Ni kanuni ya maisha hii inajulikana kama "the all or nothing principle".
Kanuni hii ni maarufu sana shule za secondary kwenye somo la baiolojia kwenye topic ya mfumo wa fahamu[the nervous system]...
wakubwa. amani iwe kwenu.
ninaomba tueleweshane kwa lugha yetu adhimu ya kiswahili: Obama Care ni nini? naaa...
kwa nini Rais Donald Trump anaifuta?
naomba kuwasilisha.
Rekodi ya Dunia ya watu wanaoaminika kuwa na akili nyingi zaidi (IQ) ni Wanasayansi na wachezaji Chess lakini pia unaweza ukawa umewahi kujiuliza ni kiongozi gani mwenye akili zaidi Duniani...
"if i have seen further than others it is by standing on the shoulders of GIANTS"
Pandahill sec (2012) nikiwa a-level, kulikuwa na maada inayo mhusu SIR Isaac Newton. Kila mwanafunzi alikua na...
Hii imekuwa ni moja kati ya dhana ambayo sijaielewa vizuri,iko hivi imekuwa ikisemekana kwamba mtu akiweza kusafiri kama speed ya mwanga unavyosafiri basi ataweza kudhoofisha/kusimamisha umri...
hili swali limekuwa kichwani mwangu sana.
kwa nini msema ukweli si mpenzi wa wanadamu ?.
labda vitu tuangalie kwenye mapitio mfano:
yesu kuwekwa msalabani,s.w.a muhamad kukimbia madina...
Isaac Newton, yes, the one who wrote the Principia. It may come as a surprise to learn that after making his scientific discoveries, Newton ended up in charge of producing...
Satelaiti ndogo za upelelezi
Mwaka 1988, Israel ilirusha satelaiti yake ya kwanza ya upepelezi angani, na kuingia katika kundi la mataifa nane yenye uwezo wa kurusha satelaiti angani.
Hadi sasa...
Kesi ya O.J
Kwa wale ambao wamekuwa wakifuatilia kwa ukaribu yale yanayotokea nchi za wenzetu hasa Marekani na Visa na Mikasa ya matajiri. watu maarufu na waafrika hii ni moja ya kesi ambayo miaka...
Wanasayansi wa anga kila uchao wanafanya tafiti kujua kama kuna maisha ya viumbe hai nje ya sayari ya dunia.
Vitabu vitakatifu vinatuambia kua binadamu ni viumbe pekee spesho katika macho ya...
Nimesoma kwa juu habari ya hawa viumbe kwenye Ukurasa wa habari wa BBC SWAHILI (FACEBOOK) ila nimetaka kukua kwa undani viumbe hawa ambao inasemekana walikuwepo miaka takribani milioni 200...
January 28, 2017
Comando from Tanzania episode three
https://aloycenyakunga.blogspot.com The Tanzania Peoples’ Defence Force was created in September 1964. From its inception, it was ingrained in...
Habari ya hapo ulipo,natumai umzima wa afya.
Teknolojia ni tawi moja katika matawi ya sayansi linalohusiana na elimu ya ufundi kwa maana ya kuvumbua kitu kipya ili kurahisisha maisha ya wanadamu...
Radar na satelite zinafanyaje kazi zake?
Tumezisikia zikitumika kwenye vita na mfumo mziwa wa habari.
Kazi yake hasa kubwa ya satelite ni kufanya mawasiliano na kupiga picha sehemu mbalimbali za...
Juzi Taifa limepata msiba kwa kupotelewa na mkuu wa Freemason Tanzania kama sio EA mzee Chande. Mkuu wa Taasisi/Club/Dhehebu ambalo Mkuu wake anafahamika lakini waumini au members zake...
mwanasiasa huyu muitaliano aliandika kitabu hiki mwaka 1513. kwa tuliokisoma tujuzane kanuni za humo ndani. Cc MALCOM LUMUMBA, MSEZA MKULU, nyumba kubwa
I call upon all you people out there, critics of religion, people who prefer reason to bullshit, let's come together and discuss and analyze and share our thoughts on religion and faith related...