Nataka niuache kabisa ugali na wali

Nataka niuache kabisa ugali na wali

litutumbwe

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2023
Posts
731
Reaction score
1,377
Wazima vijana wenzangu kwa wazee? Kutokana naukweli kwamba wanga si mzuri natujitaidi kuupiga vita... binafsi nimeona kabisa naelekea pabaya,mpaka nishibe basi ni unga robo tatu wa dona na kilo moja wa sembe,na nyama choma kilo moja unusu

Imagine apo naconsume starch kiasi gani kwa mwezi... nataka niache ugali,naomba nifahamishwe upi ni mbadala waugali?ila usiwe wali tafadhali,wali nao ni wanga na nataka niachane nao.

Toweni ilmu kwafaida yawengi... asanteni sana
 
IMG_20220713_230946.jpg
 
Anza kula mayai ya kuchemsha na supu ya maharage ya mbea yatie blue band na sles ya mkate ushushie na Mo energy na Panadol mbili

Fresh kabisa
 
Ki sayansi najua hii kila mtu anajua kwamba tunapaswa kula mlo uliyo kamili na mlo kamili ni ule ambao huwa na kila kitu ndani yake ukitaka wanga, protin, fat, na etc.

Ila huwa tunashindwa kutokana na sababu ambazo ziko kidogo na nje ya uwezo weru [emoji28]. Of course mwili unahitaji kila aina cha thaman ndani yake ili uweze kujengeka vzuri kwenye kila sekta.

Sometimes watu tunakuwa ni miili isiyokuwa na shape regular unakuta mtu anamwili ambao irregular hii yote ni kutokana na kuto kula vitu muhimu ndani yake ambavo vita mfanya kuwa na mwili mzuri.

Sasa basi kila chakula unachokula mwilini kina faida yake na kazi yake kwa wale ambao tuna simple knowledge tu ya biology ya o level nazani wanaelewa. Kuna topic kaza ivi tulizisoma nadhani pale kuanzia form 3 na 4.

Binadamu anahita kila aina ya virutubisho ndani yake mfano madini ya chumvi, vitamins, carbohydrates na n.k. si lazima ule mlo kamili ila unaweza kuji balance atleast kwa siku hule hata vitatu kwa mfano laba mayai, ugali na kisamvu kidogo na matunda juu.

Sisi mtu unakula chakula ambacho chote ni protein apo lazima utengeneze janga kwenye mwili. Ila matunda ni muhimu sana tena hususa mapalachichi na mapapai.

Kula vyema ndiko kunakufanya mwamaume kuwa na afya na nguvu nyingi za kiume sasa ww unakula chips kweli hzo nguvu unatoa wapi kula vitu kama magimbi, viazi, mihogo na matopetope bro utakuja kunishukuru

Na pia hata kwa wanawake ni hivohivo kula vitu ambavo vita kufanya hizo sehemu zako nyeti kuto kukauka mara kwa mara, ule vitu ambavo vinatengeneza utelezi ndani ya hizo sehemu nyeti za mwili wako, jipatie bamia, fenesi, nyanya ili yo bichi unaitafuna, kula kitungu maji bila kukipika mtakuja kunishukuru hapahapa.

Ndo maana hawa wauza dawa hzi sijui za forever kitu kama hiko, hzo dawa zao ni mchanganyiko tu wa hiz vyakula tunavyo kula ndo maana unakuta bei kwasababu vinagharamiwa sana. Ili kuepekana na hzo gharama kwa nn ww usifanye mwenyewe.

#KNOWLEDGE [emoji817]
 
Mkuu Kwa faida ya wengi..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ki sayansi najua hii kila mtu anajua kwamba tunapaswa kula mlo uliyo kamili na mlo kamili ni ule ambao huwa na kila kitu ndani yake ukitaka wanga, protin, fat, na etc.

