Wazungu waling'oa pua za sanamu za Misri ili kuficha ukweli kuwa chimbuko la ustaarabu duniani ni mtu mweusi.

Red Giant

JF-Expert Member
Mar 9, 2012
15,658
20,889
when-the-europeans-greeks-went-to-egypt-they-were-in-13163515.png
images-9.jpg
f1d5e4bdbc1db6ebf52e15393c8e5f46.jpg
images-8.jpg
 
Kama ustaarabu ulianzia kwa mtu mweusi imakuaje sasa hivi mtu mweupe anakimbiza kwenye vumbuzi mbalimbali huku mtu mweusi akiishia kwenye vita za wenyewe kwa wenyewe, ugomvi na madaraka, kuendekeza mitala, na uchawi (just to mention a few)
 
Kama ustaarabu ulianzia kwa mtu mweusi imakuaje sasa hivi mtu mweupe anakimbiza kwenye vumbuzi mbalimbali huku mtu mweusi akiishia kwenye vita za wenyewe kwa wenyewe, ugomvi na madaraka, kuendekeza mitala, na uchawi (just to mention a few)
Kuna kitu kinaitwa rise na kingine kinaitwa fall.

Mfano mdogo tu ili uweze kuelewa nakupa mfano wa huu.
Miaka ya zamani sana kilwa ulikuwa ndo mji maarufu zaidi hapa tanzania na afrika, mashariki kwa ujumla. Then baadae ikaja bagamoyo hii unaambiwa ilikuwa "dasaramu" kwa wakati huo hata ikulu ya nchi ilijengwa huko kabla ya kuhamishwa na kujengwa hapo ilipo sasa baadae ukaja mji mwingine mzizima. Kwa mlolongo huo unaweza kuona japo hyo miji ilikuwa mikubwa na maarufu kuzidi "dasaramu" lkn sasa si chochote wala lolote bali dasaramu ndo kila kitu. Kilwa ilifikia hatua ys kuwa na pesa yake.

Nadhani kwa mfano huu mdogo utakuwa umetambua.
Pia refer ustaarabu(maendeleo, teknolojia, uchumi nk) wa miji kama athens, roma, nk hlf linganisha na hawa waliokuja nyuma kabisa.
 
Pua zimeng'olewa na weusi wenyewe kwa sababu za kishirikina hao wazungu walichukua baadhi ya vipisi kucheck sample ya material yaliyotumika kutengeneza hizo statues
 
Kuna kitu kinaitwa rise na kingine kinaitwa fall.

Mfano mdogo tu ili uweze kuelewa nakupa mfano wa huu.
Miaka ya zamani sana kilwa ulikuwa ndo mji maarufu zaidi hapa tanzania na afrika, mashariki kwa ujumla. Then baadae ikaja bagamoyo hii unaambiwa ilikuwa "dasaramu" kwa wakati huo hata ikulu ya nchi ilijengwa huko kabla ya kuhamishwa na kujengwa hapo ilipo sasa baadae ukaja mji mwingine mzizima. Kwa mlolongo huo unaweza kuona japo hyo miji ilikuwa mikubwa na maarufu kuzidi "dasaramu" lkn sasa si chochote wala lolote bali dasaramu ndo kila kitu. Kilwa ilifikia hatua ys kuwa na pesa yake.

Nadhani kwa mfano huu mdogo utakuwa umetambua.
Pia refer ustaarabu(maendeleo, teknolojia, uchumi nk) wa miji kama athens, roma, nk hlf linganisha na hawa waliokuja nyuma kabisa.



Hivi Athens au Roma ya sasa inafanana fanana na Kilwa au Bagamoyo ya sasa????kwa kweli kuna tatizo kubwa kwa Africa tukubali tukatae ila tatizo lipo na litaendelea kuwepo..Zaidi ya yote hyo miji mikubwa ya Kilwa na Bagamoyo usemayo ina historia mbaya ukigusa suala la ubinadamu.
 
