The Grand Grimoire

The Grand Grimoire

Military Genius

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2019
Posts
761
Reaction score
1,469
IMG-20200402-WA0115.jpeg
IMG-20200402-WA0114.jpeg
IMG-20200402-WA0113.jpeg

Pichani ni Kitabu Kinachoitwa Grand Grimoire, Joka Jekundu au Injili ya Shetani. Kina Maombi ya Kumuita Shetani, Kumiliki Majini au Mali. Kanisa Katoliki Limewahi Kusema Kitabu Hiki Kipo Chini Yao na Halitaki Kiwafikie Watu. Kipo Tangu Karne ya 16.

Historia imeandika kuwa kitabu hiki kinaitwa Grand Grimoire, Red Dragon yaani joka jekundu au Gospel of Satan yaani Injili ya Shetani, inaelezwa kuwa kitabu hiki kiligunduliwa mwaka 1750 huko Yerusalemu Israel katika kaburi la Sulemani, kimeandikwa kwa lugha ya kiebrania na kispanyol.

Kitabu chenyewe kinadaiwa kuandikwa mwaka 1522 au nyuma zaidi, aliyekiandika anaitwa Antonio del Rabina kwa maagizo ya mfalme Sulemani, lakini kanisa katoliki limewahi kujitokeza na kusema kuwa lenyewe ndio lina umiliki wa kitabu hicho na halitaruhusu kukigawa kwa watu wapate kukisoma.

Lugha iliyoandikwa humo ni ya kueleweka kabisa, wataalamu wa mambo wanasema kuwa kitabu hicho kinapinga, kinasema kuwa mbinguni hakuna moto wala hakuna mateso yoyote, ni kitabu pekee chenye maarifa ya njia za kumwita shetani na kuwasiliana na na roho za giza kupitia sala zilizopo humo.

Humo pia kuna njia za kufanya ibada ya kuyaita mashetani yanayoitwa Puzuzu na mengine, na hata miujiza mbalimbali iliyoandikwa katika bibilia inadaiwa kupatikana katika kitabu hiki pia, na kuna njia za kufanya ibada maalumu.

Kitabu kimegawanyika katika sura mbili, sura ya kwanza inaitwa Secrum Regnum and Secrets, de L'Art Magique du Grand Grimoire, hapa kimelezea namna, Siri za namna ya kumrushia mtu pepo, siri ya uchawi NK.

Sura ya pili inaitwa Le Secret Magique où le Grand Art de Pouvoir parler aux Morts, hapa kinaelezea siri ya kuyaita mashetani na namna ya kufanya nayo maagano, kupata mali, kupendwa, kujifanya kama huonekani machoni pa watu NK.

Kitabu hiki kina uhusiano mkubwa na kanisa katoliki kama lenyewe lilivyowahi kudai, kuna picha nyingi za Yuda Iskariot pamoja na Yesu Kristo. Wanajimu wanasema kitabu hiki kimeandika kuwa kila kiongozi mkuu wa kanisa katoliki, PAPA kabla hajachaguliwa huwa mwanadamu, lakini akichaguliwa tuu humilikiwa na shetani.

kitabu hiki Version I cha kurasa 42 huko, maombi mengi dhidi ya shetani yapo humo, kuna kurasa nyingi ambazo kabla ya kusoma unapewa WARNING

HIKI APA KITABU


View attachment the-grand-grimoire-dark-lodge-version (1).pdf


@military_Genius
 
Nilishakisoma hiki kipo kwenye list ya PDF ZANGUView attachment 1406626

Lakini punde, akakwingilia Jack Chan shashaaa

Hahaha. Mkuu, mwanzoni kabisa mwa hiki kitabu kuna mahala mwandishi anatoa onyo kwamba usipokua makini msomaji unaweza ukapata “Total Confusion”. Umenitishia kwenye comment yako alipoingia Jack Chain ghafla! I hope, bado huko confused.
 

Pichani ni Kitabu Kinachoitwa Grand Grimoire, Joka Jekundu au Injili ya Shetani. Kina Maombi ya Kumuita Shetani, Kumiliki Majini au Mali. Kanisa Katoliki Limewahi Kusema Kitabu Hiki Kipo Chini Yao na Halitaki Kiwafikie Watu. Kipo Tangu Karne ya 16.

Historia imeandika kuwa kitabu hiki kinaitwa Grand Grimoire, Red Dragon yaani joka jekundu au Gospel of Satan yaani Injili ya Shetani, inaelezwa kuwa kitabu hiki kiligunduliwa mwaka 1750 huko Yerusalemu Israel katika kaburi la Sulemani, kimeandikwa kwa lugha ya kiebrania na kispanyol.

Kitabu chenyewe kinadaiwa kuandikwa mwaka 1522 au nyuma zaidi, aliyekiandika anaitwa Antonio del Rabina kwa maagizo ya mfalme Sulemani, lakini kanisa katoliki limewahi kujitokeza na kusema kuwa lenyewe ndio lina umiliki wa kitabu hicho na halitaruhusu kukigawa kwa watu wapate kukisoma.

Lugha iliyoandikwa humo ni ya kueleweka kabisa, wataalamu wa mambo wanasema kuwa kitabu hicho kinapinga, kinasema kuwa mbinguni hakuna moto wala hakuna mateso yoyote, ni kitabu pekee chenye maarifa ya njia za kumwita shetani na kuwasiliana na na roho za giza kupitia sala zilizopo humo.

Humo pia kuna njia za kufanya ibada ya kuyaita mashetani yanayoitwa Puzuzu na mengine, na hata miujiza mbalimbali iliyoandikwa katika bibilia inadaiwa kupatikana katika kitabu hiki pia, na kuna njia za kufanya ibada maalumu.

Kitabu kimegawanyika katika sura mbili, sura ya kwanza inaitwa Secrum Regnum and Secrets, de L'Art Magique du Grand Grimoire, hapa kimelezea namna, Siri za namna ya kumrushia mtu pepo, siri ya uchawi NK.

Sura ya pili inaitwa Le Secret Magique où le Grand Art de Pouvoir parler aux Morts, hapa kinaelezea siri ya kuyaita mashetani na namna ya kufanya nayo maagano, kupata mali, kupendwa, kujifanya kama huonekani machoni pa watu NK.

Kitabu hiki kina uhusiano mkubwa na kanisa katoliki kama lenyewe lilivyowahi kudai, kuna picha nyingi za Yuda Iskariot pamoja na Yesu Kristo. Wanajimu wanasema kitabu hiki kimeandika kuwa kila kiongozi mkuu wa kanisa katoliki, PAPA kabla hajachaguliwa huwa mwanadamu, lakini akichaguliwa tuu humilikiwa na shetani.

kitabu hiki Version I cha kurasa 42 huko, maombi mengi dhidi ya shetani yapo humo, kuna kurasa nyingi ambazo kabla ya kusoma unapewa WARNING

HIKI APA KITABU


View attachment 1406622


@military_Genius
nawezaje kukisoma chote??@
 
Hahaha. Mkuu, mwanzoni kabisa mwa hiki kitabu kuna mahala mwandishi anatoa onyo kwamba usipokua makini msomaji unaweza ukapata “Total Confusion”. Umenitishia kwenye comment yako alipoingia Jack Chain ghafla! I hope, bado huko confused.


@military_Genius
 
Hii ni tahadhari
IMG_20200402_155726_840.jpeg


Lakini punde, akakwingilia Jack Chan shashaaa
 
Back
Top Bottom