Dong Jin
JF-Expert Member
- Jun 4, 2018
- 754
- 1,442
Kuna nyuzi nyingi sana zimeanzishwa humu watu wakiomba msaada wa kusaidiwa kuondokana na tatizo la uume mdogo. Lakini hakuna hata msaada zaidi ya kukejeliwa na kuchekwa...
Kuna walio na tatizo hilo toka wadogo na wengine kujikuta uume unasinyaa ukubwani... Watu wanasema apime ukiwa umesimama, nami nasema ukikiangalia kidole chako cha mwisho cha mkononi ndo urefu halisi wa hivyo vibamia vikiwa vimesimama imara
Sasa wenzetu wanavyoomba msaada tuwe tunawaelewa na kuwasaidia upatikanaji wa hizo dawa na si kumcheka au kukejeli
Basi wale wanaoweza kusaidia tiririkeni hapa watumie nini au kuna dawa gan inafaa zaidi?
Natumai tutawasaidia wenzetu
Kuna walio na tatizo hilo toka wadogo na wengine kujikuta uume unasinyaa ukubwani... Watu wanasema apime ukiwa umesimama, nami nasema ukikiangalia kidole chako cha mwisho cha mkononi ndo urefu halisi wa hivyo vibamia vikiwa vimesimama imara
Sasa wenzetu wanavyoomba msaada tuwe tunawaelewa na kuwasaidia upatikanaji wa hizo dawa na si kumcheka au kukejeli
Basi wale wanaoweza kusaidia tiririkeni hapa watumie nini au kuna dawa gan inafaa zaidi?
Natumai tutawasaidia wenzetu