Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

On JF:

Leo ni siku ya hedhi salama,tusaidie kulinda binti zetu,wake zetu,dada zetu,mama zetu na shangazi zetu
3 Reactions
2 Replies
293 Views
Kwa tafsiri isiyo rasmi toka kwangu. Faida wanazopata wanaume ambao hawajafanyiwa tohara Benefits enjoyed by males who are intact (not circumcised) 1. Full penis length and circumference. The...
3 Reactions
69 Replies
49K Views
Nahitaji nimepatwa na ugonjwa wa akili please kindly psychologists naomba msaada wenu wa haraka sana nitawalipa pesa yoyote Ile mnayohitaji tafadhalini jamani. Kuna muda napatwa na moods swing na...
10 Reactions
46 Replies
4K Views
Hii ni changamoto ya afya ya akili watu huita Kichaa (Mental health challenge) Mania ni changamoto ya afya ya akili ambayo mhusika huwa na dalili nyingi zikiwemo kuvaa mavazi ya kumelemeta ...
1 Reactions
4 Replies
426 Views
Una habari rangi ya mkojo ina meseji fulan kwako? Haya twende pamoja. 👇👇👇
3 Reactions
7 Replies
550 Views
Nilipata ajali iliyosababisha kuonekana katika CT scan inaonyesha zygomatic fracture. Tiba nazoambiwa na madaktari ni surgery lakini hospitali ya kwanza walisema mfupa utaunga wenyewe. Naomba...
0 Reactions
5 Replies
420 Views
Huu ugonjwa ulitikisa sana dunia lakin ni kama mwanga wa mshumaa ghafla hakuna anaye ukumbuka du! Nyakat zinabadilika
1 Reactions
9 Replies
366 Views
Habari zenu naomba muhisike na iyo mada apo juu kuna ndugu yangu ni wa kiume anajiskia hali ya kutapika lkn hatapiki ina inapomjia hali iyo huwa anajiskia vibaya pia anapata hali ya kichefchef...
4 Reactions
27 Replies
1K Views
Habarini Madaktari na wafamasia wa humu Jukwaa la Afya. Nina changamoto moja imejitokeza ni kama miezi 4 au 5 imepita. Kwanza nilipata muwasho mkali sana huku ukeni, kisha nikaja ona vipele...
22 Reactions
183 Replies
7K Views
I suggest hii dawa isiwe OTC, iwe tu under doctor's prescription. Kama ilivyo cocaine na bangi hii kitu ndivyo utaenda nayo hivyo hivyo maana inakufanya uhusi na kujionan kuwa hauwezi ishi bila...
9 Reactions
17 Replies
1K Views
Ilianza kama utani suala la kujikuna ndani ya uke. Ila hali ilizidi kuwa mbaya kwani ilikuwa kila nikiingiliwa basi napata maumivu sana na kuacha kufanya tendo. Nilienda kwa wataalamu wa afya...
14 Reactions
129 Replies
6K Views
MPANGO WA KUNYWA MAJI YA KUTOSHA MWAKA 2025 Heri ya Mwaka Mpya 2025 Wana Jf! Tukianza mwaka mpya wa 2025, kipaumbele nambari moja, kipindi chote cha mwaka kiwe afya zetu. Tufanye hivyo kwa...
5 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari zenu ndugu zangu nahitaji kujua, Hivi mkojo uliokaa zaidi ya masaa manne haufai kutumia kupima mimba? Maana mchumba angu amenipa kwa chupa nikapime, sasa kipimo kinasoma hivyo ndugu zangu.
1 Reactions
38 Replies
1K Views
Jamani naombeni msaada ni kwa mda mfupi nimekuwa nasumbuliwa na maumivu ya mgongo upande wa kulia tu mara nyingi uwa makali hasa wakati wa usiku ukilinganisha na mchana na hii Hali naipata...
2 Reactions
8 Replies
712 Views
Habari wapendwa Naomba kuuliza hivi bacteria h.pylori ni ngumu sana kuonekana kweny vipimo maan nilipima kama mara mbili hosp kunwa za private ikaonekana neg nimepima mpaka endoscopy kuangalia...
0 Reactions
10 Replies
758 Views
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu anasumbuliwa sana na koo na masikio kuwasha pia mwili kuwasha baada ya kuoga. Je tatizo linaweza kuwa ni nini!?
1 Reactions
6 Replies
729 Views
Habar wakuu, Nimekuwa na tatizo la kutopata choo. Nilikaa kama wiki sijapata choo nikaamua kutumia dawa za "Bisacodyl", zilisaidia nikaharisha sana. Lakini tangu hapo zimepita wiki mbili sijapata...
3 Reactions
1 Replies
388 Views
Habari wana jamiiforum, kwanza kabisa namshukuru mungu kwa kunipa afya njema hadi muda huu, natumai na ninyi ni wazima, kama ni mgonjwa mungu akupe nafuu uweze kupona. nimeamua kuchukua nafasi...
7 Reactions
5 Replies
4K Views
Mwanamke mwenye kundi lolote la damu ambalo ni negative (A-, B-, AB- na O-) akipata ujauzito kutoka kwa mwanamme mwenye kundi la damu ambalo ni positive (A+, B+, AB+ au O+) mwili wake unaweza...
12 Reactions
20 Replies
13K Views
Habari wana jamvi heshima kwenu, naomba kujuzwa dawa ya VISUNZUA ili kuviondoa utumie dawa gani? Karibuni mkuu MZIZI MKAVU na wengine.
5 Reactions
54 Replies
61K Views
Back
Top Bottom