Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 2,144
- 6,787
Huwa nachanganyikiwa kwa kweli. Maana utakuta unaambiwa unatakiwa kutafuna asubuhi kabla ya kula. Huku wengine wakisema hata kama umekula ni sahihi.
Je , upi ni wakati sahihi?
Je , upi ni wakati sahihi?