Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
Tuanzie na zongo kule Tanga, hii ni aina ya uchawi unaokaa kwenye macho..... Mwenye hili fataki la zongo akikuangalia tu tayari transmission inakuwa imefanyika... Ni mfumo fulani wa wireless...
92 Reactions
535 Replies
84K Views
Jamii intellegence naomba kujua ni nini asilia ya taifa la Israel?
1 Reactions
4 Replies
369 Views
https://www.instagram.com/reel/DMhiReEvsPa/?igsh=MWlmenBqbHVrbHd0cw== Tazama na sikiliza makala hii iliyotengenezwa miaka 15 iliyopita
1 Reactions
0 Replies
166 Views
Kuna stori kuwa Columbus alipokuwa anaondoka kisiwa fulani huko Amerika aliwaambia wenyeji wampe chakula cha safari. Wakagoma. Akasema mkigoma kesho nitafanya miujiza. Nitautia mwezi giza. Kweli...
7 Reactions
85 Replies
3K Views
Swali sio kwamba Kwanini watu wanaishi nauliza kwanini wewe Unaishi ? Dhumuni la swali ni kujaribu kueleweshana huenda watu tumesahau kwamba Binadamu tupo tofauti chema kwako ni kibaya kwa...
21 Reactions
30 Replies
4K Views
Katika historia ya mwanadamu, mifumo ya kiutawala imekuwa kama wimbi linalofika ukingoni na kurudi baharini, haikai mahali pamoja. Tulishuhudia ujima, tukazama kwenye ukabaila, tukakumbatia...
5 Reactions
12 Replies
878 Views
Binadamu kila kukicha tunazidi kupata mbinu za kuyakabili maisha.. Inafikia hatua ya kujigeuza miungu watu sasa.. Kwa kujipa uwezo wa kuwafufua binadamu waliokufa siku za nyuma, Ndugu zangu haswa...
9 Reactions
263 Replies
42K Views
AGE IS NOT IN OUR DNA 🧬 Aging is a mind control program. It is a lie that people die of old age because the "age" of our DNA in cells does not exist. Cells in the body are constantly renewed...
9 Reactions
64 Replies
3K Views
Here’s a truth most can’t stomach: The difference between intelligence and indoctrination isn't found in books, degrees, or how well someone can repeat what they’ve been taught. It's found in...
1 Reactions
3 Replies
466 Views
Mtaalam vs Mjuaji (Machino) (Chawa) Mtaalamu ni mtu mwenye ujuzi wa kitaalam katika eneo fulani, amepitia mafunzo rasmi, uzoefu wa kazi, au elimu ya kina. Mfano: mtaalamu wa afya, mtaalamu wa...
9 Reactions
32 Replies
1K Views
Wasomi na watumishi wa dini hizi mbili yaani (Uislamu na njia ya Kristu), naomba jibu ya swali langu hili dogo tu,. Kila linapotajwa jina la YESU au la MUHAMMAD Huwa mnaongezea na maneno tena kwa...
7 Reactions
118 Replies
4K Views
Ukisoma maandiko ya kale hata kupitia Vitabu vyetu vya kiimani ni kama utaona Dunia ya kitambo hicho ilikuwa nyuma sana ki teknolojia.Hawakuwa na mashine za kuwarahisishia kazi. Na ukifuatilia...
2 Reactions
12 Replies
612 Views
Sasa, unaweza kupata nakala za Kitabu changu cha "NYUMA YA ULIMWENGU WA SIRI NA UJASUSI". kitabu kina kurasa 442 na ndani yake kuna makala 17. Bei ya kitabu hiki ni Tsh 50,000/- Pia waweza kupata...
167 Reactions
734 Replies
146K Views
Kitabu hiking kinasimulia jinsi Wanajeshi wa Marekani walivyoingia kwenye mtego wa Wachina wakati wa vita ya Korea 1950-1953. Juni Mwaka 1950 NK iliivamia SK na kuteka kwa Kasi karibu nchi yote...
2 Reactions
2 Replies
323 Views
Charles Darwlin He proposed that humankind originated from man-like apes (first quote) in Africa and that humans are most allied to chimpanzees and gorillas (second quote). Further, Darwin seems...
4 Reactions
50 Replies
2K Views
Ndoto zinazofunua Adui zako wa siri. 1. Endapo kuna mtu unayemjua kukuwinda kwa Bunduki au kisu (When someone you know chasing you with a Gun or knife) ~Haijalishi mtu huyo unamahusiano gani...
3 Reactions
4 Replies
780 Views
Hichi kitendo cha kuwa anaya ponda baadhi ya makanisa wazi wazi akiwa kwenye hayo matamasha yake ina maana gani wakuu!? Kwamba yeye ndio anajua kanisa lipi la kweli na lipi la uongo mpaka ayaponde...
2 Reactions
46 Replies
2K Views
Jamani wanajamvi kuna jamaa alinialika kwenye group niseme la maombi amenialika siku nyingi niende leo nikaamua kwenda katika mambo aliyonihubiiria ni kama yafuatayo: 1.Ulazimishwaji wa kuwa...
1 Reactions
6 Replies
480 Views
Bila shaka mko salama waungwana... Kikawaida neno msingi na chanzo ni maneno mawili ambayo ukiangalia kwa jicho la kawaida ni kama yanafanana hivi lakini ni maneno yaliyo na utofauti mkubwa. Kwa...
16 Reactions
151 Replies
4K Views
Mtu mpaka anafikia kiwango cha kuitwa Jasusi , huyo sio mwenzako tena. Amini nakwambia .Anyway leo nakupa kisa kimoja hivi; Siku moja Kwenye moja ya mitaa ya jiji la Moscow, maafisa wa polisi...
37 Reactions
59 Replies
6K Views
Back
Top Bottom