Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

On JF:

Ni mwanamke mtu mzima 43 years. Alipata miscarriage 3. Akawa hapati tena ujauzito. Sasa amepata tena ila dalili sio njema. Kuna vipunje vya damu ameviona akijisaidia kama mara mbili. Gino...
2 Reactions
36 Replies
618 Views
Kutokea uzoefu wa elimu ya mimea tiba na uhusiano wake na elimu ya viungo vya mwili vilipo(Anatomy) na elimu ya mwili unavofanya kazi (Physiology), Huu ni muunganiko wa maarifa mengi yaliyo katika...
1 Reactions
3 Replies
219 Views
No wonder this grass went viral all over the social media. With its endless health benefits, it is truly God’s gift to mankind. We can find this weed almost everywhere throughout the Philippines...
82 Reactions
2K Replies
365K Views
Hii kitu iko. Au unakuta Mwanamke anamchukia Baba Kijacho au kumchukia/Kumpenda Mtu mwingine. Au kupenda na kuchukia vitu. Hii inaweza kuelezeka , kwasababu ya Hormonal changes. Ila sasa, Je...
3 Reactions
47 Replies
603 Views
CONSTPATION NI NINI ? Hili ni Tatizo la kutopata Kwa Muda Mrefu au" Kupata Mara Chache Lakini Kwa Shida Sana na Nguvu Kubwa huwa inatumika Katika Kuhakikisha Walau hicho Kidogo Kinatoka , Kwa...
0 Reactions
0 Replies
70 Views
Anonymous
Zahanati ya Kijiji Cha Ndomondo, Kata ya Ndomoni, Wilaya ya Nachingwea tunateseka na huduma za afya kwa Watumiaji wa Bima (NHIF), Mganga Mkuu anawatoza ‘cash’ wagonjwa wenye Bima ili wapate huduma...
1 Reactions
2 Replies
85 Views
Uliumwa ugonjwa gani mpaka ukaamua kupima HIV. Je ulikutwa nao au.wasiwasi wako tu.
3 Reactions
20 Replies
377 Views
Jana nilifika pale hospital ya muhimbili kitengo cha tiba asili nikanunua hiyo dawa ya vidonda vya tumbo, kwa maelezo ya Dr natakiwa kunywa chupa 15 mpaka 20 , nilinunua chupa 5 za kuanzia Kwahiyo...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Naombeni ushauri wenu wa mawazo wakuu mara kadhaa nimekuja humu kuomba ushauri na msaada kwa yeyote anaejua dawa ya kutibu vidonda vya tumbo lakini haikusaidia dawa nilitumia mno Ila...
1 Reactions
20 Replies
284 Views
Anonymous
Fedha za basket fund ambazo huwa zinaingizwa kwenye vituo vya kutolea huduma za Afya kila baada ya robo mwaka haijaingia tangu mwezi disemba 2025. Hii imepelekea changamoto ya uendeshaji wa vituo...
0 Reactions
7 Replies
170 Views
Je mwanamke akiwa na mimba hedhi inaweza kuendela kutoka?au imekaaje wakuu,naomba ufafanuzi Kwa madakitari na mtu yoyote mwenye uelewa humu JF
0 Reactions
7 Replies
135 Views
Anonymous
Katika Kituo cha Afya Nyarugusu, Geita Vijijini, kuna muuguzi na mtaalamu wa usingizi anayeitwa Fredrik Lugay ambaye anadaiwa kufanya upasuaji kwa wajawazito na wagonjwa wengine, huku akitoza...
3 Reactions
4 Replies
518 Views
Gout/Jongo ni ugonjwa sungu wa jamii ya YABISI ambao umefahamika kwa miaka mingi sana. Inasadikika kuwa watu wa kwanza kuutambua ugonjwa huu walikuwa watu wa Misri, kunako miaka ya 2640BC...
0 Reactions
1 Replies
165 Views
Wasaalam Kuna rafiki yangu alipata ujauzito wakati bado hajajigundua, mume wake ilikuwa kila asubuhi anatapika njano, na homa za hapa na pale na kila alipoenda hospital Ugonjwa haukuonekana...
6 Reactions
69 Replies
43K Views
FAIDA KUU TATU ZA SIGARA AMINI USIAMINI 1. Mvuta sigara hazeeki 2. Mvuta sigara haumwi na mbwa 3. Mvuta sigara nyumbani kwake haingii mwizi UFAFANUZI """""""""""''""" ●. Hazeeki kwa sababu hufa...
15 Reactions
27 Replies
618 Views
Habari I??? Kichwa Cha habari kisemavyo.Je ulitumia dawa gani kupona fangasi za kwenye korodani?
7 Reactions
83 Replies
1K Views
Kwa uzoefu wa zaidi ya miaka 10 kwenye eneo la Anatomy, Fiziolojia na Mimea tiba nilojifunza maeneo tofauti kuanzia Guangzhou, Dubai , MUHAS (Muhimbili kitengo cha tiba asili) na tafiti kwa...
0 Reactions
2 Replies
95 Views
Anaandika, Robert Heriel Kuhani katika Hekalu Jeusi. Angalizo: Andiko hili linawahusu watu wote wenye umri kuanzia miaka 18 waliyokwenye ndoa. Iwe ndoa ya kimila, kidini au kiserikali...
37 Reactions
108 Replies
21K Views
GLP-TZ is an investigational peptide compound being studied for its potential role in weight management, blood sugar regulation, and metabolic health. GLP-TZ is generally described as a GLP-1...
1 Reactions
1 Replies
99 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…