Ustaarabu gani mkuu huu wa kuuana kisa dini zilizoletwa na hao wazungu..?
au ule wa kila tukio tunaamini ni uchawi..?
au ule ujinga wa vita vya majimaji mbele ya chuma cha mzungu..?
au ule wa kubishana kuwa yesu ni mweusi..?

Tumekosa pa kuponea naona tunatafuta huruma isiyokuwepo!,kama ni ustaarabu basi ulikuwepo kwa asilimia chache mno tena maeneo baadhi.. Lkn yafaa nini kulilia ustaarabu kwa haya yaliyopo..?
 
Kama ustaarabu ulianzia kwa mtu mweusi imakuaje sasa hivi mtu mweupe anakimbiza kwenye vumbuzi mbalimbali huku mtu mweusi akiishia kwenye vita za wenyewe kwa wenyewe, ugomvi na madaraka, kuendekeza mitala, na uchawi (just to mention a few)
Mzungu ana ustaarabu gani?
 
Ustaarabu gani mkuu huu wa kuuana kisa dini zilizoletwa na hao wazungu..?
au ule wa kila tukio tunaamini ni uchawi..?
au ule ujinga wa vita vya majimaji mbele ya chuma cha mzungu..?
au ule wa kubishana kuwa yesu ni mweusi..?

Tumekosa pa kuponea naona tunatafuta huruma isiyokuwepo!,kama ni ustaarabu basi ulikuwepo kwa asilimia chache mno tena maeneo baadhi.. Lkn yafaa nini kulilia ustaarabu kwa haya yaliyopo..?
Ustaarabu gani mkuu huu wa kuuana kisa dini zilizoletwa na hao wazungu..?
au ule wa kila tukio tunaamini ni uchawi..?
au ule ujinga wa vita vya majimaji mbele ya chuma cha mzungu..?
au ule wa kubishana kuwa yesu ni mweusi..?

Tumekosa pa kuponea naona tunatafuta huruma isiyokuwepo!,kama ni ustaarabu basi ulikuwepo kwa asilimia chache mno tena maeneo baadhi.. Lkn yafaa nini kulilia ustaarabu kwa haya yaliyopo..?
Wa masri wa kale waligundua Geometry au hesabu za maumbo. Algebra. waliendelea sana kwenye kilimo cha umwagiliaji. Waligundua hesabu za sehemu. walikuwa wameendelea kwenye utengenezaji wa meli. Waliendelea kwenye teknolojia za ujenzi kama unavyoona mapyramid, majengo na minara. walijenga. waliendelea kwenye metallurgy na utengenezaji wa urembo wa metali.

Walioweka mfumo wa siku 365, saa 24 kwa siku, siki 30 kwa mwezi ni wamisri wa kale. neno paper limetokana na vifaa vya kuandikia vya wamisri wa kale. Ustaarabu huu ukaingia Ugiriki na kusambaa ulaya yote na dunia.
ustaarabu ni neno pana mkuu, haumaanishi kubrashi viatu na kwenda kanisani jumapili tu.
 
Kuna kitu kinaitwa rise na kingine kinaitwa fall.

Mfano mdogo tu ili uweze kuelewa nakupa mfano wa huu.
Miaka ya zamani sana kilwa ulikuwa ndo mji maarufu zaidi hapa tanzania na afrika, mashariki kwa ujumla. Then baadae ikaja bagamoyo hii unaambiwa ilikuwa "dasaramu" kwa wakati huo hata ikulu ya nchi ilijengwa huko kabla ya kuhamishwa na kujengwa hapo ilipo sasa baadae ukaja mji mwingine mzizima. Kwa mlolongo huo unaweza kuona japo hyo miji ilikuwa mikubwa na maarufu kuzidi "dasaramu" lkn sasa si chochote wala lolote bali dasaramu ndo kila kitu. Kilwa ilifikia hatua ys kuwa na pesa yake.

