Umuzukuru
JF-Expert Member
- May 30, 2019
- 624
- 561
Salam wakuu..
Ukifikiria kwa kina,ukawaza Kana kwamba unatoka katika ulimwengu tunaoishi...mwisho kabisa utakutana na kiza,Giza zito.japo ni mawazo lakini hutaweza kuendelea mbele zaidi(hebu na wewe jaribu...ni kweli?)
Chochote anachokifikiria mwanadamu kiuhalisia ni Cha kweli kabisa,kipo.... chochote kile
Kwasababu haiwezekani ufahamu wa mtu kuwaza kisichokuwepo..haiwezekani hata kidogo na Kama huamini maana yake unajipinga wewe mwenyewe!!
Mfano katika suala la uwepo wa viumbe waliopewa jina Kama Aliens...wapo!!wanaishi,je inawezekanaje akili ya mwanadamu kuwaza kitu kisichokuwepo???? Haiwezekani!!
Usiwe mvivu wa kufikiri(situkani,ni tahadhari tu).......karibu
Ukifikiria kwa kina,ukawaza Kana kwamba unatoka katika ulimwengu tunaoishi...mwisho kabisa utakutana na kiza,Giza zito.japo ni mawazo lakini hutaweza kuendelea mbele zaidi(hebu na wewe jaribu...ni kweli?)
Chochote anachokifikiria mwanadamu kiuhalisia ni Cha kweli kabisa,kipo.... chochote kile
Kwasababu haiwezekani ufahamu wa mtu kuwaza kisichokuwepo..haiwezekani hata kidogo na Kama huamini maana yake unajipinga wewe mwenyewe!!
Mfano katika suala la uwepo wa viumbe waliopewa jina Kama Aliens...wapo!!wanaishi,je inawezekanaje akili ya mwanadamu kuwaza kitu kisichokuwepo???? Haiwezekani!!
Usiwe mvivu wa kufikiri(situkani,ni tahadhari tu).......karibu