Why mh.rais dr.Magufuli unaogopa kunyonga,wakati katiba inakuruhusu?kwahiyo wauwaji watambe?

FrankLutazamba

JF-Expert Member
Aug 9, 2018
449
408
Mamlaka ya duniani yanamwakilisha Muumba na sharti yAheshimiwe,ukisema tusitoke nje itakuwa sababu umewekewa nguvu duniani na mbinguni malaika wanajua,sababu umeapa,sasa Why uogope kuidhinisha kifo?

Sasa hapo tunapata Picha hauamini Vyombo vya mahakama huenda hubambika kesi watu hivyo ukanyonga wasio na hatia,

Lakini mbona kuna teknolojia imekuwa kuna DNA, finger print,satellite na kadhalika,kumbe kuna haja ya kupeleka polisi wetu nje kusomea tena wawe wengi ili uchunguzi uwe wa haki japo sina shaka na investigation yetu wapo makini sana ila msasa muhimu

Ukiangalia utawala wa king Henry wa 16 kama sikosei alietaifisha mali za Roma na kuanza kumiliki ardhi na kuipima alichukua maamuzi hayo ya kuidhinisha adhabu ya kifo japo kwa wakati huo walitumia shoka kutekeleza adhabu hiyo na alijifungia na kulia sana pindi alipoidhinisha ila pointing yangu hapa Anko Magu liombe bunge tubatilishe matumizi ya kitanzi na tutumie sindano kama USA na nchi zingine za Ulaya,wewe ni mtetezi wa haki za binadamu umemlilia sana Gadafi kipindi cha kampeni basi lililie na hilo mh.rais,

Nb:mh rais kuna msanii wa Mtwara ni mlemavu wa ngozi na kipofu alikuimbia wimbo mzuri wa chama uitwao ccm imetutoa mbali Akishirikiana na khadija Kopa sijawahi ona tungo nzuri kama ile ktk hotuba yako maarufu ya ntwara kuchele tungependa tumuone ni maarufu mkoni mtwara,japo ukuusikia ulikuwa hujafika bado,natumai ungemjaza manoti

Mh rais mstaafu Jakaya Kikwete na Benjamini Mkapa hawakunyonga pia.nadhani sababu ni kutokuiamini mahamama
 
Mkuu upo nyuma sana kuhusu masuala ya haki za binadamu. Bearing in mind that RIHGT TO LIFE is absolute that's why even the person you mentioned hereinabove in your thread is reluctant to implement the same. Capital punishment imepitwa na wakati hivyo hana budi kuitupilia mbali na kuikashia hiyo adhabu. Mbona katika makosa mengine mfano ubakaji (RAPE), mtu akibaka hatusemi nae abakwe? adhabu ambayo ita-reflect ule usemi wa jino kwa jino na hicho ulichokisema ha hapo juu.
 
siku akishika nchi mtu asie na hofu ya Mungu ndio mtashuhudia vitanzi vinapopata uhai!.. hao wanapata hofu ya kuhukumiwa na miungu yao.
 
Mamlaka ya duniani yanamwakilisha Muumba na sharti yAheshimiwe,ukisema tusitoke nje itakuwa sababu umewekewa nguvu duniani na mbinguni malaika wanajua,sababu umeapa,sasa Why uogope kuidhinisha kifo?

Sasa hapo tunapata Picha hauamini Vyombo vya mahakama huenda hubambika kesi watu hivyo ukanyonga wasio na hatia,

Lakini mbona kuna teknolojia imekuwa kuna DNA, finger print,satellite na kadhalika,kumbe kuna haja ya kupeleka polisi wetu nje kusomea tena wawe wengi ili uchunguzi uwe wa haki japo sina shaka na investigation yetu wapo makini sana ila msasa muhimu

Ukiangalia utawala wa king Henry wa 16 kama sikosei alietaifisha mali za Roma na kuanza kumiliki ardhi na kuipima alichukua maamuzi hayo ya kuidhinisha adhabu ya kifo japo kwa wakati huo walitumia shoka kutekeleza adhabu hiyo na alijifungia na kulia sana pindi alipoidhinisha ila pointing yangu hapa Anko Magu liombe bunge tubatilishe matumizi ya kitanzi na tutumie sindano kama USA na nchi zingine za Ulaya,wewe ni mtetezi wa haki za binadamu umemlilia sana Gadafi kipindi cha kampeni basi lililie na hilo mh.rais,

Nb:mh rais kuna msanii wa Mtwara ni mlemavu wa ngozi na kipofu alikuimbia wimbo mzuri wa chama uitwao ccm imetutoa mbali Akishirikiana na khadija Kopa sijawahi ona tungo nzuri kama ile ktk hotuba yako maarufu ya ntwara kuchele tungependa tumuone ni maarufu mkoni mtwara,japo ukuusikia ulikuwa hujafika bado,natumai ungemjaza manoti

Mh rais mstaafu Jakaya Kikwete na Benjamini Mkapa hawakunyonga pia.nadhani sababu ni kutokuiamini mahamama

Instagram:kaukwaju
Mkapa na kikwete walinyonga, kuna jamaa alikuwa mnyongaji kasimulia Sana jinsi alivyonyonga watu ktk tawala hizo.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom