Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
“Project Blue Beam is a conspiracy theory that claims that NASA is attempting to implement a New Age religion with the Antichrist at its head and start a New World Order, via a...
1 Reactions
33 Replies
9K Views
*COPY & PASTE* 👇👇👇👇 *Ndugu yangu Mwita Mwikwabe,* Ili kuweka barua yangu kwako katika muktadha niliokusudia, nikujulishe tu kwamba siyo ya kisiasa na haijatoka CDM maana mimi sio mwanachama wa...
5 Reactions
12 Replies
3K Views
"Elimu ni kile kinachobaki kichwani baada ya kusahau yale uliyofundishwa darasani" by Albert Einsten. Wakuu wasalaam,bila kupoteza muda twende na mada.Nianze kwa kuelezea mambo ya tofauti kati ya...
7 Reactions
57 Replies
11K Views
Ukisoma Kitabu cha Mwanzo katika Biblia Takatifu Mwenyezi Mungu Aliweka Walinzi yaani Malaika Katika Bustani ya Eden ili tu Binadamu asiweze Kula Tunda La uhai maana Akilila Ataishi Milele. Je...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Kwa muda mrefu kumekuwepo na imani zinazohusisha ugonjwa wa akili na mwandamo wa Mwezi mchanga. Hata hivyo, kwa sasa imethibitika kuwa, Mwezi mchanga huathiri akili za viumbe hai akiwemo...
0 Reactions
9 Replies
7K Views
Mungu huwa hakosei kuumba ? Mimi sijui na lengo langu siyo kumkosoa Mungu wala kumuhoji bali kuzungumzia kuhusu binadamu waliozaliwa na viungo vya ziada na kuishangaza dunia Kawaida mtu ana meno...
5 Reactions
120 Replies
21K Views
Habari za asubuhi wana Jf Nilikua naomba kuuliza miaka ya nyuma kwenye karne ya 12 mpaka 19 hivii kulikua kuna Binadamu walkua wana miili mikubwa sana na pia walikua wana nguvu sana. Mfano mimi...
3 Reactions
38 Replies
7K Views
Nani ambaye hamjui Dikteta Adolf Hitler? Adolf Hitler ni mtawala maarufu zaidi katika karne ya ishirini, kiongozi wa chama cha Kinazi aliyeitawala ujeruman kati ya mwaka 1934 mpaka 1945. Kama...
5 Reactions
27 Replies
10K Views
CODEX GIGAS au kwa kiswahili (kitabu kikubwa),ndio kitabu kikubwa Zaidi kuwahi kuandikwa duniani tangu medieval periods ( karne za kumi kumi).The codex Gigas kina ukubwa wa (urefu sm 92, upana sm...
11 Reactions
66 Replies
13K Views
Taarifa ifuatayo hapa chini imedukuliwa wakati ikitumwa kwa Kamishena Jenerali wa Uhamiaji, Jamii Intel. someni wenyewe, pengine kuna ukweli ndani yake. Message to CGI TAARIFA: URAIA UNAOTILIWA...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Wasalaam wakuu,kwenye jamii yetu tumeaminishwa kuwa watoto ni Malaika hawana dhambi wala hatia yoyote(hata mimi nakubali hili).sasa mimi nauliza kama kweli watoto ni Malaika kwa nini wana roho...
4 Reactions
192 Replies
16K Views
Kupitia Utafiti wa Zecharia Sitchin mwaka 1976 "The Earth Chronicles" juu ya maandishi ya 14 tablets yaliyoandikwa na Mfalme wa Sumeria (Mesopotamia), Enki (miungu ya Annunaki); unaonyesha kuwa...
2 Reactions
36 Replies
6K Views
Umewahi kwenda ziwani kisha ukakutana na maji yakiwa na rangi ya pink kama vile yamemwagiwa rangi ya Sadolin? Najua wengi kwenu ni jambo geni hata kwangu pia nilipoona picha kwa mara ya keanza...
3 Reactions
44 Replies
13K Views
Tangu Chombo cha Wamarekani Apollo 11 kilichoongozwa na Neil Armstrong kimefika mwezini mwaka 1969, ni miaka 50 sasa, hakujawahi tena kupelekwa wanaanga wengine mwezini. Nini kilijiri kwenye hiyo...
5 Reactions
218 Replies
26K Views
Jupiter au Mshtarii ni sayari ya tano katika mfumo wa jua(solar system) .Jupiter ipo umbali wa km 778 million kutoka jua uku ikitumia miaka 11.86 kumaliza mzunguko wake ktk obiti(orbit) na pia...
14 Reactions
103 Replies
27K Views
Wasalamu wakuu! Moja kwa moja kwenye mada. Watu wamekuwa wakifundishwa mafundisho mbalimbali kuhusu mbinguni na kuzimu. Mafundisho mengi kama si yote ni uongo na uzushi mtupu. Dunia imehadaiwa na...
4 Reactions
39 Replies
9K Views
Habari wana jamvi, Asubuhi ya leo itakua vyema tukizungumza kwa mitazamo tofauti hususani siasa zetu hapa nchini na Afrika katika nyezo ya kidukuzi (INTELLIGENCE). Siasa zetu na mahali pengine...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
NI NANI aliyevumbua Amerika? Hakuna anayejua kwa hakika. Jibu lategemea sana jinsi unavyoelewa maneno “kuvumbua” na “Amerika.” Kwa vyovyote vile, nchi hiyo kubwa ilikaliwa na watu kwa mamia ya...
0 Reactions
10 Replies
5K Views
aaaaaa aha h raha sana tunapeta tu baada ya Dreamliner kutua. Mungu kasikia kilio cha wanafunzi tuliohitimu na nyumbani kwa kukosa kazi. Special thanks kwa Mkuu wa Chuo Cha Tanzania Aviation...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Back
Top Bottom