BLUE BALAA
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 1,222
- 764
Hali ya usalama wa Arusha inatisha sana sasa hivi, ujambazi, utapeli na uwizi vimerudi upya. Kuna kila style ya uwizi na kusikitisha ukienda polisi msaada si mkubwa kihivyo.
1. Kuna vijana Arusha wamekuja na style ya utapeli wa dawa za kupreserve mazao na case kama hizo pale central police ni nyingi sana
2. Uwizi wa kuvunja nyumba umerudi, mimi naishi moshono na nina several places ambazo zimevunjwa ka kuibiwa katika siku mbili hizi
3. Ujambazi pia umerudi, siku ya alhamisi Moshono Super marketi illingiliwa na majambazi around saa mbili na kuwa harrass wateja na kuiba pesa zote huku wakimpiga muuzaji (lady) na kitako cha bunduki. Na pia walivamia maduka maeneo ya kwa Ibrahim mapembe
4. Pia jana kuna bureau imevamiwa asubuhi na kuuwawa mlinzi
5. Risasi zinalia kila siku kuanzia saa 2 utadhani tuko Afghanistan.
Where are we heading??? Naambiwa kuna majambazi wengi sana wameachiwa toka gerezani ila sina data za kutosha.
1. Kuna vijana Arusha wamekuja na style ya utapeli wa dawa za kupreserve mazao na case kama hizo pale central police ni nyingi sana
2. Uwizi wa kuvunja nyumba umerudi, mimi naishi moshono na nina several places ambazo zimevunjwa ka kuibiwa katika siku mbili hizi
3. Ujambazi pia umerudi, siku ya alhamisi Moshono Super marketi illingiliwa na majambazi around saa mbili na kuwa harrass wateja na kuiba pesa zote huku wakimpiga muuzaji (lady) na kitako cha bunduki. Na pia walivamia maduka maeneo ya kwa Ibrahim mapembe
4. Pia jana kuna bureau imevamiwa asubuhi na kuuwawa mlinzi
5. Risasi zinalia kila siku kuanzia saa 2 utadhani tuko Afghanistan.
Where are we heading??? Naambiwa kuna majambazi wengi sana wameachiwa toka gerezani ila sina data za kutosha.