Nchi inaporomoka tena kwa kasi, kasi ya ajabu. Imeshaporomoka katika Elimu, Afya,, Kilimo, Ukusanyaji kodi, matumizi ya fedha iliyopo, na mengine mengi.
Hili la uraia ndo litaimaliza nchi yangu Tanzania Tanzania tuipendayo kwa moyo wote. Nimeshuhudia wahindi, waarabu, na weupe kadhaa wakialikana kutoka makwao kuja kujiandikisha kupata vyeti vya uraia. Hata kiswahili hawakijui..
Hii inatufikisha pabaya, tena pabaya.
Nchi Haina mwenyewe...
Napendekeza zoezi hili lifutwe.
Hili la uraia ndo litaimaliza nchi yangu Tanzania Tanzania tuipendayo kwa moyo wote. Nimeshuhudia wahindi, waarabu, na weupe kadhaa wakialikana kutoka makwao kuja kujiandikisha kupata vyeti vya uraia. Hata kiswahili hawakijui..
Hii inatufikisha pabaya, tena pabaya.
Nchi Haina mwenyewe...
Napendekeza zoezi hili lifutwe.