Unadhani ni hatua ipi itakayo fuatia baina ya Marekani na Urusi kufuatia lundo la Migogoro

Baba Hassan

Member
Mar 25, 2020
13
16
Habari wana Jamii Intelligence inaomba tupate kuchambua hizo fikra hapo chini

KARIBUNI SANA

Unadhani ni hatua ipi itakayo fuatia baina ya Marekani na Urusi kufuatia lundo la Migogoro iliyopita na huu mgogoro wao unao endelea

Ikizingatiwa kwamba hapo awali palikuwapo na taarifa kuwa Urusi ilitumia mbinu zake kuwa hadaa wamarekani katika uchaguzi mkuu ulio pelekea Rais Donard Trump kuingia Madarakani

#Je_ni_Kweli kwamba Rais Donald Trump anafanya kazi akiwa Under Control chini ya vyombo vya Ulinzi na Usalama vya Marekani....?

#Je_ni_Huenda Rais Donald Trump ana Maslahi kwa nchi ya Urusi na kinacho fanyika nyuma ya pazia ni kuanzisha malumbano na migogoro huku wakiwa na maelewano yao kwa maslahi yao binafsi....?
FB_IMG_1585243675835.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna nchi inayoweza kuishinda marekan kijeshi na kiuchumi labda kuisumbua. Hzo zingine ni mbwembwe tuu, virusi vya korona vimedhihirisha hlo
 
Habari wana Jamii Intelligence inaomba tupate kuchambua hizo fikra hapo chini

KARIBUNI SANA

Unadhani ni hatua ipi itakayo fuatia baina ya Marekani na Urusi kufuatia lundo la Migogoro iliyopita na huu mgogoro wao unao endelea

Ikizingatiwa kwamba hapo awali palikuwapo na taarifa kuwa Urusi ilitumia mbinu zake kuwa hadaa wamarekani katika uchaguzi mkuu ulio pelekea Rais Donard Trump kuingia Madarakani

#Je_ni_Kweli kwamba Rais Donald Trump anafanya kazi akiwa Under Control chini ya vyombo vya Ulinzi na Usalama vya Marekani....?

#Je_ni_Huenda Rais Donald Trump ana Maslahi kwa nchi ya Urusi na kinacho fanyika nyuma ya pazia ni kuanzisha malumbano na migogoro huku wakiwa na maelewano yao kwa maslahi yao binafsi....?View attachment 1400168

Sent using Jamii Forums mobile app
Viongozi wa nchi hizi lazima wawe na msimamo au siasa inayoeleweka kuhusu nchi pinzani kila wakati na hata wananchi wanataka kujua msimamo wa rais wao kuhusu wapinzani wao. Hivyo kila anayeingia atakuwa na siasa zake hata kama haoni maslahi yake moja kwa moja.

Ila hofu ya kweli ya Marekani siku hizi sio Russia ni China kwani huyu ndio anakwenda kuwa superpower. China ni tishio kwa dunia nzima na ameharibu kabisa uchumi wa nchi zote za Ulaya na anaelekea kuwa bwana mkubwa kwenye nchi zote.

Marekani hata hivyo anachukua tahadhari kubwa sana kwa China kwani huwezi kushindana na China kama alivyofanya kwa Russia hawa jamaa ni wengi mno na wametapakaa duniani kote na wafanya manufacturing kubwa sana kwa bei rahisi mno hivyo kuwapa taabu kubwa sana Marekani na Ulaya.

Ulaya wameshajaribu kuiomba China iongeze bei ya bidhaa zake lakini wapi na huwezi kuwawekea vikwazo nao watakuwekea vya kwao na utaumia hivyo heshma imetawala hapo hata kwa wahafidhina wakubwa kama akina Trump.
 
Back
Top Bottom