chagonjam
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 354
- 418
Nimefuatilia kwa ukaribu mwelekeo wa sera za Marekani hususan kuanza kuweka vikwazo kwa wanasiasa/viongozi wa Tanzania kutemebela nchi yao na kupiga marufuku WATZ kuomba green card kwa njia ya bahati nasibu.
kuna uwezekano mkubwa wa watu wengine kuendelea kuongezwa kwenye Orodha ya kuzuiwa kuingia Marekani. Wachambuzi wa mambo wanaona anayelengwa hapo ni Rais wetu mpendwa JPM.
Tukio la hivi karibuni la Zitto Kabwe kuwakuwadia mabeberu ili Benki ya Dunia isitoe mkopo wa masharti nafuu kwa Tanzania wa USD 500 Milioni na mjadala wa hoja bungeni iliyotolewa na Dr. Mollel. Hoja ni usaliti kwa nchi yetu na ukuwadi kwa mabeberu.
Sasa ona video hii ndiyo ujue kuwa wamarekani hawana wazo lolote la kutetea haki za binadamu isipokuwa maslahi yao tu.
kuna uwezekano mkubwa wa watu wengine kuendelea kuongezwa kwenye Orodha ya kuzuiwa kuingia Marekani. Wachambuzi wa mambo wanaona anayelengwa hapo ni Rais wetu mpendwa JPM.
Tukio la hivi karibuni la Zitto Kabwe kuwakuwadia mabeberu ili Benki ya Dunia isitoe mkopo wa masharti nafuu kwa Tanzania wa USD 500 Milioni na mjadala wa hoja bungeni iliyotolewa na Dr. Mollel. Hoja ni usaliti kwa nchi yetu na ukuwadi kwa mabeberu.
Sasa ona video hii ndiyo ujue kuwa wamarekani hawana wazo lolote la kutetea haki za binadamu isipokuwa maslahi yao tu.