Jamani, mara kadhaa nimekuwa nikitafakari, hivi inakuwaje kanchi kama Rwanda kuwa na mkwara mzito wa namna hii kwa Tanzania?
Sasa, baada ya kupitia ripoti ya mchungaji Mtikila, ambayo hapo...
Jason Eric Massey alizaliwa januari 7 1973 kule Ellis county,Texas.Katika umri mdogo,alipitia changamoto kubwa ya malezi kwani babake alikuwa mlevi mkubwa naye mamake alikuwa mhadhiriwa wa madawa...
Watu wametweta,wamekasirika na wengine wamefura kwa maneno mazitomazito kwa kauli ya Mwadhama P. Kardinal Pengo.Yeye Pengo kama baba wa kiroho na kiongozi wa waumini wa kanisa katoliki jimbo la...
Habari zenu wakuu? Natumaini mmeamka salama na mnaendelea vyema na majukumu yenu ya hapa na pale.
Kama mada inavojieleza hapo juu, kwasiku nyingi nimekua na maswali kuhusu huyu bibi na nguvu yake...
WanaJF, nikiri tu kuwa hapa jamvini mimi ndo mtu ambaye kielimu nipo chini sana.
Pamoja na hayo nimejifunza mambo mengi kupitia hapa JF. Hakuna siku ambayo nimeacha kupita hapa JF...
Thanks to Livingwaters the Documentary.
There are more resources there but here is the full movie free.
Please do not comment if you have not watched the movie as that will be silly. You don't...
Ilikuwa siku ya kawaida kama ilivyo siku nyingine yoyote na watu walikuwa wakiendelea na shughuli zao kama kawaida katika mji wa Greenwood, Indiana.
Sarah msichana mwenye umri wa miaka 24, ambaye...
Mwaka 1989 ndugu wawili wajulikanao kama Lyle ambaye kwa sasa ana miaka 49, na Erik ambaye kwa sasa ana umri wa miaka 46, waliowaua wazazi wao kwa kuwapiga risasi sehemu mbalimbali za miili yao...
Asalaam!
Rejea mada tajwa hapo juu. Kuna suala moja nimejihoji kwa muda mrefu lakini sijapata jawabu kutokana na visa vikuu viwili nilivyovishuhudia mwenyewe.
Mwaka 2013 mkoani Mbeya, Baba yetu...
Ukiwauliza VIP protection Agents mbalimbali Changamoto juu ya Earpiece wanazovaa muda wote kwa ajili ya Kuwa linked na Kuwasiliana na Details inayokuwa Nje au Pembeni basi watakuambia Tube Coiled...
Swalama waheshimiwa!
Mara kadhaa nimekuwa nikijiuliza kwanini marais wetu wanalindwa na jeshi la wananchi (JWTZ), Kwa sababu mimi nijuavyo kazi ya jeshi la wananchi ni kulinda usalama wa mipaka...
Ndugu zangu fungueni BBC swahili ya leo asubuhi msike mahojiano ya Salva Rweyemamu mimi nimeskikia leo asubuhi!
Kwa kweli kwa majibu yake juu ya nini serilaki ifanye kuhusu tuhuma...
General Manuel Antonio Norriega
Manuel Antonio Noriega Moreno (Spanish pronunC.I.A.tion: [maˈnwel noˈɾjeɣa]; February 11, 1934 – May 29, 2017) alikua mwanasiasa na mwanajeshi wa nchi ya Panama...
Katika makala haya, tutaangalia jinsi wanasayansi wa kawaida, tena ambao walikuwa hawaamini kabisa kwamba kuna Mungu au shetani, katika utafiti wao ambao haukuwa na uhusiano wowote na masuala ya...
Katika karne ile ya kumi na tatu kilinzishwa chombo cha papa cha kutisha mno - yaani, ile Inkwizisheni (Inquisition) [Mahakama ya Kanisa Katoliki ya kukomesha uasi, hasa katika karne ile ya 15 na...
Habari zenu wandugu.Leo ni jumatatu najuwa wengi tupo katika mihangaiko ya kutafuta riziki ya kila siku.
Niingia katika madaDunia hii tunayoishi ilianzia wapi,nini chanzo chake,hayo ni baadhi ya...
Wakuu,
Unapofungua Agano Jipya,hasa katika zile Injili Nne,utakutana na uadui kati ya Wayahudi dhidi ya Wasamaria!
Ila ushawahi jiuliza chanzo cha ukinzani huu? Basi twende sote tupate kujua...
MCHANGO WA MAJASUSI WA KIDOLA KATIKA TEKNOLOJIA YA NYUKLIA NCHINI URUSI
Katika hadithi za kijasusi za Urusi na Marekani, si kawaida kuacha kutaja majina ya 'mashujaa wa ujasusi wa urusi'...
Habari zenu....
Jamani hii imekaaje ni binti ambae tulisoma nae primary ni miaka imepita.... kwakipindi cha takribani miaka mitatu nimekuwa nikimuota saaana si kwamba labda alikuwa rafiki...