“Project Blue Beam is a conspiracy theory that claims that NASA is attempting to implement a New Age religion with the Antichrist at its head and start a New World Order, via a...
*COPY & PASTE*
👇👇👇👇
*Ndugu yangu Mwita Mwikwabe,*
Ili kuweka barua yangu kwako katika muktadha niliokusudia, nikujulishe tu kwamba siyo ya kisiasa na haijatoka CDM maana mimi sio mwanachama wa...
"Elimu ni kile kinachobaki kichwani baada ya kusahau yale uliyofundishwa darasani" by Albert Einsten.
Wakuu wasalaam,bila kupoteza muda twende na mada.Nianze kwa kuelezea mambo ya tofauti kati ya...
Ukisoma Kitabu cha Mwanzo katika Biblia Takatifu Mwenyezi Mungu Aliweka Walinzi yaani Malaika Katika Bustani ya Eden ili tu Binadamu asiweze Kula Tunda La uhai maana Akilila Ataishi Milele.
Je...
Kwa muda mrefu kumekuwepo na imani zinazohusisha ugonjwa wa akili na mwandamo wa Mwezi mchanga. Hata hivyo, kwa sasa imethibitika kuwa, Mwezi mchanga huathiri akili za viumbe hai akiwemo...
Mungu huwa hakosei kuumba ?
Mimi sijui na lengo langu siyo kumkosoa Mungu wala kumuhoji bali kuzungumzia kuhusu binadamu waliozaliwa na viungo vya ziada na kuishangaza dunia
Kawaida mtu ana meno...
Habari za asubuhi wana Jf
Nilikua naomba kuuliza miaka ya nyuma kwenye karne ya 12 mpaka 19 hivii kulikua kuna Binadamu walkua wana miili mikubwa sana na pia walikua wana nguvu sana.
Mfano mimi...
Nani ambaye hamjui Dikteta Adolf Hitler? Adolf Hitler ni mtawala maarufu zaidi katika karne ya ishirini, kiongozi wa chama cha Kinazi aliyeitawala ujeruman kati ya mwaka 1934 mpaka 1945. Kama...
CODEX GIGAS au kwa kiswahili (kitabu kikubwa),ndio kitabu kikubwa Zaidi kuwahi kuandikwa duniani tangu medieval periods ( karne za kumi kumi).The codex Gigas kina ukubwa wa (urefu sm 92, upana sm...
Taarifa ifuatayo hapa chini imedukuliwa wakati ikitumwa kwa Kamishena Jenerali wa Uhamiaji, Jamii Intel. someni wenyewe, pengine kuna ukweli ndani yake.
Message to CGI
TAARIFA: URAIA UNAOTILIWA...
Wasalaam wakuu,kwenye jamii yetu tumeaminishwa kuwa watoto ni Malaika hawana dhambi wala hatia yoyote(hata mimi nakubali hili).sasa mimi nauliza kama kweli watoto ni Malaika kwa nini wana roho...
Kupitia Utafiti wa Zecharia Sitchin mwaka 1976 "The Earth Chronicles" juu ya maandishi ya 14 tablets yaliyoandikwa na Mfalme wa Sumeria (Mesopotamia), Enki (miungu ya Annunaki); unaonyesha kuwa...
Umewahi kwenda ziwani kisha ukakutana na maji yakiwa na rangi ya pink kama vile yamemwagiwa rangi ya Sadolin?
Najua wengi kwenu ni jambo geni hata kwangu pia nilipoona picha kwa mara ya keanza...
Tangu Chombo cha Wamarekani Apollo 11 kilichoongozwa na Neil Armstrong kimefika mwezini mwaka 1969, ni miaka 50 sasa, hakujawahi tena kupelekwa wanaanga wengine mwezini. Nini kilijiri kwenye hiyo...
Jupiter au Mshtarii ni sayari ya tano katika mfumo wa jua(solar system) .Jupiter ipo umbali wa km 778 million kutoka jua uku ikitumia miaka 11.86 kumaliza mzunguko wake ktk obiti(orbit) na pia...
Wasalamu wakuu!
Moja kwa moja kwenye mada.
Watu wamekuwa wakifundishwa mafundisho mbalimbali kuhusu mbinguni na kuzimu. Mafundisho mengi kama si yote ni uongo na uzushi mtupu. Dunia imehadaiwa na...
Habari wana jamvi, Asubuhi ya leo itakua vyema tukizungumza kwa mitazamo tofauti hususani siasa zetu hapa nchini na Afrika katika nyezo ya kidukuzi (INTELLIGENCE).
Siasa zetu na mahali pengine...
NI NANI aliyevumbua Amerika?
Hakuna anayejua kwa hakika. Jibu lategemea sana jinsi unavyoelewa maneno “kuvumbua” na “Amerika.” Kwa vyovyote vile, nchi hiyo kubwa ilikaliwa na watu kwa mamia ya...
aaaaaa aha h raha sana tunapeta tu baada ya Dreamliner kutua.
Mungu kasikia kilio cha wanafunzi tuliohitimu na nyumbani kwa kukosa kazi.
Special thanks kwa Mkuu wa Chuo Cha Tanzania Aviation...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.