Ila huwa tunashindwa kutokana na sababu ambazo ziko kidogo na nje ya uwezo weru [emoji28]. Of course mwili unahitaji kila aina cha thaman ndani yake ili uweze kujengeka vzuri kwenye kila sekta.

Sometimes watu tunakuwa ni miili isiyokuwa na shape regular unakuta mtu anamwili ambao irregular hii yote ni kutokana na kuto kula vitu muhimu ndani yake ambavo vita mfanya kuwa na mwili mzuri.

Sasa basi kila chakula unachokula mwilini kina faida yake na kazi yake kwa wale ambao tuna simple knowledge tu ya biology ya o level nazani wanaelewa. Kuna topic kaza ivi tulizisoma nadhani pale kuanzia form 3 na 4.

Binadamu anahita kila aina ya virutubisho ndani yake mfano madini ya chumvi, vitamins, carbohydrates na n.k. si lazima ule mlo kamili ila unaweza kuji balance atleast kwa siku hule hata vitatu kwa mfano laba mayai, ugali na kisamvu kidogo na matunda juu.

Sisi mtu unakula chakula ambacho chote ni protein apo lazima utengeneze janga kwenye mwili. Ila matunda ni muhimu sana tena hususa mapalachichi na mapapai.

Kula vyema ndiko kunakufanya mwamaume kuwa na afya na nguvu nyingi za kiume sasa ww unakula chips kweli hzo nguvu unatoa wapi kula vitu kama magimbi, viazi, mihogo na matopetope bro utakuja kunishukuru

Na pia hata kwa wanawake ni hivohivo kula vitu ambavo vita kufanya hizo sehemu zako nyeti kuto kukauka mara kwa mara, ule vitu ambavo vinatengeneza utelezi ndani ya hizo sehemu nyeti za mwili wako, jipatie bamia, fenesi, nyanya ili yo bichi unaitafuna, kula kitungu maji bila kukipika mtakuja kunishukuru hapahapa.

Ndo maana hawa wauza dawa hzi sijui za forever kitu kama hiko, hzo dawa zao ni mchanganyiko tu wa hiz vyakula tunavyo kula ndo maana unakuta bei kwasababu vinagharamiwa sana. Ili kuepekana na hzo gharama kwa nn ww usifanye mwenyewe.

#KNOWLEDGE [emoji817]
Nondo hiyo apo, kazi kwenu
 
Mkuu mlo kamili unahitaji pesa, ukiwa na mke wako gunia la mahindi linatoboa mwaka, wakati hiyo pesa ukisema ule protini wiki tu inaisha

Kikubwa tupumue tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
mm sio mtaalam wa afya ila nazan usiache kabisa wanga ila punguza kiwango na upate mchanganyiko wa vyakula vingine kwenye mazingira yanayokuzunguka mfano maharagwe, samaki, mbogamboga, dagaa, matunda na uushughulishe mwili usikae tu.

mwili unahitaji huo wanga pia ila usizidi.

Tatizo kubwa tunakaa sana bila kushughulisha mwili, kula vyakula vilevile kila leo, ulaji sana wa machipsi na kutokula matunda na mbogamboga.

huna haja ya kuingia gharama kubwa kwa vitu hivi. cha msingi wew tumia vile vilivyokuzunguka ktk mazingira uliyopo. kila lakheri.
 
Wazima vijana wenzangu kwa wazee? Kutokana naukweli kwamba wanga si mzuri natujitaidi kuupiga vita... binafsi nimeona kabisa naelekea pabaya,mpaka nishibe basi ni unga robo tatu wa dona na kilo moja wa sembe,na nyama choma kilo moja unusu

Imagine apo naconsume starch kiasi gani kwa mwezi... nataka niache ugali,naomba nifahamishwe upi ni mbadala waugali?ila usiwe wali tafadhali,wali nao ni wanga na nataka niachane nao.

Toweni ilmu kwafaida yawengi... asanteni sana
Ulifanikiwa mkuu?
 
Back
Top Bottom