Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

On JF:

Nauliza kwamba h. pylori inampataje mtu ambaye anajilinda sana kwenye chakula n.k.? Mtu anayekula kwa wakati kwa mfano usiku anakula kabla ya saa mbili, hatumii sukari (anatumia sukari mbadala...
1 Reactions
12 Replies
923 Views
Dalili hizi, zinazojulikana kitaalamu kama kikohozi sugu , maumivu ya kifua, dyspnea (shida ya kupumua), na uchovu wa kudumu, zinaweza kuashiria magonjwa mbalimbali yanayoathiri mfumo wa upumuaji...
0 Reactions
1 Replies
657 Views
Habari Wana jamii health Mwenzi uliopita nilikutana nawanamke kimwili nabaada ya 4day nilijihisi nina dalili za urinary infection nakuamua kwenda kupima nae. Majibu kwa upandewake yalikua 100 na...
0 Reactions
5 Replies
457 Views
Kwa kawaida, mzunguko wa hedhi kwa mwanamke huwa siku 28, kuanzia siku ya kwanza ya hedhi hadi siku ya kwanza ya hedhi inayofuata. Lakini ukweli ni kwamba, mzunguko hutofautiana kati ya mwanamke...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Akili Bandia (AI) imekuwa gumzo kubwa duniani kote, na si ajabu. Uwezo wake wa kuiga akili ya binadamu unaanza kubadilisha jinsi tunavyoishi na kufanya kazi, hasa katika sekta muhimu kama afya. Ni...
1 Reactions
0 Replies
506 Views
Leo tupeane uzoefu kidogo kwa wanatumia tiba mbadala kama za wamasai, wachina, wakorea na makampuni mbalimbali kama BF suma. Naona zinauzwa sana Kariakoo dawa asili za kutibu kisukari, pressure...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Ndugu zangu napiga namba +255282500513 ambazo zipo kwenye website ya Bugando Hospital sipati msaada haipokelei. Lengo niende kutibiwa wiki ijayo. Sasa nataka kujua siku ambayo unafika na kumuona...
1 Reactions
13 Replies
787 Views
Naandika hii thread nikiwa nimejiweka karantini, ukiona vipele havieleweki sehemu yoyote ya mwili hasa sehemu za siri nenda haraka hospitali. Vipele vinakuwa kama vina shimo katikati, pembeni ni...
6 Reactions
23 Replies
1K Views
Habari ya uzima wakuu ! Naomba msaada wa haraka, kwa ajili ya ndugu yangu, sawa kichwa cha habari hapo juu. Ndugu yangu, amepatwa na changamoto kubwa ya ugonjwa wa kisukari, unaombatana na...
4 Reactions
38 Replies
1K Views
Hutakaa usikie wakikwambia bamia ni dawa ya vidonda vya tumbo.. hutokaa usikie tumia unga wa ubuyu na asali utapona vidonda vya tumbo.. Hawasemi kabisa mzizi flani ukiutafuna unapona tatizo...
10 Reactions
42 Replies
2K Views
Wakuu habari.. Mtoto wangu alikuwa na changamoto ya kuchelewa kulia tangu alipozaliwa 2022 July, baada ya hapo akawa anapata degedege tukawa tumepeleka kwenye vipimo hospital ya Benjamin Dodoma...
8 Reactions
74 Replies
3K Views
Kuna maradhi Degedege na Kifafa, huwa yanawaingiza Watoto na watu wazima katika hatari, yakionekana kwa sura tofauti, kulingana na hali ya mgonjwa. Kuna kundi la wanajamii wanaunganisha na...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Ndugu,jamaa na marafiki habarini za wakati huu. Naomba mawazo,ushauri kupitia mada hii ya walio athirika kwa kufanya mapenzi kinyume na maumbile. Kama mnavyo fahamu wako baadhi ya watanzania...
1 Reactions
9 Replies
22K Views
Wakuu nipeni update vidonda vya tumbo vinauwaje?? mi sijui mechanism Au kama kuna evidence za watu kufa Na kama kuna Mtu alishawai pona completely
4 Reactions
46 Replies
1K Views
Natural, organic skin care remedies can replace most of the cosmetic and pharmaceuticals skin care products we buy and do a better job of protecting and healing skin. The skin is the largest organ...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Maelezo haya yameegemea katika upande wa nadhari ya HIV/AIDS kwamba ni nadharia ambayo ni ya uongo/utapeli. Maelezo haya hayatolewi kama ushauri au maelekezo ya kitabibu. Mleta maelezo haya...
9 Reactions
143 Replies
33K Views
Naomba wataalamu wanisomee majibu eti ni nini hicho
2 Reactions
5 Replies
474 Views
‘’Kwa mwanaume, kulazimisha kukojoa wakati hana haja ya mkojo husababisha hali inayofanana na hisia zinazotokea wakati wa kumwaga manii." Nambari za simu +255742069695
0 Reactions
1 Replies
290 Views
Habari zenu wana JF, samahani sana kwa usumbufu kama vile tujuavyo misemo ya wahenga kuwa mficha uchi hazai. Since mwezi wa nne nasumbuliwa na hili tatizo nimetumia dawa nyingi sana ant fungus...
6 Reactions
697 Replies
276K Views
Kunywa juice ya mkaa (hasa mkaa wa miti au activated charcoal) ni jambo ambalo limekuwa likifanywa na watu kwa sababu za kiafya, lakini linaweza kuwa na faida na madhara, kulingana na namna...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Back
Top Bottom