Habari
hii ndoto imenitisha kidogo
usiku kuamkia Leo nimeota nimeua/nimekill jamaa ukimtizama ni ana bonge la bodi yaan mwili mkubwa then nikamkata kidole gumba nikakifukia mahali alafu mwili...
Habari Jf!
Baada ya kufanya tafiti ya miaka mingi sana takribani 20 kuhusu hii ndoto atimaye nikapata maana yake.
Kitendo cha kuota unang'oka meno,hiyo ni ndoto mbaya ambayo maana yake kwamba...
Kuna ndoto niliiota sijajuwa maana yake
Kunasiku niliiota nimepanda Basi nimeenda mbali na nyumbani huko nilikoenda ni wapi sijui
Nilipofika huko nikaanza maaisha lakini Cha ajabu nikipita...
Habari za masiku ma GT.
Is there life after death?
Hili ni swali ambalo pengine tumekuwa tukijiuliza lakini kwa bahati mbaya haujapata conclusion,hivyo naliweka javni hapa kwa GT ili kulichambua...
Sisi binadamu huwa tunapenda kutumia nguvu kwenye kila jambo, kitu ambacho hakitupi matokeo mazuri mara zote.
Lakini kupitia falsafa mbalimbali, tunajifunza hekima ambayo tukiweza kuitumia...
Habari za mchana wakuu!
Ni kweli dunia imekua ikishuhudia kuibuka kwa viruses tofauti tofauti ambao husababisha vifo vya watu wengi!
Now dunia nzima inatikiswa na ugonjwa wa Covid-19, sidhiaki...
Kusoma nyota ni kuangalia historià ya mtu na kesho yake
Ila wengine wameoneshwa makuu hivyo unaweza kuta mtu kaona Mwangà yaani Nuru sasa kwa ule mng'ao ukija kuuona lazima upofuke pale...
Kwanini baadhi ya watu walio hai hawawezi kuelea majini lakini mwili wa mtu aliyekufa huibuka na kuelea majini?
Ni nini faida yake katika Sanaa ya uchunguzi?
Wahusika wa matukio ya mauaji ya...
Swali langu siulizi kwa mazingira ya Tanzania tu, bali linaweza kuwa hata kwa nchi zingine.
Kuna tofauti gani, kimafunzo, kimbinu na kimajukumu kati ya Maafisa Usalama wa Taifa (IOs) kwa nchi...
ATCL acquires two aircraft
daily news; friday, december 29, 2006 @00:03
Air Tanzania Corporation Limited (ATCL) has leased two aircraft from Celtic corporation based in Canada. One of the...
Heshma kwenu wadau.
Nimekuwa nikijiuliza maswali meng ni kipi kilicho katika namba 40. Najiuliza hvo kwa kuwa inasadikiwa(sina uhakika) kuwa huwez kuwa rais wa tanzania hadi uwe na umri wa...
Mimi sio mganga wala mlokole, ni mtu wa kawaida ila ninao uwezo wa kuongea na mtu aliyekufa kabla hajazikwa na ni jambo la kawaida sana.
===========
Michango ya wadau
Mkuu sio uchawi ni elimu...
Hatari ya video - gushi kutokana na maendeleo ya kieletroniki yanaweza kutumiwa vibaya ili kuchafua haiba ya mtu anayeheshimika na jamii inayomzunguka.
Mfano wa Deepfake / Video - Gushi mtu...
UTANGULIZI
Wasalaam ndugu zangu,
Naomba watalaamu mnijuze hili swali linalonitatiza kwenye maisha yangu kila siku.
Kama binadamu tumetokea sehemu moja kwanini tuwe na utofauti mkubwa hasa kwenye...
Hivi kwanini watu weusi mnajidharau sana, hivi leo hii ukizaa mtoto wako na ukaanza kumfundisha mzungu ni bora kuliko wewe unamtengenezea future gani, wenda ungempa ujasiri angeweza kuitawala...
Ile Sayari ya Nibiru au Planet X ambayo wanasayansi duniani wamedai inaielekea dunia kwa kasi ya ajabu na huenda ikaipiga, habari mpya ni kwamba imekaribia lakini pia tukio la kupatwa kwa jua...
John Hugh Smyth-Pigott (1852–1927). Around 1890 Smyth-Pigott started leading meetings of the Agapemonite community and recruited 50 young female followers to supplement its aging population. He...
WARNING: This thread is highly Critical:
1. Eva aliongea na Shetani ana kwa ana, akatuletea tu Tunda...tukaonekana tumemsaliti Mungu wetu, Je, ni nani Msaliti halisi?
2. Ni wapi nitapata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.