chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 7,581
- 15,720
Kila siku kukicha wanasayansi wanazidi kugundua na kutambua nyota na sayari zilizopo zilizopo na mpaka kujua je mwisho wa hizo nyote ni wapi !.
Ilifikia upande kusema tukijumlisha vyote kwa hiyo mwisho tuna sema bing bang
Lakini sayansi ya anga inasema kuna uwezekano wa kuwa na sayari nyingi kuanzia 100-400 bilioni katika kwenye galaxy yetu
Je mamilioni ya galaxy yapo mangapi !
Je kwenye milky way zipo ngapi !
Baada ya hapo laniakea
Je nje ya lanieka kuna nini
Wanazengo tujadili
Ilifikia upande kusema tukijumlisha vyote kwa hiyo mwisho tuna sema bing bang
Lakini sayansi ya anga inasema kuna uwezekano wa kuwa na sayari nyingi kuanzia 100-400 bilioni katika kwenye galaxy yetu
Je mamilioni ya galaxy yapo mangapi !
Je kwenye milky way zipo ngapi !
Baada ya hapo laniakea
Je nje ya lanieka kuna nini
Wanazengo tujadili