Je, Rada zinashindwaje kuziona Drones?

Teknolojia inapogunduliwa kuna watu wao kazi yao ni kuiovertake hiyo Teknolojia.Kwa hiyo Teknolojia ya Anga ndio inafanya Rada kufeli.High speed drones pia uwezo wa rada unatakiwa kuwa up to date.Pia anae controll rada anaweza kupitiwa na Usingizi au K-vant inamuathiri.Pia Drone za sasa zina uwezo wa kupiga tokea mbali na rada na kufikisha target yao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iran miezi michache nyuma wali fanikiwa ku- intercept drone ya US.iliyosaiwa kufanya ujasusi kwa kuingia anga ya Iran.

Tusubiri hii silaha mpya(supersonic ballistic missile ) iliyozinduliwa juzi na Russia INA speed kuliko mwanga iwapo INA weza ika be detected na radar.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahah kweli ujinga ni ugonjwa...eti INA speed kuliko mwanga hahahahahahhahahhahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahah
Mwanangu wa darasa la 3 mwenyewe humdanganyi kitoto hivi
 
Teknolojia inapogunduliwa kuna watu wao kazi yao ni kuiovertake hiyo Teknolojia.Kwa hiyo Teknolojia ya Anga ndio inafanya Rada kufeli.High speed drones pia uwezo wa rada unatakiwa kuwa up to date.Pia anae controll rada anaweza kupitiwa na Usingizi au K-vant inamuathiri.Pia Drone za sasa zina uwezo wa kupiga tokea mbali na rada na kufikisha target yao.

Sent using Jamii Forums mobile app

Umenena vema mkuu. All in all its based on technology so they need updates all the time
 
Iran miezi michache nyuma wali fanikiwa ku- intercept drone ya US.iliyosaiwa kufanya ujasusi kwa kuingia anga ya Iran.

Tusubiri hii silaha mpya(supersonic ballistic missile ) iliyozinduliwa juzi na Russia INA speed kuliko mwanga iwapo INA weza ika be detected na radar.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbio kuliko mwanga😲😲😲 ama hiyo ndio time machine??
 
Back
Top Bottom