Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

On JF:

Habari zenu wakuu, Nina shida naomba niwashirikishe nipate ushauri, kila asubuhi huwa nafanya mazoezi ya kukimbia na ya viungo takriban saa mbili hivi ila sipati shida yoyote. Lakini naweza...
2 Reactions
13 Replies
562 Views
Niko hapa kuwajibu maswali yote kuhusu matatizo ya nguvu za kiume.
0 Reactions
0 Replies
203 Views
Aisee mwenzenu mwana jf kwanza poleni kwa kadhia za maandamano ata mm vijana wa genz walinkimbiza mno kitaa tarehe 30 baada kutokea mtaan na shati langu la kijani, mazeee ilkuwa shidaa... Baadae...
6 Reactions
36 Replies
1K Views
Picha kwa hisani ya Google Kuota matiti kwa mwanaume (Gynecomastia) ni kuongezeka ukubwa/ujazo wa matiti kwa mwanaume. Hutokana mabadiliko ya viwango vya homoni za kiume (Testosterone) na homoni...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Kila mwezi nina siku zangu tatu za kuumwa tumbo na kichwa kwa sababu ni kitu ambacho siwezi kukwepa. Sasa safari hii hali ilikuwa tofauti hata nilipomeza dawa za maumivu hazikunisaidia kutuliza...
5 Reactions
38 Replies
859 Views
Wakuu, wataalamu. Nimeanza kuhisi maumivu makali sana maeneo ya chini ya kifua. Ni siku ya tano toka nimeanza kuiExperience. Nimekuwa nikitumia dawa za maumivu kutuliza maumivu. Kama kuna...
2 Reactions
19 Replies
441 Views
Habari, Nimeona niguse kiini cha magonjwa mengi ili iwe clear kwetu kua tupo kwenye matrix. Zamani kula chakula cha asili haikuwa mjadala. Ilikuwa ndio kawaida. Leo hali imegeuka: kula vyakula vya...
12 Reactions
51 Replies
907 Views
PEP nasikia ni maalum kwa watu ambao wanahisi wameambukizwa VVU kwa dharura. Hata mimi kisa changu ni cha dharura naombeni PEP. Kisa chenyewe kuna binti nilikutana naye mtandaoni. Picha zake...
30 Reactions
177 Replies
9K Views
Kuna mama jirani hapa kaja kunitembelea Leo,huyu Mama kazi zake ni za saidia fundi, kufua pamoja kufanya usafi Kwa watu. Sasa Leo alichonishangaza ni alichoniambia, kuwa Jana alipikia watoto...
1 Reactions
23 Replies
601 Views
Habari, Nimeleta hii post ili kukumbusha asili yetu kwa upande wa mapishi na vyakula kwakua ni wazi kuwa magonjwa yanaongezeka kila kukicha pindi asili inapoondoka. Kwa ambao tumeonja ladha ya...
1 Reactions
0 Replies
346 Views
Wakuu, msaada wenu naomba msaada kwenye jambo. Hivi unamsaidiaje mtu ambae akili zake zimeruka?. Yaani mwanzoni alikua na akili timamu kabisa ila ghafla tu anageuka kua FYATU anaanza kuongea vitu...
2 Reactions
18 Replies
709 Views
Habari z muda kaka na dada zangu wote wa humu jukwaani. Wakuu nimekuja na shida mficha uchi hazai hata kidogo. Mimi ni mtu mzima 27 yrs nimeoa na mtoto hadi leo bado nakojoa kitandani inauma...
12 Reactions
102 Replies
9K Views
Habari ndugu zangu, mimi ni kijana wa miaka 33 kwa kipindi kirefu nimekua nashida nikinywa maji hata robo kikombe baada ya dk 20 nitahisi mkojo, nikienda kukokoja ntakojoa ile naumalizia mkojo...
3 Reactions
78 Replies
14K Views
Swali, hivi ile issue ya kukojoa haswa kwa WANAUME sana sana hasubuhi alafu unajamba pyeeee inatokana na nini,? Unaweza ukaona utani ila ukiwa kwenye nyumba za kupanga ni nouma yaani shwaaaa...
4 Reactions
37 Replies
2K Views
Habari...mm kuna tatizo limeanza sasa sielew ni hali ya hewa au nn...kwa sasa nimekuwa nikienda haja ndogo mara nyingi zaid hasa nyakati za usiku...imefika wakati ikanibid nifanye jaribio kijua...
0 Reactions
45 Replies
26K Views
Shapata tiba shukrani wakuu
5 Reactions
34 Replies
1K Views
Kinaitwa Anjari aka Heltho. Kuna wakati nimewahi kunywa kama mara 3 hivi. Juzi juzi nilikuja Bongo nikapewa nyumbani kwa jamaa yangu mmoja. Sikuweza kataa nikanywa. Swali je kinatengenezwaje...
3 Reactions
12 Replies
665 Views
Wadau nimestushwa sana. Baada ya kunywa dawa za minyoo ziitwazo zantel wiki tu nimeota boonge la ndambi, jf doctor msaada tutani
2 Reactions
17 Replies
751 Views
Naomba kujua dawa gani itamtibu mtoto wangu anatoa ute mweupe puani wenye harufu. Asanteni.
1 Reactions
86 Replies
71K Views
Back
Top Bottom