaada si mkubwa kihivyo.

1. Kuna vijana Arusha wamekuja na style ya utapeli wa dawa za kupreserve mazao na case kama hizo pale central police ni nyingi sana

2. Uwizi wa kuvunja nyumba umerudi, mimi naishi moshono na nina several places ambazo zimevunjwa ka kuibiwa katika siku mbili hizi

3. Ujambazi pia umerudi, siku ya alhamisi Moshono Super marketi illingiliwa na majambazi around saa mbili na kuwa harrass wateja na kuiba pesa zote huku wakimpiga muuzaji (lady) na kitako cha bunduki. Na pia walivamia maduka maeneo ya kwa Ibrahim mapembe

4. Pia jana kuna bureau imevamiwa asubuhi na kuuwawa mlinzi

5. Risasi zinalia kila siku kuanzia saa 2 utadhani tuko Afghanistan.

Where are we heading??? Naambiwa kuna majambazi wengi sana wameachiwa toka gerezani ila sina data za kutosha.
Ndio maandamano yanaanza taratibu hivyoo police wataisoma namba
 
Hali ya usalama wa Arusha inatisha sana sasa hivi, ujambazi, utapeli na uwizi vimerudi upya. Kuna kila style ya uwizi na kusikitisha ukienda polisi msaada si mkubwa kihivyo.

1. Kuna vijana Arusha wamekuja na style ya utapeli wa dawa za kupreserve mazao na case kama hizo pale central police ni nyingi sana

2. Uwizi wa kuvunja nyumba umerudi, mimi naishi moshono na nina several places ambazo zimevunjwa ka kuibiwa katika siku mbili hizi

3. Ujambazi pia umerudi, siku ya alhamisi Moshono Super marketi illingiliwa na majambazi around saa mbili na kuwa harrass wateja na kuiba pesa zote huku wakimpiga muuzaji (lady) na kitako cha bunduki. Na pia walivamia maduka maeneo ya kwa Ibrahim mapembe

4. Pia jana kuna bureau imevamiwa asubuhi na kuuwawa mlinzi

5. Risasi zinalia kila siku kuanzia saa 2 utadhani tuko Afghanistan.

Where are we heading??? Naambiwa kuna majambazi wengi sana wameachiwa toka gerezani ila sina data za kutosha.
Mmezidu kuwatusi na kuwakashfu polisi na vyombo vingine vya dola

Hope makamanda wapo huko hali itakaa shwari punde
 
Back
Top Bottom