Wanawake na wanaume maana siku hizi hata wanaume nao wanasuka rasta kuna jambo muhimu sana la kulifahamu na kujifunza zaidi!
Afya ni moja ya mtaji mkubwa sana katika maisha yetu ya kila siku bila...
Wengi wamekuwa wakiuliza juu ya ugonjwa huu; mjadala huu tunajadili kwa undani juu ya maradhi haya:
=========
UFAFANUZI WA KINA WA UGONJWA HUU
Ugonjwa kwa kitaalamu vinaitwa human papillom virus...
Habari Wana JF
Haponyuma nilileta tatizo la kuumwa na kiuno Hadi miguu kuwaka moto.
Mrejesho :Nilienda hospital nikafanyiwa x Ray nakuonesha niposawa ikabidi wanipeleke kwenye MRI ambapo majibu...
Hello wanaJF.
Mimi na mke wangu tumetafuta mtoto Kwa mwaka mzima sasa bila mafanikio. Juzi nikaenda hospitali na kufanya vipimo vifuatavyo ...
1. Sperm/Semen Analysis:
2. Testosterone:
3...
Habari Wana JF siku tatu nyuma nilileta thread ya kulala na muathirika.
Watu wengi walinishauri nikapime na wengine walinishauri nianze kuchimba kaburi,
Kwa siku ya Juzi nilifanya dhiara kwenye...
Habar wakuu huwa napima ECG na majibu huwa yanabadilika ndani ya miaka3 tangu 2023 ilianza sinus rhythm with left ventricula hypertroph ,ikaja sinus bradycardia na hii yawezi huu majibu sinus...
Huwa nachanganyikiwa kwa kweli. Maana utakuta unaambiwa unatakiwa kutafuna asubuhi kabla ya kula. Huku wengine wakisema hata kama umekula ni sahihi.
Je , upi ni wakati sahihi?
Habari Wana JF
Wiki mbili zilizopita nilikutana na dada mmoja jirani yangu tukabadilishana mawasiliano
Baada ya mawasiliano Yakama siku mbili alipafahamu kwangu na akaja kunitembelea .
Kutokana...
Wakuu heshima yenu
Kwa anayejua sehemu nzuri ya kufanyia masaji ya low back kwenye mgongo na miguu misuli inakaza sana kwa hapa Dar penye gharama nafuu naomba kuelekezwa mambo ya kuenda muhimbili...
Jamani msaada mti gani unaweza kupambana na hawa wadudu, wanao sababisha homa ya tumbo ??
Kama kuna muhanga aliyetumia mti fulani ukamsaidia Tunaomba taarifa.
Wakuu, kwanza sitaki kusema kwamba kutumia Dawa ni jambo baya ni jambo zuri sana ila unapotumia Dawa hakikisha unatumia km ulivyoelekezwa na Mtoa Huduma ya Afya.
Kisa changu ni hiki:
Siku hio...
Wakuu,
Kuna dawa nilitumia mafua yakakata ndani ya masaa kadhaa tu japo pua ilikuwa kama inaungua. Niliuziwa Mbeya mtu alikuwa anapita nazo tu hotelini.
Hii dawa naitafuta tena kwa yeyote anajua...
Naomba msaada wanajf wenzangu,
Nina tatizo la tumbo kujaa gesi pamoja na kuunguruma, maumivu ya tumbo kuzunguka kiuno, shingo kuuma na hata maumivu ya mgongo, kuna nyakati hata kichwa huwa...
Habari wakuu,
Kimsingi, kuna nguvu ya asili inayoumba uwepo wa uhai duniani. Kati ya nguvu nyingi, nishati ya umeme ni moja ya muhimu inayoumba maisha. Jua limekuwa chanzo kikuu cha nishati hii 🌞...
Habari Wana JF
Kunaswala Moja ambalo naona kama halipo sawa.
Ukifwatilia kiundani tofauti ya vipimo hivi vya X ray,CT scan na MRI unagundua kua
MRI nikizuri nahakina mazara sababu kinatumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.