Nadhani kwa mfano huu mdogo utakuwa umetambua.
Pia refer ustaarabu(maendeleo, teknolojia, uchumi nk) wa miji kama athens, roma, nk hlf linganisha na hawa waliokuja nyuma kabisa.
Umeongea vema mkuu. kingine miaka 100 ma kidogo tu iliyopita Uingereza ilikuwa taifa la kwanza kwa uchumi na nguvu za kijeshi duniani. Leo hii wakubwa wakikaa kuongea mstakabali wa dunia Muingereza hana influence aliyokuwa nayo. kiuchumi yuko wa nyuma ya kina Us, jpn, china, India, Germany. Sasa mtu anafikiri ustaarabu wa Misri wa miaka 4000+ iliyopita bado utakuwepo.
 
Wa masri wa kale waligundua Geometry au hesabu za maumbo. Algebra. waliendelea sana kwenye kilimo cha umwagiliaji. Waligundua hesabu za sehemu. walikuwa wameendelea kwenye utengenezaji wa meli. Waliendelea kwenye teknolojia za ujenzi kama unavyoona mapyramid, majengo na minara. walijenga. waliendelea kwenye metallurgy na utengenezaji wa urembo wa metali.

Walioweka mfumo wa siku 365, saa 24 kwa siku, siki 30 kwa mwezi ni wamisri wa kale. neno paper limetokana na vifaa vya kuandikia vya wamisri wa kale. Ustaarabu huu ukaingia Ugiriki na kusambaa ulaya yote na dunia.
ustaarabu ni neno pana mkuu, haumaanishi kubrashi viatu na kwenda kanisani jumapili tu.
Mkuu umenigusa sana bahati mbaya humu JF wengi siyo Great Thinker hawatakuelewa kabisa! Hawajui kuwa wazungu walipoiteka Misri miaka hiyo ya nyuma waliwachukua wataalam wote waliokuwa kwenye majengo ya watemi na kuwalazimisha kuwafundisha utaalamu wao wote then baadae wakawauwa hivyo utaalamu wa mweusi ukakatika hapo na ukahamia kwa wazungu na kuanzia hapo mambo ya kiafrika yakawa yanaitwa primitive na baadae utumwa ukaanza. Lakini bado waafrika ni wabunifu sana angali mambo tunayoyaita uchawi lakini yakifanywa na mzungu tunayaita ni technolojia ya waafika uchawi. Wazungu wanauchukua huo unaoitwa uchawi na kwenda kuubadilisha jina na kuwa technolojia angalia TV ukienda Sumbawanga unawekewa maji kwenye bakuli au sahani unamuona mtu aliyeko Dar badala ya kuudharau ubunifu huo tungekaa tunauboresha ungeleta manufaa! Lakini wazungu wamekuja na TV tunashangilia kama mazuzu na kuwazarau wanaotengeneza ubunifu wao na tunawazarau kumbe tungewaunga mkono labda wangeendelea na ubunifu zaidi. Waafrika tubadirike wapo waafrika wenzetu ni wabunifu sana kuliko hata hao wazungu
 
Wa masri wa kale waligundua Geometry au hesabu za maumbo. Algebra. waliendelea sana kwenye kilimo cha umwagiliaji. Waligundua hesabu za sehemu. walikuwa wameendelea kwenye utengenezaji wa meli. Waliendelea kwenye teknolojia za ujenzi kama unavyoona mapyramid, majengo na minara. walijenga. waliendelea kwenye metallurgy na utengenezaji wa urembo wa metali.

Walioweka mfumo wa siku 365, saa 24 kwa siku, siki 30 kwa mwezi ni wamisri wa kale. neno paper limetokana na vifaa vya kuandikia vya wamisri wa kale. Ustaarabu huu ukaingia Ugiriki na kusambaa ulaya yote na dunia.
ustaarabu ni neno pana mkuu, haumaanishi kubrashi viatu na kwenda kanisani jumapili tu.


Mmmmhhhh.....................Wenzetu wanachanja mbuga sisi tunakomaa na historia....historia...historia...historia......hata huyu tuliyenaye atakuwa historia pia
 
Back
Top Bottom