Wavulana wengi wamekuwa wakiathirika sana na tatizo hili la kujichua, hasa wanapokuwa katika shule na vyuo, mchezo huu wa kujichua wamekuwa wakiutumia sana.
Sababu kuu inayopelekea kujichua ni...
Wakuu
Jana nimekutana na dem yupo bleed,
Maswali
1. Je naweza kupata risk gani kwa zile damu zake ?
2. Anaweza kupata mimba akiwa kwenye hali ya ku bleed?
3. Vipi kuhusu possibility ya kupata...
Audio:
UKIMWI: Hali na Tahadhari
Chanzo: Aise wakuu UKIMWI ni noma
Habari Wakuu.
Juzi nilienda Ubungo maji kumsalimia rafiki yangu alikuwa anaumwa. Kwakuwa nilienda mida mibovu na story...
ULTRASOUND NI NINI ? :
Imeandaliwa na:
Hillary Francis Ndeng'aso
| Radiology Technologist | Mtaalamu wa Mionzi | Health Educator |
Elimu muhimu kuhusu Ultrasound teknolojia salama na isiyo na...
Habar wakuu nauliza.. je Kuna madhara yoyote kwa mtoto wa miaka9 kufanya x ray ya mgongo mara mbili ndani ya siku mbili katika hospital tofaut kama mzazi unataka kuhakikisha maradhi ya mtoto...
Wakuu habari!,nimehamia makazi mapya huku mbezi, lkn toka niingie kwenye hii nyumba tabu tupu, karibu kila Siku lazima tuue tandu.
Msaada wenu wadau kwa ajili ya tahadhari. Nasikia mdudu tandu...
Wadau:
Kila siku asubuhi nikiamka mgegedo wangu huwa unasimama hadi unakuwa mgumu sana halafu unauma sana, Hali hiyo hudumu kwa takribani dakika arobaini hivi halafu inaondoka, dawa Yake ni...
Ni ulemavu unaotokana na mabadiliko ya vinasaba (DNA code) ambapo baadhi ya code au nitrogenous bases zinaundoshwa na kuwekwa zingine hii kwa ulibinism husababishwa na vichocheo kushidwa kusapot...
Mwayo ni tendo la kufungua mdomo kwa mapana na kuvuta pumzi ndefu polepole, mara nyingi likifuatwa na kutoa sauti ya kawaida. Ni tendo la hiari au lisilo la hiari ambalo hutokea kwa watu na hata...
Hello wanajukwaa, nimekuja ndugu yenu ninahitaji msaada wenu.
Mume wangu anasumbuliwa na vidonda vya tumbo kwa miaka sasa na ameshatumia dawa za kila aina. Changamoto ya sasa anasema anapata...
Chafya ni mfumo wa ulinzi wa mwili kusaidia kuweka njia ya hewa safi.
Tunapiga chafya kwa sababu mwili unajaribu kuondoa vitu visivyotakiwa kwenye pua au njia ya hewa, kama vile:
1. Vumbi...
Wakuu habari ya wakati huu.
Naombeni ushauri au anayejua tiba ya uume kusinyaa kabla ya tendo la ndoa. Limekuwa tatizo ambalo linanipa mawazo sana.
Msaada tafadhali
Ni mda sasa wa mwezi 1 yangu tatizo hili linikute nashindwa kabisa kupata hisia Wala kusimamisha uume pale tu ntapoitaji kushiliki tendo.
Nimekuja kugundua kuwa ni hofu nilionayo Moyon mwng ndo...
Wakuu habari za leo,
Huku tukiendelea kupambana na maisha tukumbuke kuacha kizazi chenye akili sawa sawa! Ubongo ndo kila kitu jamani kwenye maisha ya kiumbe japo vingine havina ubongo lakini...
Habari zenu tafadhali husika na hiyo mada, hofu imenitawala sana kiasi ambacho hata usingizi wangu unakuwa wa tabu sana ikitokea nimeshtuka saa 7 usiku nahangaika sana kupata usingizi naomba...
Habari Wana JF natumaini muwazima
Nyuma ya skio kunakuaga na kitu kama kiarage(tezi ya limfu) Jana katika kukaa nilikuta kimevimba na kabla ya hapo juu ya skio nywele zinapoishia nilipata uvimbe...
Habari za kazi wapendwa!
Bila kupoteza muda, naomba msaada wa kujulishwa visababishi vya tatizo la gas tumboni kwa mama mjamzito. (Mimba bado changa - chini ya mwezi mmoja).
Je, tatizo hili...
(Elimu ya Afya – Genesis: Ijue Afya Yako Leo)
Moyo ni injini muhimu ya mwili wetu. Lakini je, unajua nini hutokea injini hii inaposhindwa kufanya kazi vizuri?
Hapa tunazungumzia Heart Failure...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.