Naomba kuuliza wataalam wenye uelewa wa kijeshi,inakuwaje Rada za nchi lengwa kwa Drones zinashindwa kugundua mashambulizi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya tusubiri mzeeIran miezi michache nyuma wali fanikiwa ku- intercept drone ya US.iliyosaiwa kufanya ujasusi kwa kuingia anga ya Iran.
Tusubiri hii silaha mpya(supersonic ballistic missile ) iliyozinduliwa juzi na Russia INA speed kuliko mwanga iwapo INA weza ika be detected na radar.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama itakuwa zaid ya speed ya mwanga ni hatari sna
Hahahah kweli ujinga ni ugonjwa...eti INA speed kuliko mwanga hahahahahahhahahhahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahIran miezi michache nyuma wali fanikiwa ku- intercept drone ya US.iliyosaiwa kufanya ujasusi kwa kuingia anga ya Iran.
Tusubiri hii silaha mpya(supersonic ballistic missile ) iliyozinduliwa juzi na Russia INA speed kuliko mwanga iwapo INA weza ika be detected na radar.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimemshangaa sana huyo jamaa anaesema speed zaidi ya mwanga, hivi anaijua 3×10^8 m/s au anatania uyo kiumbe. Em arudi viduduHahahah kweli ujinga ni ugonjwa...eti INA speed kuliko mwanga hahahahahahhahahhahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahah
Mwanangu wa darasa la 3 mwenyewe humdanganyi kitoto hivi
Nimemshangaa sana huyo jamaa anaesema speed zaidi ya mwanga, hivi anaijua 3×10^8 m/s au anatania uyo kiumbe. Em arudi vidudu
Distributed Denial-of-Service
Nimemshangaa sana huyo jamaa anaesema speed zaidi ya mwanga, hivi anaijua 3×10^8 m/s au anatania uyo kiumbe. Em arudi vidudu
Distributed Denial-of-Service
Hope ni zaidi ya sound sio light mana hiyo silaha ndani ya dk inapiga nyc
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii haina tofauti na zile drone zinazochukua matukio kwny maharusi.
Anataka kujua ni kwanini drone iliyomuua Gen. Qasem Soleimani haikuonekana kwenye rada za Iran.
Teknolojia inapogunduliwa kuna watu wao kazi yao ni kuiovertake hiyo Teknolojia.Kwa hiyo Teknolojia ya Anga ndio inafanya Rada kufeli.High speed drones pia uwezo wa rada unatakiwa kuwa up to date.Pia anae controll rada anaweza kupitiwa na Usingizi au K-vant inamuathiri.Pia Drone za sasa zina uwezo wa kupiga tokea mbali na rada na kufikisha target yao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda kapitiwa TU Ni zaidi ya sauti mkuuNimemshangaa sana huyo jamaa anaesema speed zaidi ya mwanga, hivi anaijua 3×10^8 m/s au anatania uyo kiumbe. Em arudi vidudu
Distributed Denial-of-Service
Mbio kuliko mwanga😲😲😲 ama hiyo ndio time machine??Iran miezi michache nyuma wali fanikiwa ku- intercept drone ya US.iliyosaiwa kufanya ujasusi kwa kuingia anga ya Iran.
Tusubiri hii silaha mpya(supersonic ballistic missile ) iliyozinduliwa juzi na Russia INA speed kuliko mwanga iwapo INA weza ika be detected na radar.
Sent using Jamii Forums mobile app