Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
Kwa ufupi tu Malkia Candace Amanirenas ama KENDAKE alikuwa malkia wa ethiopia ya kale yaani KUSH EMPIRE ambayo kwa kipindi hicho utawala wa meroe ulikuwa Sudan ya sasa. Alitawala kuanzia 40 BC...
32 Reactions
175 Replies
28K Views
Habarini, Katika pitapita zangu za kujua vitu nikakuta hii kitu kuhusiana na dunia kutokuwa ni duara na ni tambarale pia haizunguki katika muhimili wake kama tulivofundishwa huko shule za awali...
15 Reactions
283 Replies
36K Views
Katika harakati zake za maisha tangu siku yake ya kwanza, binadamu amepitia mambo mengi ya kijamii na kiuchumi. Moja ya mambo hayo ni Vita, kwa wanahistoria Kuna Vita nyingi maarufu na zisizo...
5 Reactions
7 Replies
3K Views
Nimekuwa nikijiuliza swali hili kwa muda sasa, Wanasayansi wanadai Jua ni moja kati ya nyota zinazoipatia mwangaza na nishati Dunia. Wanaendelea kudai Jua limesimama wima na Dunia iko kwenye...
0 Reactions
17 Replies
12K Views
Ndugu wapendwa Sikukuu za kidini na Sikukuu nyingine zinazopendwa na watu wengi ambazo husheherekeawa sehemu nyingi za walimwengu Leo,hazikutokana na Biblia.Basi, Sikukuu hizo zilianzia...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Nimekaa na kujiuliza sana juu ya hili swala ila sijapata jibu, naomba mwenye uelewa juu ya ili jambo anipe ufafanuzi kidogo. Katika baadhi ya misiba misiba mingi niliyowai kuhudhuria huwa nakutana...
0 Reactions
26 Replies
6K Views
Wakuu mie napingana sana na ukweli huu kwani ni UONGO mtupu kwani hawa jamaa ni watu katika watu! Je, UNAMJUA BINADAMU WA KWANZA HAPA DUNIANI!? TAFADHALI FUNGUKA!
5 Reactions
251 Replies
53K Views
KUTANA NA JEAN BEDEL BOKASSA, RAIS ALIYEPENDA STAREHE KULIKO WOTE AFRIKA KATIKA UTAWALA WAKE. Miongoni mwa watawala waliokuwa na visa na vituko vingi katika bara hili la Afrika ni mfalme wa...
16 Reactions
76 Replies
40K Views
Kama ulishawahi Ku notes kuna baadhi ya watu akiwa amekaa katulia anaanza kutingisha miguu/mapaja Wataalamu wa mambo je hii ni Mechanism gani?
0 Reactions
61 Replies
14K Views
Wakuu kama mnavyojua wahalifu ni sehemu ya jamii hata hapa jukwaani wamejaa tele Sasa nataka kuelezea kwa ufupi tu matukio na wahalifu waliowahi kufanikisha wizi mkubwa kwa weledi uliotukuka...
7 Reactions
37 Replies
10K Views
Binafsi linapokuja suala la kutumia akili ili kuleta maendelea kibinafsi na kijamii huwa nashindwa kuelewa. Kwanini wazungu na sisi watu weusi tuna utofauti sana ktk global development...
16 Reactions
195 Replies
24K Views
salam wan jf kwa wenye uwezo wa kureason naomba kupewa maana halisi ya neno roho na inamuingiliano gani na akili? na je viumbe vyote vina roho??
1 Reactions
60 Replies
17K Views
Mnamo mwaka 2011 serikali ya Marekani kupitia raisi wake Barack Obama ilithibitisha kwamba May 2 ya mwaka huo kikosi maalumu cha maangamizo kilifanikiwa kumtoa kwenye uso wa dunia adui namba 1 wa...
6 Reactions
25 Replies
7K Views
“Project Blue Beam is a conspiracy theory that claims that NASA is attempting to implement a New Age religion with the Antichrist at its head and start a New World Order, via a...
1 Reactions
33 Replies
9K Views
  • Redirect
5 Reactions
Replies
Views
"Elimu ni kile kinachobaki kichwani baada ya kusahau yale uliyofundishwa darasani" by Albert Einsten. Wakuu wasalaam,bila kupoteza muda twende na mada.Nianze kwa kuelezea mambo ya tofauti kati ya...
7 Reactions
57 Replies
11K Views
Ukisoma Kitabu cha Mwanzo katika Biblia Takatifu Mwenyezi Mungu Aliweka Walinzi yaani Malaika Katika Bustani ya Eden ili tu Binadamu asiweze Kula Tunda La uhai maana Akilila Ataishi Milele. Je...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Kwa muda mrefu kumekuwepo na imani zinazohusisha ugonjwa wa akili na mwandamo wa Mwezi mchanga. Hata hivyo, kwa sasa imethibitika kuwa, Mwezi mchanga huathiri akili za viumbe hai akiwemo...
0 Reactions
9 Replies
7K Views
Back
Top Bottom