Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

On JF:

Kuna nyuzi nyingi sana zimeanzishwa humu watu wakiomba msaada wa kusaidiwa kuondokana na tatizo la uume mdogo. Lakini hakuna hata msaada zaidi ya kukejeliwa na kuchekwa... Kuna walio na tatizo...
7 Reactions
69 Replies
18K Views
Jamani, nina umri wa miaka 21, nina tatizo la uume kusinyaa na kuwa kama wa mtoto mdogo, na hata wakati wa tendo kabla sijaingiza ukeni huwa unasinyaa na hata ukiingia bado unasinyaa...
6 Reactions
155 Replies
16K Views
Katika miaka ya hivi karibuni, tumezidi kushuhudia ongezeko kubwa la matatizo ya kiafya kwa watoto na vijana. Kuanzia mwaka 2000 hadi sasa, imekuwa kawaida kusikia watoto na vijana wakikumbwa na...
8 Reactions
27 Replies
1K Views
Wakuu Habarini/asalaam/Shalom Me ni kijana wa Miaka 25 Ila nipo kwenye mtihani ambao sijui nitatokaje Nimekuwa nikiteswa na tatizo la mkojo kwa kipindi kirefu sana zaidi ya miaka 10+ Nikienda...
12 Reactions
86 Replies
5K Views
Wajumbe naumwa sana na kiuno mimi ni kijana wa kiume wa miaka 25 nitumie dawa gani
0 Reactions
21 Replies
11K Views
Wapendwa salaam. Katika maongezi ya kawaida niliwahi msikia mtu akisema kuwa kikawaida shahawa zinapomwagwa ukeni hazitakiwi kushuka/kuchuruzika (kutoka ukeni). Lakini endapo mwanaume...
2 Reactions
28 Replies
82K Views
Nimejitahidi kuacha sukari na chumvi kwa kiasi fulani ila nimeingia kwenye uraibu wa tende. Kwa siku naweza kula 50. Meno yananiuma ila nikiziona tu roho inanianza. Nimeshindwa kuacha tende...
3 Reactions
12 Replies
672 Views
Hii imekaaje wakuu. Niko hapa hospital moja ubungo, makuburi kuna jamaa alikuja kupata huduma. Nilifanya kumsindikiza. Ila ninachokiona hapa halinivutii wala kunipa picha nzuri. Reception tu huyu...
5 Reactions
12 Replies
755 Views
Tahadhari: VAA BARAKOA KWA SABABU KIFO KIPO NDANI YA COVID-OMICRON MPYA: ⚠️ Tofauti inayoua 💀 lakini haionekani kirahisi 😱 ni: 🔥 Hakuna kikohozi 🗣️ 🔥 Hakuna homa 🌡️ 👉 Dalili zinazojitokeza mara...
4 Reactions
32 Replies
2K Views
Ufafanuzi wa Kisayansi: Utangulizi Katika maisha ya kila siku, tunazoea kuona mapacha wanaotoka kwa mama mmoja na baba mmoja. Lakini je, umewahi kusikia kuhusu mama aliyejifungua mapacha waliotoka...
0 Reactions
4 Replies
836 Views
Kutokana na ongezeko la magonjwa yasiyoambukiza nchini, Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), Profesa Mohamed Janab ametoa angalizo kuwa licha ya kuharibu bajeti ya afya...
3 Reactions
4 Replies
2K Views
✅ H. pylori Management:▶️ Indications for Testing→ Peptic ulcer disease (gastric or duodenal)→ Gastric MALT lymphoma→ Unexplained iron deficiency anemia→ Dyspepsia (age <60 with alarm symptoms or...
1 Reactions
1 Replies
305 Views
Habari za wakati huu. Nimeandaa video hii ili kuzungumza kwa kina juu ya matatizo yanayo sababishwa na allergies na njia mbalimbali zakutibu zikiwemo mitishamba...
0 Reactions
1 Replies
213 Views
Habar wakuu naomba mnichambulie juu ya hii renal function na urine,,Sasa ktk urine Kuna protein 1+,ila ktk maabala binafsi siku nyuma urine haikuonekana shida naambatanisha na majibu ya sehemu...
3 Reactions
26 Replies
1K Views
Habar wakuu,nimefika dar kwa tatizo la mtoto wangu miaka9 anashida ya mgongo kunyooka,nilileta kwenu mpaka vipimo vya x-ray mkashairi Nifike moi hasa hasa nionane na daktar bingwa wa mishipa ya...
6 Reactions
66 Replies
3K Views
Habari za wakati huu wana jamvi. Naomba kujua je mtoto huyu ana changamoto gani na ni nini tiba yake? Kuna mtoto wa mjomba wangu kwa sasa ana umri wa miaka miwili na nusu. Mtoto huyu tangu azaliwe...
0 Reactions
1 Replies
489 Views
Rejea kichwa cha habari, Mimi ni kijana wa Rika la miaka 38, nilianza kujitambua na wasiwasi kuanzia nipo sekondari, shida kubwa ni namna ya kuzungumza mbele za watu(wasiwasi unakuwa mkubwa)...
4 Reactions
35 Replies
2K Views
Wazima vijana wenzangu kwa wazee? Kutokana naukweli kwamba wanga si mzuri natujitaidi kuupiga vita... binafsi nimeona kabisa naelekea pabaya,mpaka nishibe basi ni unga robo tatu wa dona na kilo...
1 Reactions
18 Replies
1K Views
Leo ni siku ya hedhi salama,tusaidie kulinda binti zetu,wake zetu,dada zetu,mama zetu na shangazi zetu
3 Reactions
2 Replies
293 Views
Back
Top Bottom