Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,536
Kwa Tanzania juzijuzi kuna babu katangazwa kuwa ana miaka 120 ila tatizo hakuna vielelezo ndo tatizo la Watanzania na Afrika kwa ujumla kutotunza kumbukumbu mfano hata aliyebuni nembo ya Taifa eti hajulikani ni aibu.......
Najua vijijini kuna vikongwe kibao vimejaa tele ila havina vyeti vya kuzaliwa
Sasa leo nakuletea watu kumi ambao wanajulikana kutokana na Mungu kuwajalia kula chumvi nyingi a.k.a vikongwe/wazee
Yaani wazee 10 wa muda wote
Kuzeeka ni baraka....kuishi kwingi ni kuona mengi
Njia pekee ya mtu kuukwepa uzee ni kufa mapema akiwa kijana
............................................. .............................
10/Margaret Ann Neve
Bibi huyu Alizaliwa mnamo mwaka 1792
Alikuwa ndiye mwanamke mzee zaidi duniani hadi kipindi alipofariki
Umri wake ulithibitika pia kitaalamu kwa kutumia Medical technology
Huyu bibi alijaaliwa kuishi karne tatu yaani karne ya 18,19 na 20 na ndiye binadamu pekee aliyekuwa na kumbukumbu safi kabisa za mambo yaliyojiri karne ya 18,19 & 20
Alifariki mnamo mwaka 1903 akiwa na umri wa miaka 110 na siku 321
Nimemweka kutokana na sababu za hapo juu(kuishi karne 3)
Najua vijijini kuna vikongwe kibao vimejaa tele ila havina vyeti vya kuzaliwa
Sasa leo nakuletea watu kumi ambao wanajulikana kutokana na Mungu kuwajalia kula chumvi nyingi a.k.a vikongwe/wazee
Yaani wazee 10 wa muda wote
Kuzeeka ni baraka....kuishi kwingi ni kuona mengi
Njia pekee ya mtu kuukwepa uzee ni kufa mapema akiwa kijana
............................................. .............................
10/Margaret Ann Neve
Alikuwa ndiye mwanamke mzee zaidi duniani hadi kipindi alipofariki
Umri wake ulithibitika pia kitaalamu kwa kutumia Medical technology
Huyu bibi alijaaliwa kuishi karne tatu yaani karne ya 18,19 na 20 na ndiye binadamu pekee aliyekuwa na kumbukumbu safi kabisa za mambo yaliyojiri karne ya 18,19 & 20
Alifariki mnamo mwaka 1903 akiwa na umri wa miaka 110 na siku 321
Nimemweka kutokana na sababu za hapo juu(kuishi karne 3)